Blackcornshman
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 6,514
- 15,701
Asante kwa ufafanuzi mkuu.Hajawahi kuwa ticha Sara. Alikuwa investigation officer Time ya haki za binadamu then akachaguliwa mbunge viti maalumu awamu ya nne . Awamu hii akapata ukuu wa wilaya na alianzia mbulu then Kigamboni. Hajawahi kuwa ticha.