Tindikali
JF-Expert Member
- Mar 26, 2010
- 2,086
- 2,823
na kujiwekea kinga ya kutoshtakiwa
Ni kinga ya kushtakiwa.
Hakuna kinga ya kutoshtakiwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na kujiwekea kinga ya kutoshtakiwa
10 Jun 2020
Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa akizungumza bungeni alipokuwa akichangia muswada wa sheria ya marekebisho ya sheria mbalimbali (Na 3) wa mwaka 2020, jijini Dodoma.
Kwahiyo Malawi kila Rais anayeingia anatunga sheria na kubadili sheria muda wowote anaojisikia. Sasa kesho akitangaza wote waabudu dini yake nani atapinga.Kama ni MFUMO uliojaa UOZO mwanzo mwisho kwanini AUKUMBATIE? [emoji15][emoji15][emoji15]
Kama aliahidi KUUFUMUA ni lazima ATIMIZE KAULI yake tena BILA KUCHELEWA.
Hapo kuna shida mahali.Hiyo sheria itakuwa retroactive?
Mutharika anaondolewa kinga kwa mambo ya kuanzia lini?
Patrice LumumbaSina neno zaidi ya kusema huyu rais kakurupuka vibaya mno. Huwezi kuja mbiombio ndani ya masaa 24 unafumua mfumo kwa ghafla hivyo, hiyo ni nchi wala sio kama chama cha mpira. Nchi ina systems na hazibadiliki ghafla bali zinabadilika taratibu kuachana na mazoea mabovu yaliyokuwepo.
China alipoingia Deng Xiaoping alikuwa anapinga ujinga uliofanywa na kina Mao Zedong lakini hakufanya haraka hivyo, USSR alipoingia Nikita Kruschev alijipanga kabla ya kuanza kumpinga Stalin ambaye alikuwa ashakufa.
Ni kama vile ana kisirani na kisasi, kama vile kaja kukomoa mtu. Mabadiliko hayaji kama mapinduzi yanatakiwa kuja hatua kwa hatua.
Kwahiyo Malawi kila Rais anayeingia anatunga sheria na kubadili sheria muda wowote anaojisikia. Sasa kesho akitangaza wote waabudu dini yake nani atapinga.
Wewe ni mwanasheria wa wapi? Ndio huko mnapopaitaga lumumba sijui?KIFUNGU cha 91 cha katiba ya malawi ndicho kinazuia raisi kushitakiwa humu ujue unaongea na watu wenye akili zao sio wajinga wajinga
Kifungu hicho hapo cha katiba yao ambacho huyo raisi mpya WA MALAWI anataka kujaribu kukivunja hana ubavu huo anataka kuchezea katiba kifungu hicho hapo
91. Immunity
1. No person holding the office of President or performing the functions of
President may be sued in any civil proceedings but the office of President shall
not be immune to orders of the courts concerning rights and duties under this
Constitution.
2. No person holding the office of President shall be charged with any criminal
offence in any court during his term of office.
3. After a person has vacated the office of President, he or she shall not be
personally liable for acts done in an official capacity during his or her term of
office but shall not otherwise be immune.
Na yeye baadae atajiwekea hiyo kinga...Tumepokea taarifa kutoka Malawi, kuwa kiongozi mpya aliyechaguliwa kwa kura nyingi katika kura za marejeo, Lazarus Chakwera, katika uchaguzi uliokuwa huru na wa haki, ndani ya saa 24, tokea aapishwe, ameondoa kinga ya kutoshtakiwa, aliyokuwa amejiwekea, kiongozi anayeondoka madarakani, Peter Mutharika.
Tunajifunza nini kwa hatua hiyo iliyochukuliwa na kiongozi huyo mpya wa Malawi, Lazarus Chakwera?
Kama Taifa tunachopaswa kujifunza, ni kuona uongozi ni kama dhamana ambayo tumepewa na wananchi, ambapo tunapaswa tujinyenyekeze kwa wananchi wote na tuwatumikie kwa usawa, hao wananchi waliotupa dhamana hiyo tuliyo nayo na tunapaswa tutekeleze majukumu yetu, kwa mujibu wa Katiba ya nchi yetu, bila kuwaonea raia kwa kutumia vyombo vya dola, ambavyo tunaamini kuwa sisi ndiyo tunaovimiliki.
Viongozi wetu pia wanapaswa waache mara moja tabia wanayoiendekeza ya kila kukicha, kupeleka Bungeni miswada mipya ya sheria za ukandamizaji na kujiwekea kinga ya kutoshtakiwa, kama vile wao ndiyo watakaodumu milele madarakani!
Wanapaswa pia kufikiri upya, kama hatua yao ya kupeleka muswada kwa hati ya dharura, kwa viongozi kama vile kuwawekea kinga ya kutoshtakiwa, Spika wa Bunge, Waziri Mkuu na Jaji Mkuu, kama uamuzi huo ulikuwa wa busara.
Ni lazima tujue kuwa ukandamizaji unaozidi kupita kiasi hapa nchini, hautadumu milele, kwa hiyo ni vyema viongozi wetu wakatekeleza majukumu yao kwa haki na kwa mujibu wa Katiba ya nchi, kwani ndiyo kinga pekee ya kudumu, itakayowaacha salama, hata watakapotoka madarakani.
Hatajiwekea.................Na yeye baadae atajiwekea hiyo kinga...
luHata huyo akianza kunogewa, si ajabu yeye na genge lake watajiwekea kinga kimya kimya.
Utashangaa tu kasheria kamepenyezwa na kusainiwa.
Ujumbe unatumwa kwa jiwe, kama haoni hiyo msg basi atakuwa ni sikio la kufa.Asubiri ili iweje labda, huyo muhuni atupwe ndani haraka ili somo liwakute mabaradhuli wote.
