Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Ahahahahahahahaha!N hivi, sema utakacho lakini sisi tunajua ibilisi saa hii yuko motoni anatoa mrejesho wa mauaji ya wananchi fullstop.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahahahahahahaha!N hivi, sema utakacho lakini sisi tunajua ibilisi saa hii yuko motoni anatoa mrejesho wa mauaji ya wananchi fullstop.
Wangekuwa tayari wangepigania katiba kwa nguvu sana.“Hawataki kuchukua nchi sababu hawako tayari”.
That sums it all up.
Samia anamalizia miaka zake 4Nimefuatilia sana mijadala inayoendelea nchini kuhusu utendaji kazi wa Mheshimiwa Rais,Mama Samia Hassan nimeona ameungwa mkono sana na watu hasa wale waliojipambanua kuwa ni wapinzani.
Hii kitu ikanifanya nitenge muda kutafakari why?,.Tangu lini mtu wa CHADEMA akasifia utendaji kazi wa kiongozi wa CCM na kumuunga mkono wakti hata mwezi hajafikisha akiwa madarakani?
Kitu nimebaini ni kwamba CHADEMA wameona tayari kuna ulaji kwa huyu mama,hivyo wameona waanze kujipendekeza mapema ili wapate nafasi ya kumdefeat na kuguide huko mbele.
Hii kitu mama anatakiwa kukiangalia sana,Sifa za hawa watu siyo bure ,kuna kitu wanakiandaa .Haijawa tokea nchi hii mtu wa upinzani akafurahia kiongozi wa CCM namna hii.
Kikubwa mama awe makini,akicheza ngoma za hawa jamaa na kuwaacha wana CCM wenzake,CCM itakufa mikononi mwake. CCM haijwahi kuwa na urafiki na CHADEMA hata siku moja . Hizi pongezi kutoka upande wa pili mama aziangalie mara mbili mbili .
Nakazia hapaNani wa kuiondoa CCM madarakani? Tuanzie hapo kwanza!
Am telling you,na huo ndo ukweliWaramba miguu mmekosa pa kushika dadeeeeeekiiiii wahlaaaaaaiiiiii
Nani wa kuiondoa CCM madarakani? Tuanzie hapo kwanza!
Yule hana huo ubavu kwanza wapiga kura hawako twita wala JF,wapiga kura wapo vijijini,wauza samaki,machinga ndo CCM wanadeal na hao
Aisee wapi? Umenitamanisha... twende mkuuDemi twende tukale chips
Jamaa kaamua kuwa mropokaji ameshaona haitakuja tokea ashindeBelgiji hata akishindana na bibi yangu kile kijijini, bibi atamshinda
Ndio hawa hawa wakija CCM tunawapa madaraka huku sisi tukiendelea kusifu na kuabudu! Hapo ndipo uelewe kuwa % kubwa ya sisi wanaccm ni vilazer ndugu yangu! Upinzani ungekuwa dhaifu ccm tusingetumia mbinu chafu kushinda uchaguzi! We unadhani kwa nini hatutaki katiba mpya na tume huru ya uchaguzi? Tunajua fika hapo ndio tunapoponea!Wapinzani ndio hawa akina mbowe unategemea nini, hilo labda utokee muujiza na uwe moja kati ya maajabu ya dunia
Ni kweli kwa kulitumia jeshi na polisi pamoja na Tume ya CCM , hakuna wa kuiondoa CCM , nilisahau na msaada wa jeshi la Burundi pia ulisaidia kuiweka CCM madarakaniHakuna. Hakuna. Hakuna.
Hakuna chama mbadala Tanzania.
Nimefuatilia sana mijadala inayoendelea nchini kuhusu utendaji kazi wa Mheshimiwa Rais. Mama Samia Hassan nimeona ameungwa mkono sana na watu hasa wale waliojipambanua kuwa ni Wapinzani.
Hii kitu ikanifanya nitenge muda kutafakari why? Tangu lini mtu wa CHADEMA akasifia utendaji kazi wa kiongozi wa CCM na kumuunga mkono wakti hata mwezi hajafikisha akiwa madarakani?
Kitu nimebaini ni kwamba CHADEMA wameona tayari kuna ulaji kwa huyu mama, hivyo wameona waanze kujipendekeza mapema ili wapate nafasi ya kumdefeat na kuguide huko mbele.
Hii kitu mama anatakiwa kukiangalia sana, Sifa za hawa watu siyo bure kuna kitu wanakiandaa. Haijawa tokea nchi hii mtu wa upinzani akafurahia kiongozi wa CCM namna hii.
Kikubwa mama awe makini, akicheza ngoma za hawa jamaa na kuwaacha wana CCM wenzake,CCM itakufa mikononi mwake. CCM haijwahi kuwa na urafiki na CHADEMA hata siku moja . Hizi pongezi kutoka upande wa pili mama aziangalie mara mbili mbili .
HahaaaaCCM haihitaji kura kushinda. Ukipigia CHADEMA kura basi ni kama umeunga kijiko cha sukari baharini [emoji15].