Rais mstaafu wa Somalia afariki dunia Hospitali ya Nairobi alipokuwa akitibiwa COVID19

Rais mstaafu wa Somalia afariki dunia Hospitali ya Nairobi alipokuwa akitibiwa COVID19

Nairobi hapafai Nkurunzinza alifia hapo na huyu tena ndio mana mzee baba kasepa zake India
Mimi mpaka sasa hivi siwezi amini kama viongozi wetu tunao wategemea kwa busara wengeweza kweli kufanya blunder of a century ya kumpeleka JPM kwenye Private hospital ya Nairobi kwa matibabu zaidi, wakati wanajua fika kwamba Kampuni za kuzalisha chanjo zinashirikiana na Kenya kwa masuala ya majaribio ya chanjo zao specifically chanjo zinazo zalishwa na Chuo Kikuu cha Oxford na wenzake.

Makumpuni hayo wanamjua vizuri JPM anavyo pinga matumizi ya chanjo hizo hatarishi, halafu sisi kukosa kutafakari mambo kiundani zaidi tuna mpeleke kiongozi wetu kwenye ndomo wa mamba - kumbukeni Kampuni hizi za chanjo zina ushawishi mkubwa Duniani na uwezo wa kifedha wa kufanya lolote pindi wanapo hisi kuna watu ambao wanaweza kuzikosesha soko chanjo zao - je, wahusika hilo hawakulifikiria kabla hawampeleka Nairobi au?

Kama kweli Kiongozi wetu anaunwa niliwashauri mkimbizeni Uchina tu na si kwingeneko - sijuhi kama nieleweka? Angalieni main stream media za magharibi zinavyo msema vibaya JPM kuhusu kukataa kwake chanjo zao kuingizwa nchini, wana wasi wasi kwamba mataifa mengi ya Afrika zataiga Tanzania kwa kukataa chanjo zao, hapo mnategemea nini! Kwamba kampuni hizo za madawa na chanjo zitampenda na kumtakia afya njema JPM - thubutu.

Narudia kukumbusha kwamba mkimbizeni JPM Uchina kama kuunwa kwake sio uzushi.
 
Mimi mpaka sasa hivi siwezi amini kama viongozi wetu tunao wategemea kwa busara wengeweza kweli kufanya blunder of a century ya kumpeleka JPM kwenye Private hospital ya Nairobi kwa matibabu zaidi, wakati wanajua fika kwamba Kampuni za kuzalisha chanjo zinashirikiana na Kenya kwa masuala ya majaribio ya chanjo zao specifically chanjo zinazo zalishwa na Chuo Kikuu cha Oxford na wenzake.

Makumpuni hayo wanamjua vizuri JPM anavyo pinga matumizi ya chanjo hizo hatarishi, halafu sisi kukosa kutafakari mambo kiundani zaidi tuna mpeleke kiongozi wetu kwenye ndomo wa mamba - kumbukeni Kampuni hizi za chanjo zina ushawishi mkubwa Duniani na uwezo wa kifedha wa kufanya lolote pindi wanapo hisi kuna watu ambao wanaweza kuzikosesha soko chanjo zao - je, wahusika hilo hawakulifikiria kabla hawampeleka Nairobi au?

Kama kweli Kiongozi wetu anaunwa niliwashauri mkimbizeni Uchina tu na si kwingeneko - sijuhi kama nieleweka? Angalieni main stream media za magharibi zinavyo msema vibaya JPM kuhusu kukataa kwake chanjo zao kuingizwa nchini, wana wasi wasi kwamba mataifa mengi ya Afrika zataiga Tanzania kwa kukataa chanjo zao, hapo mnategemea nini! Kwamba kampuni hizo za madawa na chanjo zitampenda na kumtakia afya njema JPM - thubutu.

Narudia kukumbusha kwamba mkimbizeni JPM Uchina kama kuunwa kwake sio uzushi.
Hata mimi siamini, kwakuwa hakuna taarifa rasmi mi najua yupo Luthuli au Chamwino.
 
Inawezekana ndiye.
Nikataka kushangaa Jiwe na ujiwe wake, Eti aende kutibiwa Nairobi!

Wakenya kwa mbwe mbwe wakapromo- Eti kuna ulinzi umewekwa wa kufa mtu...😂😂😂

Jiwe tumelipeleka India, likirudi tunazuia bidhaa za Kenya kwani Zina virus vinavyosababisha COvid-19, tena vile vya toleo jipya.
 
Somalia’s former president Ali Mahdi Mohamed has died in Kenya’s capital Nairobi aged 83, officials in Mogadishu and members of his family announced on Wednesday.

According to the family, the former president fell ill in Mogadishu last week and was flown out to Kenya for further treatment.

Mr Mahdi was appointed president of Somalia by loyalists of the United Somali Congress (USC), the rebel group that deposed the late dictator Mohamed Siad Barre in January 1991.

But his rule was immediately challenged by the late rebel leader Mohamed Farah Aideed. The power struggle between Gen Aideed and President Mahdi led to months of bloodshed in Mogadishu. Decades later, the country is still struggling to rise from the aftermath of the conflict.

Somalia’s President Mohamed Farmaajo and a host of several opposition politicians condoled with his family, describing Mr Mahdi as a man who loved his country. Farmaajo announced a three-day national mourning period, and announced that there will be a special committee to conduct his burial. He said the former leader will have a state funeral.

“He played his part in saving our country during difficult times,” Former President Hassan Sheikh Mohamud. “May God give patience and faith to the Somali people and the family he left behind.”

 
Somalia’s former president Ali Mahdi Mohamed has died in Kenya’s capital Nairobi aged 83, officials in Mogadishu and members of his family announced on Wednesday.

According to the family, the former president fell ill in Mogadishu last week and was flown out to Kenya for further treatment.

Mr Mahdi was appointed president of Somalia by loyalists of the United Somali Congress (USC), the rebel group that deposed the late dictator Mohamed Siad Barre in January 1991.

But his rule was immediately challenged by the late rebel leader Mohamed Farah Aideed. The power struggle between Gen Aideed and President Mahdi led to months of bloodshed in Mogadishu. Decades later, the country is still struggling to rise from the aftermath of the conflict.

Somalia’s President Mohamed Farmaajo and a host of several opposition politicians condoled with his family, describing Mr Mahdi as a man who loved his country. Farmaajo announced a three-day national mourning period, and announced that there will be a special committee to conduct his burial. He said the former leader will have a state funeral.

“He played his part in saving our country during difficult times,” Former President Hassan Sheikh Mohamud. “May God give patience and faith to the Somali people and the family he left behind.”

We kamongo mbn unaleta habari zilizochuja?
 
1615485604720.png
 
Ili matanzania mengine ni majinga mpk kinyaa

Hayo raisi wenu km huyo hapo nendeni msibani basi
 
Back
Top Bottom