Rais mstaafu, Jakaya Kikwete ahudhuria msiba wa Gabriel Ndugulile, Baba wa aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni

Rais mstaafu, Jakaya Kikwete ahudhuria msiba wa Gabriel Ndugulile, Baba wa aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni

Nimeona Rais mstaafu Kikwete akisaini kitabu cha maombolezo msiba wa mzee Gabriel Ndugulile wa kigamboni....kule twitter.

Huyo mzee ni nani?

Mwenye taarifa Tafadhali!
 
Nimeona Rais mstaafu Kikwete akisaini kitabu cha maombolezo msiba wa mzee Gabriel Ndugulile wa kigamboni....kule twitter.

Huyo mzee ni nani?

Mwenye taarifa Tafadhali!
=========

Ndugulile.jpg




Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Kikwete alipowasili eneo la msiba nyumbani kwa marehemu mzee Gabriel Ndugulile Ferry Kigamboni Jijini Dar es salaam kutoa pole kwa familia kwa msiba huo.

Gabriel Ndugulile ni baba mzazi wa mbunge aliyemaliza muda wake Kigamboni, Dkt Faustine Ndugulile.
 
Back
Top Bottom