Kama ni sheria lazima ipite bungeni kwanza. Kuzungumza tu hakuna tijaWote wanaojiwekea ujinga kama huo, wakija wengine watavifuta/suspend katiba and one gets accountable!
Tumepokea taarifa kutoka Malawi, kuwa kiongozi mpya aliyechaguliwa kwa kura nyingi katika kura za marejeo, Lazarus Chakwera, katika uchaguzi uliokuwa huru na wa haki, ndani ya saa 24, tokea aapishwe, ameondoa kinga ya kutoshtakiwa, aliyokuwa amejiwekea, kiongozi anayeondoka madarakani, Peter Mutharika.
Tunajifunza nini kwa hatua hiyo iliyochukuliwa na kiongozi huyo mpya wa Malawi, Lazarus Chakwera?
Kama Taifa tunachopaswa kujifunza, ni kuona uongozi ni kama dhamana ambayo tumepewa na wananchi, ambapo tunapaswa tujinyenyekeze kwa wananchi wote na tuwatumikie kwa usawa, hao wananchi waliotupa dhamana hiyo tuliyo nayo na tunapaswa tutekeleze majukumu yetu, kwa mujibu wa Katiba ya nchi yetu, bila kuwaonea raia kwa kutumia vyombo vya dola, ambavyo tunaamini kuwa sisi ndiyo tunaovimiliki.
Viongozi wetu pia wanapaswa waache mara moja tabia wanayoiendekeza ya kila kukicha, kupeleka Bungeni miswada mipya ya sheria za ukandamizaji na kujiwekea kinga ya kutoshtakiwa, kama vile wao ndiyo watakaodumu milele madarakani!
Wanapaswa pia kufikiri upya, kama hatua yao ya kupeleka muswada kwa hati ya dharura, kwa viongozi kama vile kuwawekea kinga ya kutoshtakiwa, Spika wa Bunge, Waziri Mkuu na Jaji Mkuu, kama uamuzi huo ulikuwa wa busara.
Ni lazima tujue kuwa ukandamizaji unaozidi kupita kiasi hapa nchini, hautadumu milele, kwa hiyo ni vyema viongozi wetu wakatekeleza majukumu yao kwa haki na kwa mujibu wa Katiba ya nchi, kwani ndiyo kinga pekee ya kudumu, itakayowaacha salama, hata watakapotoka madarakani.
Kizungumkuti ni pale ambapo sipendi retroactive laws halafu pia sipendi presidential immunities.Hapo kuna shida mahali.
Wewe kumbe umezaliwa juzi. Unachofanya katika hali ya kupambana na mtu aliyejiwekea kinga zisizo za haki unasimamisha Katiba (suspend the constitution) unamshitaki mtu kwa mahakama maalum ambayo unaiunda wewe mtawala mpyaKama ni sheria lazima ipite bungeni kwanza. Kuzungumza tu hakuna tija
Tumejifunza kuwa wananchi wa mataifa yote ya Afarika wanatamani kumpata Rais kama Mh .Magufuli kama Vile Kwa miaka kumia iliyopita tangu 2010 Tanzania ilivyohangaika kumpata Rais atakaye wadhibiti wahujumu uchumi na wezi wa Mali za umma na wanasiasa wanaotumia siasa kwa Manufaa yao kama Mpigaji Mkuu na dikteta kivuli Mbowe aliyebadili katiba ya Chama Chake na kuondoa Ukomo wa nafasi ya Uenyekiti na sasa ameingia kwenye rikodi ya akina Lipumba ,Mrema ,Cheyo n.k.Tumepokea taarifa kutoka Malawi, kuwa kiongozi mpya aliyechaguliwa kwa kura nyingi katika kura za marejeo, Lazarus Chakwera, katika uchaguzi uliokuwa huru na wa haki, ndani ya saa 24, tokea aapishwe, ameondoa kinga ya kutoshtakiwa, aliyokuwa amejiwekea, kiongozi anayeondoka madarakani, Peter Mutharika.
Tunajifunza nini kwa hatua hiyo iliyochukuliwa na kiongozi huyo mpya wa Malawi, Lazarus Chakwera?
Kama Taifa tunachopaswa kujifunza, ni kuona uongozi ni kama dhamana ambayo tumepewa na wananchi, ambapo tunapaswa tujinyenyekeze kwa wananchi wote na tuwatumikie kwa usawa, hao wananchi waliotupa dhamana hiyo tuliyo nayo na tunapaswa tutekeleze majukumu yetu, kwa mujibu wa Katiba ya nchi yetu, bila kuwaonea raia kwa kutumia vyombo vya dola, ambavyo tunaamini kuwa sisi ndiyo tunaovimiliki.
Viongozi wetu pia wanapaswa waache mara moja tabia wanayoiendekeza ya kila kukicha, kupeleka Bungeni miswada mipya ya sheria za ukandamizaji na kujiwekea kinga ya kutoshtakiwa, kama vile wao ndiyo watakaodumu milele madarakani!
Wanapaswa pia kufikiri upya, kama hatua yao ya kupeleka muswada kwa hati ya dharura, kwa viongozi kama vile kuwawekea kinga ya kutoshtakiwa, Spika wa Bunge, Waziri Mkuu na Jaji Mkuu, kama uamuzi huo ulikuwa wa busara.
Ni lazima tujue kuwa ukandamizaji unaozidi kupita kiasi hapa nchini, hautadumu milele, kwa hiyo ni vyema viongozi wetu wakatekeleza majukumu yao kwa haki na kwa mujibu wa Katiba ya nchi, kwani ndiyo kinga pekee ya kudumu, itakayowaacha salama, hata watakapotoka madarakani.