Mbululaaaa weweNajiuliza UDSM haina msukuma/mhaya/mnyamwezi aliyefikia ngazi za juu kitaaluma na kiutawala hadi achaguliwe mnyakyusa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbululaaaa weweNajiuliza UDSM haina msukuma/mhaya/mnyamwezi aliyefikia ngazi za juu kitaaluma na kiutawala hadi achaguliwe mnyakyusa?
Ni typing error tu mkuu hiyo!Starts from ndiyo kitu gani hiki? Kazi kweli...
Ni typing error tu mkuu hiyo!
MajungusHongera sana Profesa Anangisye. Mtoe huyo Mfinanga atakuharibia kasi yako
EF.....dah dr MagangaAlikufundisha EF
Educational Psychology ?
NdioUmeelewa nilichokisema? Tatizo siyo mchakato umeanza lini. Tatizo ni VC kapatikanaje: je, kwa academic na leadership merits? Ulisikia nafasi ya VC ikitangazwa na watu wakiambiwa watume maombi?
Chuo kikuu ni kimoja TZ[emoji16][emoji16]Je, hii process ni kwa UDSM tu au University zote?
Mkuu, huenda jamaa ni bogus...kama ulivyomdhihaki! Lakini kabla ya kumwita bogus ulitakiwa umwelekeze kwa kuonyesha makosa yake(if any) na kumrekebisha...ili asije kurudia makosa hayo...na hio ndo kuwa Great thinker! tofauti na hivyo, wewe ndo BASHITE Nambari1wewe jamaa ni bogus sana yaani
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Madrasa mara mbili? Natumaini bingwa wa kupukutisha wavaa kobazi dada Joi atamaliza mchezo soon.
Nakuunga mkono mkuu.sema tu ana kaukorofi fulani.Mfinanga is very smart, najua hizo nafasi kuna siasa ndani yake ila nakuhakikishia Prof Mfinanga ni smart sana lazima wamemsoma wakamuogopa maana huku jf watu ni wajuaji sana wanalishana maneno ila tafuta watu waliofanya kazi na Prof MFINANGA
Hongera kwa Uteuzi
Huwezi kubadili ukweli na trend ya teuzi hapa nchini kwa kuniandikia hivi....Mbululaaaa wewe
Ndiyo kwa swali lipi sasa? Maana nilikuwa na maswali matatu.Ndio
Mayalla mbona kishaupata Ni mkuu wa chuo cha uandishi wa habari cha Dar Es SalaamTatizo la Dr. Bana analingana kitabia na Pascal Mayalla, wote ni vigeugeu
wew n mpuuz,kwan kuna shida gan? MBNA tumejaa tele ktk sekta nyeti? sio lazma kuwa vcUfipa wamenuna naona walimtaka yule mpare apewe shavu. Vetting nomaaa
udom wapo wapare na chagaWahaya ngoja tuvizie pale UDOM