Rais Mstaafu Dkt. Kikwete akutana na Balozi wa Marekani Nchini Tanzania

Asa huyo mwendazake pamoja na yote hayo kuwakoromea mabeberu kafanya nini lamaana

1.deni la taifa limekua kubwa maradufu akikopa kupitia uwani huku akijisifu pesa zetu za ndani

2.mbishi afu hashauriki alikua akiamin uchawi kuliko sayansi

3.hataki kukosolewa afu anatuletea sera 1940 kupinga ubeberu akati kashachelewa chuki binafsi zilimjaa na hasira zidi ya watu ambap walikua tofauti nae aliabudiwa sana na wajinga wajinga
 
kwa nn mnaogopa? basi nyie mnao ogopa msoga mlikuwa na agenda za siri.sasa mtambue kuwa Luteni Generali yuko timamu, kamwe hamto pata nafasi ya kufanya mnacho taka.
 
Sasa aliyekuwa Rais dhaifu ni yupi?
 
Hili Taifa ni tabu kama tabu wa kule ichwakima😂😂😂
Raia hawajui wanachokitaka
Viongozi hawajui wanachokifanya
Upinzani hawajui wanacho kipigania

Taifa la kipumbavu kabisa kwenye uso wa dunia.
Yaaani tupotupoo tu....
 
Hili Taifa ni tabu kama tabu wa kule ichwakima😂😂😂
Raia hawajui wanachokitaka
Viongozi hawajui wanachokifanya
Upinzani hawajui wanacho kipigania

Taifa la kipumbavu kabisa kwenye uso wa dunia.
Yaaani tupotupoo tu....
Jiue umfuate dikteta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…