Rais Mpya wa Malawi, Lazarus Chakwera amuondolea Kinga ya kutoshtakiwa Rais wa zamani, Peter Mutharika

Rais Mpya wa Malawi, Lazarus Chakwera amuondolea Kinga ya kutoshtakiwa Rais wa zamani, Peter Mutharika

Wewe unadhani tunalo Bunge la kupinga matakwa yake Rais anayotaka yapite?

Hebu kuwa mkweli, kwa Spika wa "design" ya Ndugai,ndiyo wa kupinga sheria atakayoileta Rais na atakayotaka ipite?
Kama watanzania Wanawachagua wabunge wa aina ya wale waliopo unategemea Rais afanyeje zaidi ya kuhakikisha anatekeleza matakwa ya wengi ambao walimpelekea wabunge wa aina hiyo na wakampata Spika wa aina hiyo.
Yeye ataanza kuvurugana na Bunge la wananchi?
Hebu tusiwe wanasiasa Uchwara na wasio na maarifa kama Mbowe anayeua upinzani kwa umaarufu na maslahi binafsi kwa kung'ang'ania Uenyekiti.
Tuwaambie ukweli watanzania kuwa Kosa ni la kwao sio Serikali. Serikali inatekeleza kile kilichopangwa Karne nyingi zilizopita.

Miaka mingi haya tunayoyaona yalishapangwa kinachofanyika ni utekelezaji tu. Serikali imejitahidi sana kutekeleza.
Bunge kazi yake ni kuhakikisha serikali inatekeleza majukumu yake ipasavyo. Sasa kama serikali inatekeleza majukumu yake basi Bunge sio lazima liiwajibishe kila Mara.
Hayo mengine ya kuwa na wabunge wa binafsi na wanaojipendekeza ni la kuwaachia wapiga kura.

Tunaona hata wapinzani hakuna wabunge Huru zaidi ya kujipendekeza tu kwa wenyeviti wao na wengine kujipendekeza kwa CCM ili wanunuliwe na kurudishwa Bungeni kwa msaada wa bunduki na mabomu ya dola. Sasa watu kama hao hatuwezi kuilaumu serikali peke yake mana hilo ni zao la Wapiga kura wengi ambao pia wana ubinafsi huo huo.
Akitokea mzalendo mmoja kama Magufuli ni kumshukuru tu Mungu mana atajenga Roho ya kizalendo kwa Taifa letu na mwisho atatumia uzalendo wake kutuachia Katiba na sheria nzuri.
Usifikiri Mh. Rais haoni madhaifu yaliyopo lakini hana uwezo wa kulipinga Bunge moja kwa moja kama anavyoweza kumpinga DAS mhuni na Malaya Malaya hadharani.
 
Kama watanzania Wanawachagua wabunge wa aina ya wale waliopo unategemea Rais afanyeje zaidi ya kuhakikisha anatekeleza matakwa ya wengi ambao walimpelekea wabunge wa aina hiyo na wakampata Spika wa aina hiyo.
Yeye ataanza kuvurugana na Bunge la wananchi?
Hebu tusiwe wanasiasa Uchwara na wasio na maarifa kama Mbowe anayeua upinzani kwa umaarufu na maslahi binafsi kwa kung'ang'ania Uenyekiti.
Tuwaambie ukweli watanzania kuwa Kosa ni la kwao sio Serikali. Serikali inatekeleza kile kilichopangwa Karne nyingi zilizopita.

Miaka mingi haya tunayoyaona yalishapangwa kinachofanyika ni utekelezaji tu. Serikali imejitahidi sana kutekeleza.
Bunge kazi yake ni kuhakikisha serikali inatekeleza majukumu yake ipasavyo. Sasa kama serikali inatekeleza majukumu yake basi Bunge sio lazima liiwajibishe kila Mara.
Hayo mengine ya kuwa na wabunge wa binafsi na wanaojipendekeza ni la kuwaachia wapiga kura.

Tunaona hata wapinzani hakuna wabunge Huru zaidi ya kujipendekeza tu kwa wenyeviti wao na wengine kujipendekeza kwa CCM ili wanunuliwe na kurudishwa Bungeni kwa msaada wa bunduki na mabomu ya dola. Sasa watu kama hao hatuwezi kuilaumu serikali peke yake mana hilo ni zao la Wapiga kura wengi ambao pia wana ubinafsi huo huo.
Akitokea mzalendo mmoja kama Magufuli ni kumshukuru tu Mungu mana atajenga Roho ya kizalendo kwa Taifa letu na mwisho atatumia uzalendo wake kutuachia Katiba na sheria nzuri.
Usifikiri Mh. Rais haoni madhaifu yaliyopo lakini hana uwezo wa kulipinga Bunge moja kwa moja kama anavyoweza kumpinga DAS mhuni na Malaya Malaya hadharani.
Wewe ndiyo unasema wananchi ndiyo wanachagua wabunge.......

