Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Inawezekana ndiye.Aisee kumbe huyu ndiye African Leader....aliyekuwa akizungumziwa
Hivi mstaafu bado anajulikana kwa cheo cha Leader?Aisee kumbe huyu ndiye African Leader....aliyekuwa akizungumziwa
Kuna ngazi za juu za uongozi,huwa ID yake Haina expire date sambamba na kiapo chake.ukisataafu unapumzishwa kwenye Yale majukumu ya ofisi,lakini status iko pale pale leader.Hivi mstaafu bado anajulikana kwa cheo cha Leader?
Thank you.Kuna ngazi za juu za uongozi,huwa ID yake Haina expire date sambamba na kiapo chake.ukisataafu unapumzishwa kwenye Yale majukumu ya ofisi,lakini status iko pale pale leader.
Hahhahaa amini uaminivyo.........domokrasiAfrican leader alietoweka hadharani wiki mbili?
Mke na Watoto na pisi moja ya pembeni wote wanakutegemea.Bado sijakuelewa Mkuu.Aisee hizi mambo za Nairobee sitaki hata kuziongelea.
Nina mke na wato na pisi moja ya pembeni wote wananitegema mimi.