Rais mstaafu, Jakaya Kikwete amteua Prof. William-Andey Anangisye kuwa Makamu Mkuu wa UDSM

Rais mstaafu, Jakaya Kikwete amteua Prof. William-Andey Anangisye kuwa Makamu Mkuu wa UDSM

Hii taarifa ya uteuzi imeshiba na kusheheni mambo kama usomi wake, alipotoka mteuliwa, mapito mpaka kupewa cheo hiki kipya.

Natamani taarifa zingine za uteuzi zizingatie uandishi wa taarifa kwa umma wa Prof. Rwekaza Mukandala.
 
Usishangae siku moja Magufuli akaja kutengua huo uteuzi ikiwa hakushirikishwa kikamilifu wakati wa kuteua.
 
VC wa publications 30 tu. Huyu ni "administrator" siyo "academician". VC inabidi awe "academician" aliyebobea katika scholarship.
 
The valediction and investiture of the outgoing and incoming Vice Chancellor will be held on Thursday 7th December 2017 at Nkrumah Hall starting from 13:30PM.
 
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM), Rais mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Profesa William-Andey Anangisye kuwa Makamu Mkuu wa chuo hicho.

d4ace0cbe53f12991e5e36b71e6329ed.jpg

7ef9773ed0e835c4288ee60495a099e7.jpg
Aisee Teacher langu palee.... Alafu yupo vizuri hana mindering lazima udism wanyooke....
 
Back
Top Bottom