🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤸🤸🤸Pole kwa wafiwa hasa mshindi wa taifa,Asante Jk kwa kutuwakilisha WaTz tuliombali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤸🤸🤸Pole kwa wafiwa hasa mshindi wa taifa,Asante Jk kwa kutuwakilisha WaTz tuliombali
Tuchojadili nikiweka atafuta huyo bwana jamii f.
Ni mkuu wa Wilaya ya KigamboniHuyo mama kulia ni mke wa Ndugulile? Umbo lake zuri, Ohho nilitaka kusahau poleni wafiwa
Karibia wote alichomoka nao, wachache walibaki na mpya japo nao washachomoka.Kumbe mzee alichomoka na walinzi wake wale wale tokea akiwa madarakani?
Pole kwa mbunge na wanakigamboni kwa ujumla kwa msiba unaomhusu muwakilishi wao.
Siasa ikae pembeni kidogo mambo mengine yaendelee. Kuna watu watachukia kwanini kaenda kwenye huu msiba.
Alaa kumbe ni huyu, basi anastahiliNi mkuu wa Wilaya ya Kigamboni
Wapiga kura wake wanaona ana ushawishi ndiyo maana wamemchagua kwa shangwe na nderemo.Mie Namuona Hana ushawishi kbs hata ongea yake haina ushawishi..dah...ila kweli sijui kakosa nini
😂😂😂😂😂😂Pia amekuja kumpongeza kwa kumdodosha yule nduli.
Ushawishi kwa wengine ni utendaji kaziWapiga kura wake wanaona ana ushawishi ndiyo maana wamemchagua kwa shangwe na nderemo.
Baba wa Ndungulile na Kikwete walikuwa ni marafiki wa karibu fulani hivi (urafiki wa kimfumo na matukio). Nguvu ya JK ndiyo iliyomuweka Ndungulile kwenye ubunge mwaka 2010 sababu ya urafiki wao.Kumbe mzee alichomoka na walinzi wake wale wale tokea akiwa madarakani?
Pole kwa mbunge na wanakigamboni kwa ujumla kwa msiba unaomhusu muwakilishi wao.
Siasa ikae pembeni kidogo mambo mengine yaendelee. Kuna watu watachukia kwanini kaenda kwenye huu msiba.
Shangilia Kigeza Ulo UloleeeePole kwa msiba ushindi wa ndugulile kigamboni ulifanya nchi itetemeke hivi
Sijakataa...huenda hukuelewa nilichomaamishaWapiga kura wake wanaona ana ushawishi ndiyo maana wamemchagua kwa shangwe na nderemo.
Havijawahi tengana hvyo. Kila mara viko pamoja..., 'Furaha' na 'Huzuni.'Sometimes furaha na huzuni huja pamoja
Vipi makonda amefika kumpa pole Dr Ndungulile?View attachment 1514871
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Kikwete alipowasili eneo la msiba nyumbani kwa marehemu mzee Gabriel Ndugulile Ferry Kigamboni Jijini Dar es salaam kutoa pole kwa familia kwa msiba huo.
View attachment 1514872
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Kikwete alipowasili eneo la msiba nyumbani kwa marehemu mzee Gabriel Ndugulile Ferry Kigamboni Jijini Dar es salaam kutoa pole kwa familia kwa msiba huo.
View attachment 1514933
Ndugu Dkt. Ndugulile akitoa shukrani kwa watu wote kuhudhuria na kutoa salamu za pole na rambirambi kwa msiba uliowapata kuondokewa na Baba yao kipenzi marehemu Mzee Gabriel Ndugulile.
Pia ametoa shukrani kwa niaba ya familia kwa Mhe.Rais JP.Magufuli kuwapatia ndege moja ya serikali kasafiria kuelekea Mkoani Tabora kwa mazishi.
View attachment 1514935
Mkuu wa wilaya ya Kigamboni Mhe.Sarah Msafiri akitoa salamu za pole kwa familia ya Marehemu Gabriel Ndugulile kwa niaba ya Serikali nzima ya Manispaa ya Kigamboni.
Mhe. Faustine Ndugulile Mbunge wa Jimbo la Kigamboni alifiwa na Baba Mzazi Gabriel S. Ndugulile Jumamos 18.07.2020 Asubuhi. Msiba upo Nyumbani Kwake Ferry, Kigamboni, Dar Es Salaam
Poleni wafiwa.
Japo sijaelewa tunachojadili hapa.
Binadamu hatosheki, leo mvua ikinyesha kesho atataka juaMuulize kuwa mkewe kakosa nini Hadi anahangaika na siasa?
Pole kwa wafiwa hasa mshindi wa taifa,Asante Jk kwa kutuwakilisha WaTz tuliombali