Rais Mama Samia Suluhu asipokuwa makini 2025 CCM itaondolewa madarakani

Rais Mama Samia Suluhu asipokuwa makini 2025 CCM itaondolewa madarakani

Tuko makini sana mkuu na hawa wanasaccos mitandaoni hawana kitu hawa! Sisi tunajua sehemu ya watz ni mitaani walioko wapiga kura.
Yaani sijawahi kuona majitu mazuzu kama haya ya upinzani.

Ni mamtu rahisi sana kuyadhibiti.

Yaani sasa hivi Mama Samia ayaue tu kwa kindness na kuongea kwa upole.

Akifanya hivyo yatasahau hadi habari za katiba mpya na tume huru.

Kikwete aliziitaga kelele zao upepo. Unavuma na kupita fyuuuu.

🤣🤣🤣
 
Nimefuatilia sana mijadala inayoendelea nchini kuhusu utendaji kazi wa Mheshimiwa Rais,Mama Samia Hassan nimeona ameungwa mkono sana na watu hasa wale waliojipambanua kuwa ni wapinzani.

Hii kitu ikanifanya nitenge muda kutafakari why?,.Tangu lini mtu wa CHADEMA akasifia utendaji kazi wa kiongozi wa CCM na kumuunga mkono wakti hata mwezi hajafikisha akiwa madarakani?. Kitu nimebaini ni kwamba CHADEMA wameona tyr kuna ulaji kwa huyu mama,So wameona wanze kujipendekeza mapema ili wapate chance ya kumdefeat na kuguide huko mbele.

Hii kitu mama anatakiwa kukiangalia sana,Sifa za hawa watu siyo bure ,kuna kitu wanakiandaa .Haijawa tokea nchi hii mtu wa upinzani akafurahia kiongozi wa CCM namna hii.

Kikubwa mama awe makini,akicheza ngoma za hawa jamaa na kuwaacha wana CCM wenzake,CCM itakufa mikononi mwake.CCM haijwahi kuwa na urafiki na CHADEMA hata siku moja . Hizi pongezi kutoka upnde wa pili mama aziangalie mara mbili mbili .
Kauli mbiu ya kila mwenyekiti wa sisiemu ni CHAMA HAKINIFII MIMI...
 
Nimefuatilia sana mijadala inayoendelea nchini kuhusu utendaji kazi wa Mheshimiwa Rais,Mama Samia Hassan nimeona ameungwa mkono sana na watu hasa wale waliojipambanua kuwa ni wapinzani.

Hii kitu ikanifanya nitenge muda kutafakari why?,.Tangu lini mtu wa CHADEMA akasifia utendaji kazi wa kiongozi wa CCM na kumuunga mkono wakti hata mwezi hajafikisha akiwa madarakani?. Kitu nimebaini ni kwamba CHADEMA wameona tyr kuna ulaji kwa huyu mama,So wameona wanze kujipendekeza mapema ili wapate chance ya kumdefeat na kuguide huko mbele.

Hii kitu mama anatakiwa kukiangalia sana,Sifa za hawa watu siyo bure ,kuna kitu wanakiandaa .Haijawa tokea nchi hii mtu wa upinzani akafurahia kiongozi wa CCM namna hii.

Kikubwa mama awe makini,akicheza ngoma za hawa jamaa na kuwaacha wana CCM wenzake,CCM itakufa mikononi mwake.CCM haijwahi kuwa na urafiki na CHADEMA hata siku moja . Hizi pongezi kutoka upnde wa pili mama aziangalie mara mbili mbili .

Mkuuu kiukweli tutakuwa hatuna Jinsi,Mungu keshamchukua Jembe letu hawa jamaa wanamshangilia mama kila uchwao, kigogo na Mange kimambi wanamuunga mkono,wanamshangilia wapo upande wake na wanamtumia mimemsg ya kumpongeza kila mara.....
Mama anatakiwa kuwa makini sana mana anaweza kuandika historia mbili katika maisha ya kesho
1:kwanza kuwa mwanamke wa kwanza kuongoza Taifa kama mwanamke
2: Rais wa kwanza chama kufia Mikononi make.
Kwakweli inauma sana
 
Nimefuatilia sana mijadala inayoendelea nchini kuhusu utendaji kazi wa Mheshimiwa Rais,Mama Samia Hassan nimeona ameungwa mkono sana na watu hasa wale waliojipambanua kuwa ni wapinzani.

