Bandiwe
JF-Expert Member
- Oct 19, 2013
- 9,530
- 3,556
Ndo maana wa ajabu !Michango yangu yote humu jukwaani ni kwaajili ya watu wenye uelewa mpana uliotukuka kama anavyosemaga mkuu GENTAMYCINE
Kama wewe uelewa wako ni tia maji tia maji ni ngumu sana kunielewa mkuu!