Rais mstaafu wa Somalia afariki dunia Hospitali ya Nairobi alipokuwa akitibiwa COVID19

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Ali Mahdi Muhammad amefariki dunia Machi 10 katika Hospitali ya Nairobi, Kenya alipokuwa anapatiwa matibabu baada ya kugundulika kuwa na #COVID19

Alizaliwa Januari 1, 1939 na alikuwa Rais wa Somalia 1991 hadi 1997 akiwa ni Rais wa nne.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…