Hii kitu ikanifanya nitenge muda kutafakari why?,.Tangu lini mtu wa CHADEMA akasifia utendaji kazi wa kiongozi wa CCM na kumuunga mkono wakti hata mwezi hajafikisha akiwa madarakani?. Kitu nimebaini ni kwamba CHADEMA wameona tyr kuna ulaji kwa huyu mama,So wameona wanze kujipendekeza mapema ili wapate chance ya kumdefeat na kuguide huko mbele.

Hii kitu mama anatakiwa kukiangalia sana,Sifa za hawa watu siyo bure ,kuna kitu wanakiandaa .Haijawa tokea nchi hii mtu wa upinzani akafurahia kiongozi wa CCM namna hii.

Kikubwa mama awe makini,akicheza ngoma za hawa jamaa na kuwaacha wana CCM wenzake,CCM itakufa mikononi mwake.CCM haijwahi kuwa na urafiki na CHADEMA hata siku moja . Hizi pongezi kutoka upnde wa pili mama aziangalie mara mbili mbili .
Wapinzani huwa wanasifia jambo lenye manufaa kwa taifa... nadhani hata wewe ukiamua kutumia akili yako utaona hilo.
 
Naona watu sasa hivi wqnashindana tu kutabiri.
 
Ccm na chadema wote walikuwa hawaipendi ccm. Ss utawala umebadilika wote wana furahia.

Ccm wanafurahi kurudi kwa ccm na chadema wanafurahi kurudi kwa uhafadhali wa uhuru wa kupigana na ccm.
 
Mimi siipendi CCM ila mama akiwa mtenda haki nampa kura yangu nikiwa hai
 
Yaani sijawahi kuona majitu mazuzu kama haya ya upinzani.

Ni mamtu rahisi sana kuyadhibiti.

Yaani sasa hivi Mama Samia ayaue tu kwa kindness na kuongea kwa upole.

Akifanya hivyo yatasahau hadi habari za katiba mpya na tume huru.

Kikwete aliziitaga kelele zao upepo. Unavuma na kupita fyuuuu.

🤣🤣🤣
Ww ndo huujui upinzani wa TZ. Kwa Asilimia kubwa hawataki kuchukua nchi sababu hawako tayari kupigania hilo.

Wanachotaka ni ushindani wa kisiasa na wawakilishi bungeni jambo ambalo walinyimwa awamu iliyopita. Utawala umebadilika lazima wafurahi sababu wana matumaini kuwa watapata nafasi tena.
 
Ww ndo huujui upinzani wa TZ. Kwa Asilimia kubwa hawataki kuchukua nchi sababu hawako tayari kupigania hilo.
“Hawataki kuchukua nchi sababu hawako tayari”.

That sums it all up.
 
Hii kitu ikanifanya nitenge muda kutafakari why?,.Tangu lini mtu wa CHADEMA akasifia utendaji kazi wa kiongozi wa CCM
Chadema ni watu wasiojielewa
Hata Magufuli alipoingia madarakani,walimpongeza na kusema kaiba Sera zao
Huyu Samia watamtukana sana,subiri tu
 
Katiba haina kipengele kinasema CCM itaongoza milele,Uimara wa viongozi unafanya CCM iendelee kuwa madarakani.So mama akikosa msimamo na kucheza ngoma ya Upinzani makwisha
Upinzani ndio huimba ngoma ya ccm
 
Mlishazoea kuishi na shetani wenu huku mkimtia ndimu ili aendeleze ushetani wake na nyie mpate kula sasa amekufa mnataka kumpa ushetani mama wa watu Samia ili nae awe shetani. Nawaambia mmeshafeli na kushindwa. Mama Samia ndo Mandela wa Tanzania na Ccm iko salama chini yake.
Magufuli atarudi tena madarakani muda utaongea
 
Ni sawa na mende kuangusha kabati ulisikia wapi hiyo.
Hata ccm iwe nyepesi kama unyoya hakuna upinzani wa kuitoa madarakani, labida ccm isambaratike vipande vipande.
Kwa hiyo kwa kufanya hivyo anapata faida nani na anakomolewa nani?
 
Mlishazoea kuishi na shetani wenu huku mkimtia ndimu ili aendeleze ushetani wake na nyie mpate kula sasa amekufa mnataka kumpa ushetani mama wa watu Samia ili nae awe shetani. Nawaambia mmeshafeli na kushindwa. Mama Samia ndo Mandela wa Tanzania na Ccm iko salama chini yake.
Safi mkuu, nafurahi sasa umeacha kushabikia kina belgiji na kuiona ccm iliyosalama zaidi
 
Back
Top Bottom