Siyo kweli.....Hata huyo akianza kunogewa, si ajabu yeye na genge lake watajiwekea kinga kimya kimya.
Utashangaa tu kasheria kamepenyezwa na kusainiwa.
Tatizo si kutenda haki tu mkuu bali pia wanatuibia sana then wanatughiribu na milioni tano sita wanavyogawa barabarani.Ccm inapigana kubaki madarakani kulinda makaburi tu ndo maana mahandaki ya kupita reli mwenyekiti wao anaona nayo ni maendeleoWalioenda kubadili katiba ili wasidhtakuee wajue hiyo sio dawa,dawa Ni kutenda haki ,wasipotenda haki,wakabadili sheria wasishtakiwe itafutwa ,itabadilishwa na watashtakiwa tu.
Wewe unadhani tunalo Bunge la kupinga matakwa yake Rais anayotaka yapite?Hiyo sheria aliiweka yeye au ilitungwa na bunge?
Yeye kama yeye anawezaje kubadili katiba ambayo imetungwa na bunge, kwa hiyo yeye yupo juu ya katiba?
Mkuu sheria siyo katiba na pia usikariri kuwa katiba za nchi zote zipo Kama hii ya kwenu msio na akili pia Lakini pia naomba nikukumbushe kwa Tanzania rais ni sehemu ya bungeHiyo sheria aliiweka yeye au ilitungwa na bunge?
Yeye kama yeye anawezaje kubadili katiba ambayo imetungwa na bunge, kwa hiyo yeye yupo juu ya katiba?
Ndicho alichofanya Chakwera......Cha kujifunza hapa ni kwamba viongozi wetu wa kiafrica wamejaa chuki na visasi... Angepeleka muswada bungeni iwe sheria kwa rais yeyote atakàeingia madarakani siyo kumtarget mpinzan wako tu
Hiyo sheria itakuwa retroactive?Tumepokea taarifa kutoka Malawi, kuwa kiongozi mpya aliyechaguliwa kwa kura nyingi katika kura za marejeo, Lazarus Chakwera, katika uchaguzi uliokuwa huru na wa haki, ndani ya saa 24, tokea aapishwe, ameondoa kinga ya kutoshtakiwa, aliyokuwa amejiwekea, kiongozi anayeondoka madarakani, Peter Mutharika.
Tunajifunza nini kwa hatua hiyo iliyochukuliwa na kiongozi huyo mpya wa Malawi, Lazarus Chakwera?
Kama Taifa tunachopaswa kujifunza, ni kuona uongozi ni kama dhamana ambayo tumepewa na wananchi, ambapo tunapaswa tujinyenyekeze kwa wananchi wote na tuwatumikie kwa usawa, hao wananchi waliotupa dhamana hiyo tuliyo nayo na tunapaswa tutekeleze majukumu yetu, kwa mujibu wa Katiba ya nchi yetu, bila kuwaonea raia kwa kutumia vyombo vya dola, ambavyo tunaamini kuwa sisi ndiyo tunaovimiliki.
Viongozi wetu pia wanapaswa waache mara moja tabia wanayoiendekeza ya kila kukicha, kupeleka Bungeni miswada mipya ya sheria za ukandamizaji na kujiwekea kinga ya kutoshtakiwa, kama vile wao ndiyo watakaodumu milele madarakani!
Wanapaswa pia kufikiri upya, kama hatua yao ya kupeleka muswada kwa hati ya dharura, kwa viongozi kama vile kuwawekea kinga ya kutoshtakiwa, Spika wa Bunge, Waziri Mkuu na Jaji Mkuu, kama uamuzi huo ulikuwa wa busara.
Ni lazima tujue kuwa ukandamizaji unaozidi kupita kiasi hapa nchini, hautadumu milele, kwa hiyo ni vyema viongozi wetu wakatekeleza majukumu yao kwa haki na kwa mujibu wa Katiba ya nchi, kwani ndiyo kinga pekee ya kudumu, itakayowaacha salama, hata watakapotoka madarakani.
