Pole kwa wafiwa,Kumbe mzee alichomoka na walinzi wake wale wale tokea akiwa madarakani?
Pole kwa mbunge na wanakigamboni kwa ujumla kwa msiba unaomhusu muwakilishi wao.
Siasa ikae pembeni kidogo mambo mengine yaendelee. Kuna watu watachukia kwanini kaenda kwenye huu msiba.
Pole kwa wafiwa,
Inavyoelekea huo ndio utaratibu wao, hata hawa wa sasa baadhi yao tu na sio wote wataondoka naye.
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Kikwete alipowasili eneo la msiba nyumbani kwa marehemu mzee Gabriel Ndugulile Ferry Kigamboni Jijini Dar es salaam kutoa pole kwa familia kwa msiba huo.
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Kikwete alipowasili eneo la msiba nyumbani kwa marehemu mzee Gabriel Ndugulile Ferry Kigamboni Jijini Dar es salaam kutoa pole kwa familia kwa msiba huo.
Ndugu Dkt. Ndugulile akitoa shukrani kwa watu wote kuhudhuria na kutoa salamu za pole na rambirambi kwa msiba uliowapata kuondokewa na Baba yao kipenzi marehemu Mzee Gabriel Ndugulile.
Pia ametoa shukrani kwa niaba ya familia kwa Mhe.Rais JP.Magufuli kuwapatia ndege moja ya serikali kasafiria kuelekea Mkoani Tabora kwa mazishi.
Mkuu wa wilaya ya Kigamboni Mhe.Sarah Msafiri akitoa salamu za pole kwa familia ya Marehemu Gabriel Ndugulile kwa niaba ya Serikali nzima ya Manispaa ya Kigamboni.
Mhe. Faustine Ndugulile Mbunge wa Jimbo la Kigamboni alifiwa na Baba Mzazi Gabriel S. Ndugulile Jumamos 18.07.2020 Asubuhi. Msiba upo Nyumbani Kwake Ferry, Kigamboni, Dar Es Salaam
Faustine Ndungulile, alikuwa Daktari binafsi wa Kikwete kwa muda mrefu sana..
Ilikuwa furaha sanaLazima iwe hivyo ni ushindi wa taifa zima. Hata kule Rombo mzee Saanane nasikia amechinja ng'ombe.
Kamuulize yeye.
RiP mzee Ndugulile
Ilikuwa furaha kubwa SanaLazima iwe hivyo ni ushindi wa taifa zima. Hata kule Rombo mzee Saanane nasikia amechinja ng'ombe.
Inashangaza sana kuona mke wa Rais mstaafu anahangaika na siasa za majukwaani badala ya kukaa na kumuuguza mumewe!!! Wanawake wengine ajabu sana!Muulize kuwa mkewe kakosa nini Hadi anahangaika na siasa?
Hapana huyo ni DC wa Kigamboni kanafaa kutafunwa na mifupa yake!Huyo mama kulia ni mke wa Ndugulile? Umbo lake zuri, Ohho nilitaka kusahau poleni wafiwa
Unamjua mmewe?Hapana huyo ni DC wa Kigamboni kanafaa kutafunwa na mifupa yake!
Kaolewa kumbe maana alikua single kwa muda mrefu Sana. Mengine mmh mdomo koma!Ohh Sarah Msafiri ni mke wa ndoa wa yule mlinzi pendwa wa Magufuli, yule mweusi
Hajawahi kuwa ticha Sara. Alikuwa investigation officer Time ya haki za binadamu then akachaguliwa mbunge viti maalumu awamu ya nne . Awamu hii akapata ukuu wa wilaya na alianzia mbulu then Kigamboni. Hajawahi kuwa ticha.Asante sana kumbe ni yule alikuwaga ticha.Thanks.
Bashite amefika kumfariji Dr Ndungulile?