Lakini katika hali halisi ya TZ ya Leo, ni Rais ndiye anayewachagulia wananchi hao wabunge wao majimboni kwao

Wewe hakuwahi kumsikia Rais Magufuli akisema waziwazi kuwa kura za maoni huko majimboni kwenu si lolote wala chochote, kwa kuwa itategemea yeye Mwenyekiti, kaamkaje siku hiyo ya kuendesha kikao cha Kamati Kuu, anaweza akawakata no 1 hadi no 3 ya walioongoza kwenye kura ya maoni ya majimboni kwenu na yeye akamchukua no 4 na asitoe sababu yoyote, ni kwa nini amewakata wale wote watatu walioongoza kwenye kura ya maoni jimboni kwenu!
 
Tumepokea taarifa kutoka Malawi, kuwa kiongozi mpya aliyechaguliwa kwa kura nyingi katika kura za marejeo, Lazarus Chakwera, katika uchaguzi uliokuwa huru na wa haki, ndani ya saa 24, tokea aapishwe, ameondoa kinga ya kutoshtakiwa, aliyokuwa amejiwekea, kiongozi anayeondoka madarakani, Peter Mutharika.

Tunajifunza nini kwa hatua hiyo iliyochukuliwa na kiongozi huyo mpya wa Malawi, Lazarus Chakwera?

Kama Taifa tunachopaswa kujifunza, ni kuona uongozi ni kama dhamana ambayo tumepewa na wananchi, ambapo tunapaswa tujinyenyekeze kwa wananchi wote na tuwatumikie kwa usawa, hao wananchi waliotupa dhamana hiyo tuliyo nayo na tunapaswa tutekeleze majukumu yetu, kwa mujibu wa Katiba ya nchi yetu, bila kuwaonea raia kwa kutumia vyombo vya dola, ambavyo tunaamini kuwa sisi ndiyo tunaovimiliki.

Viongozi wetu pia wanapaswa waache mara moja tabia wanayoiendekeza ya kila kukicha, kupeleka Bungeni miswada mipya ya sheria za ukandamizaji na kujiwekea kinga ya kutoshtakiwa, kama vile wao ndiyo watakaodumu milele madarakani!

Wanapaswa pia kufikiri upya, kama hatua yao ya kupeleka muswada kwa hati ya dharura, kwa viongozi kama vile kuwawekea kinga ya kutoshtakiwa, Spika wa Bunge, Waziri Mkuu na Jaji Mkuu, kama uamuzi huo ulikuwa wa busara.

Ni lazima tujue kuwa ukandamizaji unaozidi kupita kiasi hapa nchini, hautadumu milele, kwa hiyo ni vyema viongozi wetu wakatekeleza majukumu yao kwa haki na kwa mujibu wa Katiba ya nchi, kwani ndiyo kinga pekee ya kudumu, itakayowaacha salama, hata watakapotoka madarakani.
Huu muswada uliopelekwa hivi karibuni bungeni kufanyiwa marekebisho unaondo kinga ya kuwashitaki viongozi? Au umeleta utaratibu mwingine wa kuwashitaki viongozi wakiwa katika utendaji wao, ambapo lazima uthibishe namna haki yako ilivyoathirika na mashitaka yanapitia kwa Ag. Au Chadema kushindwa uchaguzi 2020 ndio mnatafuta kisingizio kila kona.
 
Wewe ndiyo unasema wananchi ndiyo wanachagua wabunge.......

Lakini katika hali halisi ya TZ ya Leo, ni Rais ndiye anayewachagulia wananchi hao wabunge wao majimboni kwao

Wewe hakuwahi kumsikia Rais Magufuli akisema waziwazi kuwa kura za maoni huko majimboni kwenu si lolote wala chochote, kwa kuwa itategemea yeye Mwenyekiti, kaamkaje siku hiyo ya kuendesha kikao cha Kamati Kuu, anaweza akawakata no 1 hadi no 3 ya walioongoza kwenye kura ya maoni ya majimboni kwenu na yeye akamchukua no 4 na asitoe sababu yoyote, ni kwa nini amewakata wale wote watatu walioongoza kwenye kura ya maoni jimboni kwenu!
Huu ndio ukosefu wa kufikiri kwa mapana. Rais alitolea mfano jinsi Cc ya chama chake inavyofanya mchujo kuangalia namna mgombea kura za maoni alivyoshinda na uadilifu wake. Wewe unapotosha na kusema uongo wako.
 