Malawi mahakama zinanguvu sana kwani wanasheria huko hawatetereki kwa kusimamia sheria, tukumbuke Rais aliyeondoka alikata rufaa kwenye kesi ya uchaguzi lakini mahakama iliitupa rufaa hiyo kwa kukosa hoja.Hata huyo akianza kunogewa, si ajabu yeye na genge lake watajiwekea kinga kimya kimya.
Utashangaa tu kasheria kamepenyezwa na kusainiwa.
Wewe unadhani tunalo Bunge la kupinga matakwa yake Rais anayotaka yapite?
Hebu kuwa mkweli, kwa Spika wa "design" ya Ndugai,ndiyo wa kupinga sheria atakayoileta Rais na atakayotaka ipite?
Mkuu sheria siyo katiba na pia usikariri kuwa katiba za nchi zote zipo Kama hii ya kwenu msio na akili pia Lakini pia naomba nikukumbushe kwa Tanzania rais ni sehemu ya bunge
Aisee huyu sasa anatakiwa kuombewa ulinzi wasije muondoa kwenye kiti kabla ya mudaIkiwa ni chini ya saa 24 tangu kuapishwa kwake, Rais mpya wa Malawi, Dkt. Lazarus Chakwera amemuondolea kinga ya kutoshtakiwa aliyekuwa Rais wa taifa hilo, Peter Mutharika ili aweze kushtakiwa.
Vilevile, ili kuhakikisha kuwa mizizi ya utawala katili uliojawa na rushwa uliopita inang’olewa na kuondoka kabisa serikalini, Rais Chakwera amemtimua kazi Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini huko Duncan Mwapasa na kumteua Inspekta Jenerali Dkt. George Kainja kuchukua nafasi hiyo.
Rais Peter Mutharika hakupata muda wa kufuta baraza lake la mawaziri ingawa alitakiwa kufanya hivyo siku chache kabla ya uchaguzi kama ambavyo katiba ya Malawi inamtaka kufanya. Mawaziri waliokuwa katika baraza lake wametakiwa kurudisha mali zote za serikali wanazozishikilia ikiwamo magari waliyopewa na serikali kufikia siku ya kesho kabla ya saa tano asubuhi.
Wakati huohuo, kutakuwapo na mabadiliko makubwa katika Mamlaka ya Mapato ya Malawi yanayotarajiwa kufanywa na Makamu wa Rais Dkt. Chilima ikiwa ni juhudi za kukabiliana na rushwa katika ofisi kubwa za serikali.
**** Watawala wetu wana la kujifunza****
Former president Peter Mutharika has been stripped of his immunity from prosecution and that he can now face charges, a law expert has said.
University of Malawi’s Chancellor College dean of law Sunduzwayo Madise said following legal ritual of new leader Lazarus Chakwera being sworn in as President of Malawi after winning an election rerun, the immunity has been inherited by Chakwera while Mutharika has lost it.
“And just like that by operation of the law the immunity that the former president had against prosecution and suits is gone,” Madise wrote on his Facebook wall.
Saulos Chilima, the vice-president, during Mutharika regime and remains in that position as Chakwera’s deputy, accused Mutharika of high-level graft.
Mutharika’s Democratic Progressive Party (DPP) officials were involved in numerous graft scandals including former minister Ben Phiri and Chief Secretary to government Lloyd Muhara.
With law degrees from the University of London and Yale, Mutharika left Malawi in the 1960s to settle in the United States.
He returned to the country in 1993 to help draft its first democratic constitution after the fall of Hastings Banda’s dictatorship.
Mutharika went back to the US but returned home in 2004 when his brother came to power, serving as his informal advisor.
A widower for 30 years, Mutharika has three children. In 2014 he married his second wife Gertrude Maseko, a former member of parliament.
Mutharika has been defeated by Chakwera who secured the required majority, with 58.57% of the vote, the electoral commission said.