Rais Mstaafu Jakaya Kikwete agomea eneo la ekari 50, ataka ekari 500

Muhimbili wanatumia balaa
 
Chuo kikuu cha mambo ya tiba ni lazima kiwe na hospitali ambayo hiyo hospitali inatoa huduma kwa watu.

Sasa unawezaje kujenga taasisi hizo mbili bila kuzingatia suitability na accessibility ya eneo husika ?

Yaani ujiokotee eneo hata la mabondeni huko kwa sababu haulipi watu fidia, then ukajenge chuo ?
 
Hiyo Ardhi Mbeya hawezi kuipata maana wilaya ambazo zina Ardhi kidogo ya akiba ni Chunya na Mbarali lakini 500-1000 too much hata UDSM main campus hawana eneo la hivyo
 
University Hospital siyo lazima iwe main campus. Mbeya University wanaweza kuwa University Hospital sehemu moja na main campus sehemu nyingine. Infact vyo vingi vyenye University Hospitals zinazoheshimika huwa hospitali zao ziko off campus kabisa. Hutaki magari ya ambulance yanayopiga ving'ora yawe yanapita kupeleka wagongwa emmergency room na kusababisha makelele madarasani wakati wa lecture.
 
Huko watani zangu Mna majanga mengi, mafuriko,ma ukimwi, matetemeko, mavita ya Kagera n.k

Mtakitia Nuksi Chuo chetu pendwa kilichofanikiwa kutoa Ma Rais wawili wa Jamhuri ya Tz, Rais mmoja wa Uganda, Rais wa Sudan kusini n.k hadi sasa!
Waje Kagera eneo lipo tutawapa.
 
Hiyo Ardhi Mbeya hawezi kuipata maana wilaya ambazo zina Ardhi kidogo ya akiba ni Chunya na Mbarali lakini 500-1000 too much hata UDSM main campus hawana eneo la hivyo
Mmmh, ya kweli hayo mkuu... ?
Yaani Mbeya ikose ekari 500 hadi iende huko wilayani ?
Au wewe unazungumzia HEKTA 500 ?
 
Mmmh, ya kweli hayo mkuu... ?
Yaani Mbeya ikose ekari 500 hadi iende huko wilayani ?
Au wewe unazungumzia HEKTA 500 ?
Heka 500-1000 Mbeya mjini atazipata wapi? Wilaya ya Mbeya imezungukwa na milima maeneo ya tambarare ni machache sana na mengi yanamashamba au majumba ya watu
 
What is the essence then ?
Yaani unafanya new project, halafu unajenga chuo sehemu moja na hospitali unaijenga sehemu nyingine ya mbali ?
Hii umewahi kuiona wapi mkuu ?

Halafu ambulance inapiga kelele inapopita barabarani huko, ambulance kamwe haipigi king'ora ikiwa kwenye mazingira ya hospitali. Never.
 
Heka 500-1000 Mbeya mjini atazipata wapi? Wilaya ya Mbeya imezungukwa na milima maeneo ya tambarare ni machache sana na mengi yanamashamba au majumba ya watu
Ekari 500-1000 ni lazima ziwe tambarare ?
 
Huko watani zangu Mna majanga mengi, mafuriko,ma ukimwi, matetemeko, mavita ya Kagera n.k

Mtakitia Nuksi Chuo chetu pendwa kilichofanikiwa kutoa Ma Rais wawili wa Jamhuri ya Tz, Rais mmoja wa Uganda, Rais wa Sudan kusini n.k hadi sasa!
Majanga yapo ili kukujenga ukomae na ujue kupambana, chuo chenyewe kimeshakuwa na nuksi hadi sasa.
 
Toeni eneo sasa mjenge tawi la mbeya mnangoja nini?
 
Toeni eneo sasa mjenge tawi la mbeya mnangoja nini?
Tutatoa mkuu. Chuo ni jambo jema sana. Tutatoa, hatuwezi kuruhusu hii fursa ipotee kwenda kwenye mkoa mwingine (ambayo nayo ni ngumu sana, sema ni vile Mkwere kaamua tu kupiga mkwara)
 
Tutatoa mkuu. Chuo ni jambo jema sana. Tutatoa, hatuwezi kuruhusu hii fursa ipotee kwenda kwenye mkoa mwingine (ambayo nayo ni ngumu sana, sema ni vile Mkwere kaamua tu kupiga mkwara)
Hakuna mkwara hapo mkizingua tunahamisha hii nchi ina maeneo mengi tuu yanahitaji kujengewa chuo kikuu.
 
Then tell me where in Mbeya District you can get
222+ to 444+ Hectares of Land?
Mimi na wewe ni lazima kwanza tukubaliane tunajadili nini hapa.

1. Ekari (Acres) au Hekta (Hectares)
2. Ni lazima eneo hilo liwe tambarare and unoccupied ?
 
Waende wakajenge Dodoma huko ndo Kuna miekari ,mbeya ni jiji la viwanda na ni mkoa wa kilimo,unalisha takribani 75% ya mikoa yote tz,tuwape miekari 1000,halafu tulime wapi ,kwanza hiyo UDSM kwetu si kipaumbele labda wangekuwa SUA at least tungeweza kufikilia ,UDSM ni chuo Cha mashalobaro na sistaduuz ,ekari 50 hamtaki Basi,nendeni kwingine,
 
Mimi na wewe ni lazima kwanza tukubaliane tunajadili nini hapa.

1. Ekari (Acres) au Hekta (Hectares)
2. Ni lazima eneo hilo liwe tambarare and unoccupied ?
Nimezibadilisha tu kubwa hekta aya ngoja nianzike heka 500-1000 niambie katika wilaya ya Mbeya ni eneo gani anaweza kupata? Lisiwe ni la misitu ya TFS nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…