Kizungumkuti ni pale ambapo sipendi retroactive laws halafu pia sipendi presidential immunities.

Ndiyo maana nikauliza.
Hii taarifa inaweza kuwa ni misleading ama imeongezwa chumvi.

Maana waandishi wa habari huwa wana tabia ya kuvamia taarifa bila kuzihakiki usahihi wake neno kwa neno.

Si ajabu "presidential immunity" inayozungumzwa hapa inamaanisha kitu tofauti kabisa.

Otherwise, kama taarifa ni ya kweli, nadhani huyo Rais mpya amepotosha makusudi kwa manufaa ya kisiasa tu.

Nimeangalia Katiba ya Malawi inasema kwamba Rais anaweza kushitakiwa akiondoka madarakani. (the wording of that provision of the constitution is a bit complex, but i believe that to be the correct meaning from a number of case laws i have read which have interpreted the meaning of those types of immunities).

Sasa huyu Rais mpya naona ni msanii tu! Anajipa umaarufu kwa kitu ambacho kinawezekana hata kama asingesema.

Labda angesema atamchukulia hatua, na sio "atamuondolea kinga" kwasababu hiyo kinga haipo in the first place.
 
Huu ndio ukosefu wa kufikiri kwa mapana. Rais alitolea mfano jinsi Cc ya chama chake inavyofanya mchujo kuangalia namna mgombea kura za maoni alivyoshinda na uadilifu wake. Wewe unapotosha na kusema uongo wako.
Yeye Mwenyekiti kwa sasa ndiyo mwenye uwezo wa kumpa ubunge mbunge kwenye jimbo husika........

Wewe hukumsikia kule mikoa ya Kusini, akimwambia msanii mvaa "milegezo" Harmonize akachukue fomu ya ubunge kule Tandahimba?

Hivi wewe unadhani wananchi wa Tandahimba wako tayari kuwa na mbunge wa design ya msanii Harmonize?

Hilo ni chaguo lake Mwenyekiti mwenyewe kwa kuwa msanii huyo ametoa wimbo wa kumsifu na kumpongeza na wala siyo chaguo la wana Tandahimba
 
Yeye Mwenyekiti kwa sasa ndiyo mwenye uwezo wa kumpa ubunge mbunge kwenye jimbo husika........

Wewe hukumsikia kule mikoa ya Kusini, akimwambia msanii mvaa "milegezo" Harmonize akachukue fomu ya ubunge kule Tandahimba?

Hivi wewe unadhani wananchi wa Tandahimba wako tayari kuwa na mbunge wa design ya msanii Harmonize?

Hilo ni chaguo lake Mwenyekiti mwenyewe peke yake
Wewe unajua vipi? Kama alikuwa anatania? Maana huwa anapenda utani.
 
Wewe unajua vipi? Kama alikuwa anatania? Maana huwa anapenda utani.
Nyinyi kwa kila kitu anachosema Mwenyekiti wenu hivi sasa mnaita eti alikuwa akifanya utani........

Wewe mwenyewe unajua kuwa taasisi ya Urais ni kubwa sana katika nchi, haiwezekani afanye mzaha mzaha wakati analihihutibia Taifa, utadhani mtu wa kijiweni anapiga stori!
 
Nyinyi kwa kila kitu anachosema Mwenyekiti wenu hivi sasa mnaita eti alikuwa akifanya utani........

Wewe mwenyewe unajua kuwa taasisi ya Urais ni kubwa sana katika nchi, haiwezekani afanye mzaha mzaha wakati analihihutibia Taifa, utadhani mtu wa kijiweni anapiga stori!
Kwa hiyo unataka awe amenuna kama anagombana na wananchi wake? Lazima achomekee wacheke kidogom
 
Sipati picha mara Mh. Rais was JMT, Tundu Lissu anapokuwa amemaliza kutamka maneno haya katika kiapo chake ya "Mungu nisaidie" kwamba, baada ya nusu saa tu nini kitafuata....

