Rais mstaafu, Jakaya Kikwete ahudhuria msiba wa Gabriel Ndugulile, Baba wa aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni

Rais mstaafu, Jakaya Kikwete ahudhuria msiba wa Gabriel Ndugulile, Baba wa aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni

Kumbe mzee alichomoka na walinzi wake wale wale tokea akiwa madarakani?

Pole kwa mbunge na wanakigamboni kwa ujumla kwa msiba unaomhusu muwakilishi wao.

Siasa ikae pembeni kidogo mambo mengine yaendelee. Kuna watu watachukia kwanini kaenda kwenye huu msiba.
Karibia wote alichomoka nao, wachache walibaki na mpya japo nao washachomoka.
 
Kumbe mzee alichomoka na walinzi wake wale wale tokea akiwa madarakani?

Pole kwa mbunge na wanakigamboni kwa ujumla kwa msiba unaomhusu muwakilishi wao.

Siasa ikae pembeni kidogo mambo mengine yaendelee. Kuna watu watachukia kwanini kaenda kwenye huu msiba.
Baba wa Ndungulile na Kikwete walikuwa ni marafiki wa karibu fulani hivi (urafiki wa kimfumo na matukio). Nguvu ya JK ndiyo iliyomuweka Ndungulile kwenye ubunge mwaka 2010 sababu ya urafiki wao.
Ndungulile amebebwa na amebebeka, sasa hivi ameweza kujisimamia na kuwa mwanasiasa kikamilifu.
Sasa hivi Ndungulile ndiye anakwenda kuwa Mbunge wa Taifa baada ya Kumtwanga Bashite
 
Kikwete alishamtosa makonda baada ya kuhalibu deal zake.

Kiujumla kikwete hana hamu na serikali ya jpm.
 
View attachment 1514871
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Kikwete alipowasili eneo la msiba nyumbani kwa marehemu mzee Gabriel Ndugulile Ferry Kigamboni Jijini Dar es salaam kutoa pole kwa familia kwa msiba huo.
View attachment 1514872
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Kikwete alipowasili eneo la msiba nyumbani kwa marehemu mzee Gabriel Ndugulile Ferry Kigamboni Jijini Dar es salaam kutoa pole kwa familia kwa msiba huo.
View attachment 1514933
Ndugu Dkt. Ndugulile akitoa shukrani kwa watu wote kuhudhuria na kutoa salamu za pole na rambirambi kwa msiba uliowapata kuondokewa na Baba yao kipenzi marehemu Mzee Gabriel Ndugulile.

Pia ametoa shukrani kwa niaba ya familia kwa Mhe.Rais JP.Magufuli kuwapatia ndege moja ya serikali kasafiria kuelekea Mkoani Tabora kwa mazishi.
View attachment 1514935
Mkuu wa wilaya ya Kigamboni Mhe.Sarah Msafiri akitoa salamu za pole kwa familia ya Marehemu Gabriel Ndugulile kwa niaba ya Serikali nzima ya Manispaa ya Kigamboni.

Mhe. Faustine Ndugulile Mbunge wa Jimbo la Kigamboni alifiwa na Baba Mzazi Gabriel S. Ndugulile Jumamos 18.07.2020 Asubuhi. Msiba upo Nyumbani Kwake Ferry, Kigamboni, Dar Es Salaam
Vipi makonda amefika kumpa pole Dr Ndungulile?
 
Back
Top Bottom