Rais Mama Samia Suluhu asipokuwa makini 2025 CCM itaondolewa madarakani

Rais Mama Samia Suluhu asipokuwa makini 2025 CCM itaondolewa madarakani

Kuondoka kwa CCM madarakani ni mpango wa Mungu. Kwani si mlimuabdaa Jiwe atawale milele? Leo yuko wapi? Hata hatma ya Ccm iko mikononi mwa Mungu. Time will tell.
Magu (R.I.P) ni mtu mmja tu nd maana imekua ivyo,, Ila CCM ni taasis kubwa inayojipambanua ambay haiwezi kufa au kupotea kama ulivofikili Apo Mkuu
 
Wapinzani ndio hawa akina mbowe unategemea nini, hilo labda utokee muujiza na uwe moja kati ya maajabu ya dunia
 
Katiba haina kipengele kinasema CCM itaongoza milele,Uimara wa viongozi unafanya CCM iendelee kuwa madarakani.So mama akikosa msimamo na kucheza ngoma ya Upinzani makwisha
Mama Samia hajacheza ngoma ya wapinzani ila wapinzani wanajitekenya na kucheka wenyewe,
Mama Samia yupo imara
Ccm ipo imara,
Wapinzani waendelea kupiga domo mitandaoni lakini kuchukua hii nchi wasahau asilani abadani.
 
CCM walitaka kumtoa Samia madarakani mwezi huu ikashindikana, ccm ikitolewa madarakani 2025 Samia hatakuwa na uchungu wowote.
 
Nimefuatilia sana mijadala inayoendelea nchini kuhusu utendaji kazi wa Mheshimiwa Rais,Mama Samia Hassan nimeona ameungwa mkono sana na watu hasa wale waliojipambanua kuwa ni wapinzani.

Hii kitu ikanifanya nitenge muda kutafakari why?,.Tangu lini mtu wa CHADEMA akasifia utendaji kazi wa kiongozi wa CCM na kumuunga mkono wakti hata mwezi hajafikisha akiwa madarakani?. Kitu nimebaini ni kwamba CHADEMA wameona tyr kuna ulaji kwa huyu mama,So wameona wanze kujipendekeza mapema ili wapate chance ya kumdefeat na kuguide huko mbele.

Hii kitu mama anatakiwa kukiangalia sana,Sifa za hawa watu siyo bure ,kuna kitu wanakiandaa .Haijawa tokea nchi hii mtu wa upinzani akafurahia kiongozi wa CCM namna hii.

Kikubwa mama awe makini,akicheza ngoma za hawa jamaa na kuwaacha wana CCM wenzake,CCM itakufa mikononi mwake.CCM haijwahi kuwa na urafiki na CHADEMA hata siku moja . Hizi pongezi kutoka upnde wa pili mama aziangalie mara mbili mbili .

Kwenye mazishi ya Hayati Magufuli Mh JK alisema wazi kuwa wana CCM wasicheze muziki wa wapinzani!

Wapinzani kazi yao ni kuhakikisha CCM inashindwa na watafanya watakalo na wanafurahia kwa kuwa wanayo matumaini kuwa mambo yao yanaanza kukubaliwa hasa wanalo litamani la katiba mpya!

Mama Samia awezi kuwa mjinga kiasi cha kuwaacha hawa wapinzani wachukue majimbo karibu yote kwa kutimiza matakwa yao!

Mama Samia kamwe hatoweza kukubali hawa watu watengeneze mazingira ya kushinda majimbo yote au mengi sana na akifanya hivyo kazi ya kuwa mwenyekiti itakuwa imemshinda mapema!

Mama Samia ni lazima ahakikisha CCM inaendelea kutawala tanzania na kwa kuchukua majimbo mengi zaidi bila kujali wapinzani watamuonaje maana kinyume na hapo ni anguko!

Mama Samia awezi kuwaridhisha wapinzani ni lazima awadanganye danganye lakini ni lazima alinde maslai ya CCM na Tanzania maaana Tanzania imara iko mikononi mwa CCM.
 
Ukisoma Katiba yetu..ukasoma katiba ya CCM

Utagundua Dola na vyombo vyake ndio CCM yenyewe.


Hawa CCM walifanikiwa sanaaaa kushikamanisha chama chao na mifumo yoteeeeeeeeee ya nchi .
 
Kwani chama cha chadema bado kipo???[emoji28][emoji28][emoji28][emoji23]
 
Ahaaa ahaaa, kwahiyo mama kuzungishiwa ukuta? Hapo ccm wanajua wote wataishia jela.
Ubaya wa situation yetu ni kuwa maslahi ya CCM na maslahi ya nchi ni vitu vinavyopingana. Mama kawekwa mtu kati.
 
Mama Samia akifanya vizuri hii miaka minne nitampigia kampeni za ndani ya chama na nje ya chama awe Rais kwa miaka mitano ijayo kwenda 2030
 
Nimefuatilia sana mijadala inayoendelea nchini kuhusu utendaji kazi wa Mheshimiwa Rais,Mama Samia Hassan nimeona ameungwa mkono sana na watu hasa wale waliojipambanua kuwa ni wapinzani.

Hii kitu ikanifanya nitenge muda kutafakari why?,.Tangu lini mtu wa CHADEMA akasifia utendaji kazi wa kiongozi wa CCM na kumuunga mkono wakti hata mwezi hajafikisha akiwa madarakani?

Kitu nimebaini ni kwamba CHADEMA wameona tayari kuna ulaji kwa huyu mama,hivyo wameona waanze kujipendekeza mapema ili wapate nafasi ya kumdefeat na kuguide huko mbele.

Hii kitu mama anatakiwa kukiangalia sana,Sifa za hawa watu siyo bure ,kuna kitu wanakiandaa .Haijawa tokea nchi hii mtu wa upinzani akafurahia kiongozi wa CCM namna hii.

Kikubwa mama awe makini,akicheza ngoma za hawa jamaa na kuwaacha wana CCM wenzake,CCM itakufa mikononi mwake. CCM haijwahi kuwa na urafiki na CHADEMA hata siku moja . Hizi pongezi kutoka upande wa pili mama aziangalie mara mbili mbili .
Huna akili
 
Uzijali Mkuu, CCM iko makini sana jana, leo na kesho. Ndio maana wakati wao wapinzani wakidili na mtu,CCM inadili na mfumo! Na Mama Samia ni zao la mfumo wa CCM!!!
N hivi, sema utakacho lakini sisi tunajua ibilisi saa hii yuko motoni anatoa mrejesho wa mauaji ya wananchi fullstop.
 
Wanataka kumfanya kama Mam samia ni mtu wao na atabeba agenda zao wanajua kabisa kumsifia sifia Mama Samia huku wakimponda mtangulizi wake inaweza create chuki miongoni mwa wanaccm na wao ndipo watakapopenyea. Eti wengine wanamshauri avunje baraza la mawiziri wengine wanampangia atumbue huy aweke yule wengine wanataka aondoe wateule wote wa Hayat JPM. tena yale majembe.
 
CCM wakiachia wananchi wapige kura wachaguwe wanaemtaka walahi haifiki saa sita mchana. [emoji1787]
 
Back
Top Bottom