Ngurukia
JF-Expert Member
- Feb 25, 2023
- 4,407
- 16,942
Sahihi kabisa.Wanasema kwamba, tuna utamaduni wetu.
Ukiwa unakula, husemi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahihi kabisa.Wanasema kwamba, tuna utamaduni wetu.
Ukiwa unakula, husemi.
Huyo wala usitegemee kama atatoa neno. Inawezekana naye ni muhusika aua anaogopa ugali wa Mkewe na Mwanae asiuweke rehani ....!! Siku akiibuka, nistue!!Mzee wetu simsikii wala ha onekana!!!
Nimeuliza tu, Hata uzi ukifitwa nimezoea
Labda mambo yakiharibika sana....Jk Dodoma.
Bado tupo 2023Wapiga ramli walikuaminisha 2023 atasitafishwa, nyooo mtakufa nyie mtamwacha anapeta, ye atakufa Kwa mapenzi ya Mungu sio Kwa mapenzi yenu waganga wa jadi nyie.
Hakuna mtu aliye mtaka aseme lolote... Wameuliza kulikoni? Wamemzoea akiwa anazungumza mara KWa mara....Akiongea mnasema anaendesha nchi kutokea Msoga.,akinyamaza mnauliza mbona hasemi lolote ..
Tena kama unakula bila kunawaWanasema kwamba, tuna utamaduni wetu.
Ukiwa unakula, husemi.
Yuko safarini Ulaya labda. Anazunguka kufanya ziara za kikazi
Mstaafu kapumzika zake anajilia pensheni
Hayuko kimya. Anashughukia DP world yake inunue bandari zetu.Akiongea mnasema anaendesha nchi kutokea Msoga.,akinyamaza mnauliza mbona hasemi lolote ..
Walimwengu Hasa hawa wakuitwa Wana wa Adam ni wanafki mnoo,,,kama hutaki kuwa disappointed kwenye maisha,,,usiweke wala usitegemee sana,,matarajio makubwa kutoka kwa watu!!!Akiongea mnasema anaendesha nchi kutokea Msoga.,akinyamaza mnauliza mbona hasemi lolote ..
Yupo alipo so tulia
Imeisha hiyoo..!Wanasema kwamba, tuna utamaduni wetu.
Ukiwa unakula, husemi.