Ndo maana wa ajabu !Michango yangu yote humu jukwaani ni kwaajili ya watu wenye uelewa mpana uliotukuka kama anavyosemaga mkuu GENTAMYCINE
Kama wewe uelewa wako ni tia maji tia maji ni ngumu sana kunielewa mkuu!
Ni Principal wa DUCENaona CV ya Prof. Anangisye imeshiba
Haya ngoja tusibili jembe jingine litakalo ziba nafasi ya Prof. Florens D.A.M. Luoga ya Deputy Vice chancellor Academic (DVCA)
Hongera sana Profesa Anangisye. Mtoe huyo Mfinanga atakuharibia kasi yako
Aisee Teacher langu palee.... Alafu yupo vizuri hana mindering lazima udism wanyooke....Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM), Rais mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Profesa William-Andey Anangisye kuwa Makamu Mkuu wa chuo hicho.
Hongera zake hard workerMkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM), Rais mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Profesa William-Andey Anangisye kuwa Makamu Mkuu wa chuo hicho.
wewe jamaa ni bogus sana yaaniThe valediction and investiture of the outgoing and incoming Vice Chancellor will be held on Thursday 7th December 2017 at Nkrumah Hall starts from 13:30PM.
Mfinanga alikuwa Principal pale Duce , alivoondoka akaja Anangisye. Sasa Anangisye anakuwa boss wa Mfinanga.Duh Mfinanga kaikosa hiyo nafasi.. Yule Prof Mfinanga si mtu wa mchezo mchezo.
Tena mtoto wa familia ya mchungaji.Humble guy...toka mwalimu wa kawaida sekondari mpaka kuwa Profesa na hatimaye VC. Kila la kheri kwa kazi yako
Mkuu leo naona umemuamulia mzee wa Njaa. ha ha ha ha...Tatizo la Dr. Bana analingana kitabia na Pascal Mayalla, wote ni vigeugeu
Alikufundisha EFAisee Teacher langu palee.... Alafu yupo vizuri hana mindering lazima udism wanyooke....