katika nchi zote za kidemokrasia duniani kiongozi ni moja tu, Rais 🐒Yaani kiongozi wa nchi anaumwa muda mrefu, ugonjwa endelevu, anapotelea hospitalini majuma kadhaa, anapambania maisha yake kufa na kupona, hajiwezi. Lakini katika mazingira hayo hayo, taifa zima halijulishwi chochote, makamu wake hajui, aelezwi na anafichwa kimakusudi asijue chochote. Hatimaye Rais anafariki dunia, bado makamu wake hajui chochote, watu wengine wanakaa chini kujadili namna ya kuendesha mambo ya msiba bila makamu wa rais kujua chochote.
Tuseme ukweli, kuna nchi inaongozwa na kikundi cha watu wasiojulikana na kinyume cha katiba kwa 100%. Kuna kila dalili huenda mambo yakawa magumu zaidi huko mbeleni.
YOTE HAYA ALIYATENGENEZA JPM MWENYEWE KWA KUTENGENEZA SECRET STATE NDANI YA STATEYaani kiongozi wa nchi anaumwa muda mrefu, ugonjwa endelevu, anapotelea hospitalini majuma kadhaa, anapambania maisha yake kufa na kupona, hajiwezi. Lakini katika mazingira hayo hayo, taifa zima halijulishwi chochote, makamu wake hajui, aelezwi na anafichwa kimakusudi asijue chochote. Hatimaye Rais anafariki dunia, bado makamu wake hajui chochote, watu wengine wanakaa chini kujadili namna ya kuendesha mambo ya msiba bila makamu wa rais kujua chochote.
Tuseme ukweli, kuna nchi inaongozwa na kikundi cha watu wasiojulikana na kinyume cha katiba kwa 100%. Kuna kila dalili huenda mambo yakawa magumu zaidi huko mbeleni.
itasaidia nini sasa 🐒Watanzania wapumbavu sana.
Mabeyo kaongea nukta tu kati ya mengi aliyokuwa yakijili.
Kwa akili yako kweli unafikiri Samia alikuwa hajui?
NB. Namlaumu sana Mabeyo kwanini wakuwakuchukua nchi ile siku pengine hawa mchwa wanaokula nchi saa hii wasingekuwepo.
Corona ndiyo ilimuua baada ya kuidharau, so swala la nani alimuua jibu lake liko waziMaoni yako yazingatiwe.
Hatahivyo bado hamjasema...mnatafuta wachawi, wakati wachawi wenyewe ni nyie.
Nguvu mnazotumia kuweka viewpoint moja ni kiashiria ya kampeni ndefu, ya kimkakati na inayotumia mamilioni kama sio mabilioni ya hela. Kuziba mwanya wa wanaotaka kujua "NANI ALIMUUA MAGUFULI" itoshe kusema, huo ndio Uchawi.
Moreover, mtu teyari alikuwa keshafika getini kwa Muumba wake, nyie mnadai au mnataka kutuhadaa kwamba alinajisi Katiba akiwa huko? How so?
Mpumbavu at its best!!President wa nchi yupo ICU fighting for his life,PM analitamkia taifa kuwa yupo na siha Tele,VP eti ana ziara Tanga for 5 days,moja ya mikoa midogo sana nchini,kumweka VP for 5 days pale ile tiss yenye heshima isingeruhusu hili kufanyika,vidudu mtu vilitawala nchi kwa wakati ule,Tiss na PPU ya President Nyerere ilikua super,respected na yes iliogopwa na kila mtanzania,salute kwao hasa mlipofanikiwa kumpeleka President Nyerere pale GABBS kwenye mdomo wa kaburu na kumrudisha nyumbani safely,President Nyerere alisimama pekee juu kabisa na very exposed alipokua akiweka shada la maua kwenye mazishi ya President KhamaKwani Samia amewahi kuthibitisha hivyo? Nashangaa wengi mnatumia kauli ya Mabeyo kama ndio final, au kwasababu alikuwa CDF!
Samia angeweza kupewa taarifa kwa njia nyingine za kimawasiliano, na wakati akipewa hizo taarifa sio lazima Mabeyo awepo, Mabeyo hajui hayo ndio maana hakuyazungumzia.
Mtambue tu, kile alichokizungumza Mabeyo kuhusu afya ya Hayati Magufuli simply alizungumzia part yake, kile alichokiona yeye wakati ule akiwa na mgonjwa hospitalini.
Lakini kama siku nyingine akatokea PM akazungumzia kile alichokiona au kukifanya wakati wa ugonjwa wa Hayati Magufuli, alipokuwa hospitalini nae, inawezekana akaja na majibu ya haya mengine ambayo tunajiuliza kila dakika.
Samia hivyo hivyo nae kama akiulizwa anaweza kusema alikuwa akipewa taarifa za kila kinachoendelea juu ya ugonjwa wa Hayati Magufuli, kumficha taarifa mtu wa karibu jambo zito kama hilo sio rahisi kama wengi mnavyodhani.
Unaongelea mambo yaliyopita au mambo ya sasa hivi. Au unamaanisha kuna mtu mkubwa zaidi ya wote anaumwa halafu Filipi hajui. Hebu fafanua kidogoYaani kiongozi wa nchi anaumwa muda mrefu, ugonjwa endelevu, anapotelea hospitalini majuma kadhaa, anapambania maisha yake kufa na kupona, hajiwezi. Lakini katika mazingira hayo hayo, taifa zima halijulishwi chochote, makamu wake hajui, aelezwi na anafichwa kimakusudi asijue chochote. Hatimaye Rais anafariki dunia, bado makamu wake hajui chochote, watu wengine wanakaa chini kujadili namna ya kuendesha mambo ya msiba bila makamu wa rais kujua chochote.
