Rais mgonjwa mahututi mpaka mauti, lakini makamu wake hajui, aelezwi na anafichwa!

Huko ccm raisi na kikosi chake wote wapowapo tu hawajui nchi inaenda wapi
 
Yes mkuu nimekusoma vema,nakubaliana nawe mengi tu ILA la Dube pale Dumila alikua anaendesha from opposite side,ilitakiwa a slow down au asimame ili msafara upite
 
Yes mkuu nimekusoma vema,nakubaliana nawe mengi tu ILA la Dube pale Dumila alikua anaendesha from opposite side,ilitakiwa a slow down au asimame ili msafara upite
Tuseme Inshallah, pia tutajua mara ya kwanza na ya mwisho gari zingine kuruhusiwa kutumia barabara sambamba na Msafara wa Waziri Mkuu ni siku hiyo ya ajali na si kabla wala baada yake
 
Ni miaka mitatu imekwisha tangu mzee akate moto, hakuna mwingine aliyezungumzia scenario nzima ya kifo cha mzee zaidi ya mstaafu wa jeshi. Kwanini tusitumie hiyo kama credible benchmark true story ya tukio zima mpaka sasa?
 
Nani aliokwambia Rais "hajui"?
 
Kwa hiyo ulaji uko upande wako na saa hii unaogelea kwenye mihela?
Miki siku zote ulaji upo na kukosa kupo pia, so nimeshazoea hali zote ndiyo maana siyo chawa wa mtu yeyote kama ulivyokuwa chawa wa Jiwe. Pole mkuu jaribu kuishi maisha yako bila kutegemea uchawa. Ila kama uchawa uko damuni njoo uwe chawa wangu
 
You think alikua hajui?

You dudes are soooo blinded
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…