Rais Mama Samia Suluhu asipokuwa makini 2025 CCM itaondolewa madarakani

Rais Mama Samia Suluhu asipokuwa makini 2025 CCM itaondolewa madarakani

Ubaya wa situation yetu ni kuwa maslahi ya CCM na maslahi ya nchi ni vitu vinavyopingana. Mama kawekwa mtu kati.
 
Nyie ndio wakuda mnaostahili kufa,mna faida gani kwa nchi!!! Kwa hiyo bora chama kuliko nchi?? Choko ww
 
Uzijali Mkuu, CCM iko makini sana jana, leo na kesho. Ndio maana wakati wao wapinzani wakidili na mtu,CCM inadili na mfumo! Na Mama Samia ni zao la mfumo wa CCM!!!
 
Rais Samia Hassan ana nafasi ya kuongeza ushindi wa CCM katika kura za urais kuliko Magufuli, kama akicheza karata zake vizuri.

Kwa sababu moja ndogo tu.

Rais Magufuli aliwagawanya sana Watanzania. Wengi walimpenda, na wengi hawakumpenda.

Rais Samia, kama akigombea urais 2025, ana nafasi kubwa sana ya kupata kura za Watanzania waliompenda Magufuli, kwa minajili ya kwamba anaendeleza sera za Magufuli, na vile vile kupata support ya kupigiwa kura na Watanzania walio choka habari za Magufuli, kwa minajili kwamba rais huyu mpya anaanza mambo upya na kuondokana na siasa za rafu za Magufuli.

Anaweza kupata "the best of both worlds" akubalike CCM na upinzani kwa kiasi kikubwa.

Lakini hilo litawezekana tu kama ataendesha nchi kwa haki bila kuendekeza diasa za ubaguzi wa vyama.
 
Kwani kuna shida gani wananchi wakiamua kwa ridhaa Yao kuchaguwa chama kingine kuongoza nchi?
 
Mimi binafsi samia akiendesha nchi kwa uhuru,biashara zikastawi , Haki ,uhuru wa wananchi na wanahabari, uchaguzi huru na wasiasa asiwaue nampa kura yangu mwaka 2025 kama atagombea.
 
Hivi kwa mfano:CCM ikiondoka lakini Tanzania ikapona.Lipi ni jambo jema?
 
Kama mtajinyonga jinyongeni sisi tuna muunga mkono Mama mwenye roho ya kibinadamu!

Tanzania sio mali ya mtu CCM pia sio mali ya ukoo au familia ya mtu!

Ndio mtakuwa hamjui!
 
Mkuu ipo hivi sio wapinzani tu bali watu tofauti,ikiwemo na ccm , watu walisha choka , na huu ni ujumbe tu tosha ,
 
Kila mtu anamnyooshea mwenzake kidole cha kujipendekeza...
hakuna wa kuiondoa CCM, bora chama kingine lkn sio CHADEMA, mbinu zao ni zilezile za kutaka kuongoza Nchi, wao ni kukosoa na kulaumu, waige Vyama vingine vya km huko USA Republican na Democratic, anayeshika Madaraka wamuache atawale, sasa wao ni mwanzo mwisho siasa,
 
CCM kuna siku itatolewa tu ila haijulikani lini labda 2025 au 2030 au hata 2040 ila itatolewa tu
 
Nimefuatilia sana mijadala inayoendelea nchini kuhusu utendaji kazi wa Mheshimiwa Rais,Mama Samia Hassan nimeona ameungwa mkono sana na watu hasa wale waliojipambanua kuwa ni wapinzani.

Hii kitu ikanifanya nitenge muda kutafakari why?,.Tangu lini mtu wa CHADEMA akasifia utendaji kazi wa kiongozi wa CCM na kumuunga mkono wakti hata mwezi hajafikisha akiwa madarakani?. Kitu nimebaini ni kwamba CHADEMA wameona tyr kuna ulaji kwa huyu mama,So wameona wanze kujipendekeza mapema ili wapate chance ya kumdefeat na kuguide huko mbele.

Hii kitu mama anatakiwa kukiangalia sana,Sifa za hawa watu siyo bure ,kuna kitu wanakiandaa .Haijawa tokea nchi hii mtu wa upinzani akafurahia kiongozi wa CCM namna hii.

Kikubwa mama awe makini,akicheza ngoma za hawa jamaa na kuwaacha wana CCM wenzake,CCM itakufa mikononi mwake.CCM haijwahi kuwa na urafiki na CHADEMA hata siku moja . Hizi pongezi kutoka upnde wa pili mama aziangalie mara mbili mbili .
Tumeanza kuwajua vizuri watu wote mliokuwa mnaliingiza taifa la Tanzania kwenye migongano na chuki dhidi ya wananchi.
 
Nimefuatilia sana mijadala inayoendelea nchini kuhusu utendaji kazi wa Mheshimiwa Rais,Mama Samia Hassan nimeona ameungwa mkono sana na watu hasa wale waliojipambanua kuwa ni wapinzani.

Hii kitu ikanifanya nitenge muda kutafakari why?,.Tangu lini mtu wa CHADEMA akasifia utendaji kazi wa kiongozi wa CCM na kumuunga mkono wakti hata mwezi hajafikisha akiwa madarakani?. Kitu nimebaini ni kwamba CHADEMA wameona tyr kuna ulaji kwa huyu mama,So wameona wanze kujipendekeza mapema ili wapate chance ya kumdefeat na kuguide huko mbele.

Hii kitu mama anatakiwa kukiangalia sana,Sifa za hawa watu siyo bure ,kuna kitu wanakiandaa .Haijawa tokea nchi hii mtu wa upinzani akafurahia kiongozi wa CCM namna hii.

Kikubwa mama awe makini,akicheza ngoma za hawa jamaa na kuwaacha wana CCM wenzake,CCM itakufa mikononi mwake.CCM haijwahi kuwa na urafiki na CHADEMA hata siku moja . Hizi pongezi kutoka upnde wa pili mama aziangalie mara mbili mbili .
Mwezi huu wa tatu mtauona nuksi sana nyinyi maadui wa mshikamano wa watanzania.
 
Back
Top Bottom