Tuseme ukweli, kuna nchi inaongozwa na kikundi cha watu wasiojulikana na kinyume cha katiba kwa 100%. Kuna kila dalili huenda mambo yakawa magumu zaidi huko mbeleni.
Mahojiano hayo yamefanyika na chombo cha habari cha serikali.CDF anakosa adabu kuongelea mazingira ya kifo cha kiongozi, no wonder alifurushwa.
Pole mkuu, naona kwa sasa ulaji hauko upande wako ndiyo maana unapiga kelele sana. Ila zoea tu ndiyo ile wanaita nyumaaaa geukaa hahaha wakwanza anakuwa wa mwishoWatanzania wapumbavu sana.
Mabeyo kaongea nukta tu kati ya mengi aliyokuwa yakijili.
Kwa akili yako kweli unafikiri Samia alikuwa hajui?
NB. Namlaumu sana Mabeyo kwanini wakuwakuchukua nchi ile siku pengine hawa mchwa wanaokula nchi saa hii wasingekuwepo.
Hivi unajua hata mjadala hapa unazungumzia kitu gani?!Mpumbavu at its best!!President wa nchi yupo ICU fighting for his life,PM analitamkia taifa kuwa yupo na siha Tele,VP eti ana ziara Tanga for 5 days,moja ya mikoa midogo sana nchini,kumweka VP for 5 days pale ile tiss yenye heshima isingeruhusu hili kufanyika,vidudu mtu vilitawala nchi kwa wakati ule,Tiss na PPU ya President Nyerere ilikua super,respected na yes iliogopwa na kila mtanzania,salute kwao hasa mlipofanikiwa kumpeleka President Nyerere pale GABBS kwenye mdomo wa kaburu na kumrudisha nyumbani safely,President Nyerere alisimama pekee juu kabisa na very exposed alipokua akiweka shada la maua kwenye mazishi ya President Khama
Hakuna kitu kama hicho,kama hatua Ile ilipita kumbe tayari udhibiti ukifanyika.Yaani kiongozi wa nchi anaumwa muda mrefu, ugonjwa endelevu, anapotelea hospitalini majuma kadhaa, anapambania maisha yake kufa na kupona, hajiwezi. Lakini katika mazingira hayo hayo, taifa zima halijulishwi chochote, makamu wake hajui, aelezwi na anafichwa kimakusudi asijue chochote. Hatimaye Rais anafariki dunia, bado makamu wake hajui chochote, watu wengine wanakaa chini kujadili namna ya kuendesha mambo ya msiba bila makamu wa rais kujua chochote.
Tuseme ukweli, kuna nchi inaongozwa na kikundi cha watu wasiojulikana na kinyume cha katiba kwa 100%. Kuna kila dalili huenda mambo yakawa magumu zaidi huko mbeleni.
Wengine raisi ni ceremonial tu,prime minister ndo kila kitukatika nchi zote za kidemokrasia duniani kiongozi ni moja tu, Rais 🐒
wasaidizi wengine ni ikiwa tu,
kuna umuhimu wa kufanya hivyo 🐒
Mbona hakuna shida ,kiongonzi sio Binadam? ,ila swali ambalo sijapata jibu lake ni kwamba ,CDF anakosa adabu kuongelea mazingira ya kifo cha kiongozi, no wonder alifurushwa.
Angeambiwa mapema angeanza kupanga safu yake, ila Lissu alikuwa na taarifa zoteYaani kiongozi wa nchi anaumwa muda mrefu, ugonjwa endelevu, anapotelea hospitalini majuma kadhaa, anapambania maisha yake kufa na kupona, hajiwezi. Lakini katika mazingira hayo hayo, taifa zima halijulishwi chochote, makamu wake hajui, aelezwi na anafichwa kimakusudi asijue chochote. Hatimaye Rais anafariki dunia, bado makamu wake hajui chochote, watu wengine wanakaa chini kujadili namna ya kuendesha mambo ya msiba bila makamu wa rais kujua chochote.
Tuseme ukweli, kuna nchi inaongozwa na kikundi cha watu wasiojulikana na kinyume cha katiba kwa 100%. Kuna kila dalili huenda mambo yakawa magumu zaidi huko mbeleni.
Mwanamke hana kifua angeanza kutoa taarifa kwa jamaa zakeLabda ni matokeo ya mfumo dume(patriarchy system) tu na sio chochote kibaya
Ukishakuwa Rais, Padre, Askofu wewe siyo mali ya familia yako tena we ni nembo ya taifaMbona hakuna shida ,kiongonzi sio Binadam? ,ila swali ambalo sijapata jibu lake ni kwamba ,
Hivi ukishakua Rais nafasi ya familia nayo unapokonywa, kwamba kisa mimi Rais basi Mke wangu astahili kuniuguza , au kuwa karibu na mimi nikiwa katika hali ya Ugonjwa, je kama nipo na kauli yangu ya mwisho kwa familia ninayoiacha kupitia mke wangu iyo nafasi naipaje?
Naongea hivi kwa sababu Mabeyo anasema mpaka mwendazake anatwaliwa hata mke wake alikua hana taarifa, kwa nini? Binafsi naona marehem alinyimwa haki ya msingi , mke wake alitakiwa kuwa naye karibu au utaratibu upo vipi?
Nimekupata mkuu, kwa hoja yako hii thanksUkishakuwa Rais, Padre, Askofu wewe siyo mali ya familia yako tena we ni nembo ya taifa
Pamoja mkuuNimekupata mkuu, kwa hoja yako hii thanks