BigBro
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 3,585
- 11,601
Yaap, hata Mzee baba yule mweusi hataweza kuachana naeKumbe mzee alichomoka na walinzi wake wale wale tokea akiwa madarakani?
Pole kwa mbunge na wanakigamboni kwa ujumla kwa msiba unaomhusu muwakilishi wao.
Siasa ikae pembeni kidogo mambo mengine yaendelee. Kuna watu watachukia kwanini kaenda kwenye huu msiba.