I am sure haya yatafanyika immediately kabla mtu hata hajaingia ofisini;

1. Atatumia "Presidential decree" kufuta na kuondoa kinga za kutoshitakiwa kwa Marais wote waliopita, Maspika wa Bunge na Majaji baadhi ili waanze kulipia matendo yao...

2. Marais wote walio hai ( Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Magufuli) wataanza na kifungo cha kutotoka ndani (lockdown) wakati utaratibu wa kuwashitaki ukiandaliwa...!

3. Ku - seize bank accounts zao zote za ndani na nje ta nchi ikiwemo assets zao kama majumba, Magari nk nk...

Sipati picha, Magufuli ile 1.5trn sijui atakutwa ameiweka wapi tu....!!
 
Na yule jamaa yetu pale Bungeni kila akipelekewa muswada wa sheria tayari kashapitisha.. Angalieni yanayoendelea kwa majirani hapo endeleeni kujiwekea kinga halafu mfanye yasiyofaa mkamatwe kama ndege
 
16 July 2019
Mwanza, Tanzania

"Mimi mfungwa mtarajiwa..hapa ni mtakuja" - Rais Magufuli



Rais wa Tanzania, Mh. Dr. John Pombe Joseph Magufuli ametoa zawadi ya ng’ombe watatu na magunia 15 ya mchele kwa wafungwa na mahabusu katika Gezeza Kuu la Butimba jijini Mwanza akisema na yeye ni kama mfungwa mtarajiwa ......
Source: ITV Tanzania
 
Ikiwa ni chini ya saa 24 tangu kuapishwa kwake, Rais mpya wa Malawi, Dkt. Lazarus Chakwera amemuondolea kinga ya kutoshtakiwa aliyekuwa Rais wa taifa hilo, Peter Mutharika ili aweze kushtakiwa.

Vilevile, ili kuhakikisha kuwa mizizi ya utawala katili uliojawa na rushwa uliopita inang’olewa na kuondoka kabisa serikalini, Rais Chakwera amemtimua kazi Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini huko Duncan Mwapasa na kumteua Inspekta Jenerali Dkt. George Kainja kuchukua nafasi hiyo.

Rais Peter Mutharika hakupata muda wa kufuta baraza lake la mawaziri ingawa alitakiwa kufanya hivyo siku chache kabla ya uchaguzi kama ambavyo katiba ya Malawi inamtaka kufanya. Mawaziri waliokuwa katika baraza lake wametakiwa kurudisha mali zote za serikali wanazozishikilia ikiwamo magari waliyopewa na serikali kufikia siku ya kesho kabla ya saa tano asubuhi.

Wakati huohuo, kutakuwapo na mabadiliko makubwa katika Mamlaka ya Mapato ya Malawi yanayotarajiwa kufanywa na Makamu wa Rais Dkt. Chilima ikiwa ni juhudi za kukabiliana na rushwa katika ofisi kubwa za serikali.

**** Watawala wetu wana la kujifunza****

Former president Peter Mutharika has been stripped of his immunity from prosecution and that he can now face charges, a law expert has said.

University of Malawi’s Chancellor College dean of law Sunduzwayo Madise said following legal ritual of new leader Lazarus Chakwera being sworn in as President of Malawi after winning an election rerun, the immunity has been inherited by Chakwera while Mutharika has lost it.

“And just like that by operation of the law the immunity that the former president had against prosecution and suits is gone,” Madise wrote on his Facebook wall.

Saulos Chilima, the vice-president, during Mutharika regime and remains in that position as Chakwera’s deputy, accused Mutharika of high-level graft.

Mutharika’s Democratic Progressive Party (DPP) officials were involved in numerous graft scandals including former minister Ben Phiri and Chief Secretary to government Lloyd Muhara.

With law degrees from the University of London and Yale, Mutharika left Malawi in the 1960s to settle in the United States.

He returned to the country in 1993 to help draft its first democratic constitution after the fall of Hastings Banda’s dictatorship.

Mutharika went back to the US but returned home in 2004 when his brother came to power, serving as his informal advisor.

A widower for 30 years, Mutharika has three children. In 2014 he married his second wife Gertrude Maseko, a former member of parliament.

