Rais Mstaafu Kikwete, akiwa Kiongozi wa Timu ya Uangalizi ya Uchaguzi wa Kenya akutana na Wageni mbalimbali

Afadhali yake alijua kuiba kura kwa akili sio kama kile kituko kingine kilichosikika kikiwaonya maDED
 
Born in town
 
JK kuna kaakili fulani Mungu kambariki japo wengine ndio vile tena hatuoni lakini huu ndio ukweli.

Sisi watoto wa mjini tunampenda kama mlezi wa wana aka mtoto mwenzetu wakitaa, huyu mwamba ana roho yake tu mwenyewe Mungu kambariki.
 
listerning and understanding is the skill, talking and speaking wisely is the skill also.

To be a gentleman sometimes is the talent, nimejifunza pia watoto wa kitaa wanajua kuishi na kila mtu na popote pale.

JK anajua kuishi na kila audience
 
Karma !!
 
Akili kubwa ya kuua watu , angemuacha apambane nae
in the battlefield we measure the number of casualty there are only two sides of the coin win (survival.)or lose (death) and mastermind always make the last 😂
 
Mtu makini safi mnooo. Naona yuko FITI ile mbaya.uishi miaka mingi mzee w msoga.
 
aisee ukiwa na roho nzuri hauzeeki na Wala haufi mapema, Kikwete bado yupo fit kabisaa
 
Mh kikwete atabakii kuwa nguli wa diplomasia katika ukanda huu, hakika Ni bingwa wa diplomasia na ndio maana anaendelea kuaminiwa Sana hata baada ya kuwa amestaafu
 
Namkumbuka kikwete alivyosolve ule uchaguzi wa kenya uliokuwa na vurugu mambo yakatulia koffi annan ngoma ilishamshinda.
 


Hilo pozi la Mkwere ni babu kubwa!! Tabasamu lake la kidiplomasia!! Haijalishi kanuna au kakasirika au kafurahi tabasamu halibanduki usoni.

Mkwere kipenzi cha wafanyakazi wa TZ wamemmisi sana!! Hakuna Rais aliyekuwa mwaminifu kuwaongezea wafanyakazi mshahara kila mwaka!! Tangu afanya hivyo 2014 hadi leo ni patupu!! Hili ongezeko la mwaka huu ni kejeli kama siyo mat*s*. Ongezeko gani la mshahara linakuwa dogo kulipo nyongeza ya mwaka! Mara mia kusingekuwa na ongezeko la mshahara lakini iwepo nyongeza ya mwaka ambayo kwa wengi ingekuwa kiubwa zaidi!! Hivi unaanzaje kumwambia mtu mzima kuwa umempandishia mshahara halafu "take home" ikaongezeka kwa sh. pungufu ya ya elfu kumi? Wakati yeye yuko ziarani kila leo na anakula posho ya zaidi nya laki tatu kwa siku??
 
Tumemmiss sana huyu nguli wa diplomasia kwenye uwanja wa kimataifa!!

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…