Mutharika has been defeated by Chakwera who secured the required majority, with 58.57% of the vote, the electoral commission said.
Ulishwahi tazama movie ya the last king of scotland, pale wakati Idd Amina anwahutubia waganda anasema Mimi na nyinyi ni dugu, wananchi wanashangilia. Yule dogo akawafurahi akasema jamaa inaelekea anapendwa na anajali wananchi sana, mke wa mchungaji akamjibu, hili siyo jipya kwa afrika kila inapotokea mapinduzi au uchaguzi wa raisi mpya mambo uwa hivi ahadi kede kede watu kufurahi kuwa ndiyomabadiriko lakini baada ya muda mambouwa yale yale.
Mpeni muda utasikia
 
Hii taarifa inaweza kuwa ni misleading ama imeongezwa chumvi.

Maana waandishi wa habari huwa wana tabia ya kuvamia taarifa bila kuzihakiki usahihi wake neno kwa neno.

Si ajabu "presidential immunity" inayozungumzwa hapa inamaanisha kitu tofauti kabisa.

Otherwise, kama taarifa ni ya kweli, nadhani huyo Rais mpya amepotosha makusudi kwa manufaa ya kisiasa tu.

Nimeangalia Katiba ya Malawi inasema kwamba Rais anaweza kushitakiwa akiondoka madarakani. (the wording of that provision of the constitution is a bit complex, but i believe that to be the correct meaning from a number of case laws i have read which have interpreted the meaning of those types of immunities).

Sasa huyu Rais mpya naona ni msanii tu! Anajipa umaarufu kwa kitu ambacho kinawezekana hata kama asingesema.

Labda angesema atamchukulia hatua, na sio "atamuondolea kinga" kwasababu hiyo kinga haipo in the first place.
You are a gentleman and a scholar.

This kind of analysis makes JF a priceless resource.
 
Wapi nilipoandika hivyo? Kama sheria zimekaa UOZO na MADUDU kwanini ZIKUMBATIWE badala ya KUFUTWA!?
Wapi nilipodai umeandika hivo?
Unadai sheria hubadilishwa na mtu kisa zina uozo, kwahiyo rais wao ndiye anayebadili sheria na kuweka anazotaka yeye?
Hata kama sheria zina uozo, hazibadilishwi na mtu kisa ni mchungaji sijui katoka kanisani. Bunge au mahakama ndo inabadili katiba/vifungu vya sheria. Sio kazi ya rais.
 
Sina neno zaidi ya kusema huyu rais kakurupuka vibaya mno. Huwezi kuja mbiombio ndani ya masaa 24 unafumua mfumo kwa ghafla hivyo, hiyo ni nchi wala sio kama chama cha mpira. Nchi ina systems na hazibadiliki ghafla bali zinabadilika taratibu kuachana na mazoea mabovu yaliyokuwepo.
China alipoingia Deng Xiaoping alikuwa anapinga ujinga uliofanywa na kina Mao Zedong lakini hakufanya haraka hivyo, USSR alipoingia Nikita Kruschev alijipanga kabla ya kuanza kumpinga Stalin ambaye alikuwa ashakufa.
Ni kama vile ana kisirani na kisasi, kama vile kaja kukomoa mtu. Mabadiliko hayaji kama mapinduzi yanatakiwa kuja hatua kwa hatua.
Huyo kachukua hayo kaamuzi kimhemuko! Yani ile mizuka na mihemko kama ya kina Lisu ndio iliyopelekea huyo jamaa kuchukua hayo maamuzi.

Lakini akikaa akatulia mizuka na mihemko ikitulia atajiona kumbe kachimba kaburi atalotumbukia hata yeye mwenyewe!
 
Wewe ndiyo unasema wananchi ndiyo wanachagua wabunge.......

Lakini katika hali halisi ya TZ ya Leo, ni Rais ndiye anayewachagulia wananchi hao wabunge wao majimboni kwao

Wewe hakuwahi kumsikia Rais Magufuli akisema waziwazi kuwa kura za maoni huko majimboni kwenu si lolote wala chochote, kwa kuwa itategemea yeye Mwenyekiti, kaamkaje siku hiyo ya kuendesha kikao cha Kamati Kuu, anaweza akawakata no 1 hadi no 3 ya walioongoza kwenye kura ya maoni ya majimboni kwenu na yeye akamchukua no 4 na asitoe sababu yoyote, ni kwa nini amewakata wale wote watatu walioongoza kwenye kura ya maoni jimboni kwenu!
Bora awapige chini wezi wanaojifanya wema.

Hata awamu ya tatu na ya NNE watu walikatwa.
 
Mkuu,acha kufananisha mkuu wa meza na vitu vya hovyo hovyo,takataka.
 
Back
Top Bottom