fundi25
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 10,378
- 11,537
Mjomba usikue iyo pisi inajitegemea na mimišAisee hizi mambo za Nairobee sitaki hata kuziongelea.
Nina mke na wato na pisi moja ya pembeni wote wananitegema mimi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mjomba usikue iyo pisi inajitegemea na mimišAisee hizi mambo za Nairobee sitaki hata kuziongelea.
Nina mke na wato na pisi moja ya pembeni wote wananitegema mimi.
pisi huwa hazina hatimiliki.Mjomba usikue iyo pisi inajitegemea na mimiš
Kila ninapotaka ku comment button zinagomaAli Mahdi Muhammad amefariki dunia Machi 10 katika Hospitali ya Nairobi, Kenya alipokuwa anapatiwa matibabu baada ya kugundulika kuwa na #COVID19
Alizaliwa Januari 1, 1939 na alikuwa Rais wa Somalia 1991 hadi 1997 akiwa ni Rais wa nne
View attachment 1722287
upo tayari wakufanye kama Ben saanane na una watu wanakutegemea?Mke na Watoto na pisi moja ya pembeni wote wanakutegemea.Bado sijakuelewa Mkuu.
Ali Mahdi Muhammad amefariki dunia Machi 10 katika Hospitali ya Nairobi, Kenya alipokuwa anapatiwa matibabu baada ya kugundulika kuwa na #COVID19
Nairobi hapafai Nkurunzinza alifia hapo na huyu tena ndio mana mzee baba kasepa zake IndiaAli Mahdi Muhammad amefariki dunia Machi 10 katika Hospitali ya Nairobi, Kenya alipokuwa anapatiwa matibabu baada ya kugundulika kuwa na #COVID19
Alizaliwa Januari 1, 1939 na alikuwa Rais wa Somalia 1991 hadi 1997 akiwa ni Rais wa nne
View attachment 1722287
Niachie hio pisiAisee hizi mambo za Nairobee sitaki hata kuziongelea.
Nina mke na wato na pisi moja ya pembeni wote wananitegema mimi.
Ha ha ha ha ila mi nimekuelewa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]Aisee hizi mambo za Nairobee sitaki hata kuziongelea.
Nina mke na wato na pisi moja ya pembeni wote wananitegema mimi.
Mkewe Nkuruinziza ndie aliyepelekwa Nairobi mzee baba alikomaa ndan ya bujumburaNairobi hapafai Nkurunzinza alifia hapo na huyu tena ndio mana mzee baba kasepa zake India
Ooh! kumbeMkewe Nkuruinziza ndie aliyepelekwa Nairobi mzee baba alikomaa ndan ya bujumbura
Hujaelewa nn sasa hapo, that's an immoral individualMke na Watoto na pisi moja ya pembeni wote wanakutegemea.Bado sijakuelewa Mkuu.
Endeleeni kuchezewa akiliOoh! kumbe
Mkuu wa kaya kasogezwa "Mbom bei" kwa akina kuchi kuchi hotaye
Na nani??Endeleeni kuchezewa akili
We jmaa ID yako sijui imekulaani samahani lakini. Ko akifa mtu wa mtaani kama sio mtaani kwenu na huna uhusiano nae nani atakutangazia ww? Jiongeze wewe. Yule mbunge wa mbulu aliesema amechoka kuzika wananchi wake kwahyo wote walikuwa matajiri? Halafu jua kwamba Africa matajiri wengi ni wazee na uviko anashambulia zaidi wazee. Ila jmaa badilisha ID we ni kama wale wanajiita tabu nasikia mara nying hali huwa mbaya ya maisha.Corona inawapenda watu wakubwa wakubwa wenye hela zao
Wasiletwe huku basi!!!Nairobi hapafai Nkurunzinza alifia hapo na huyu tena ndio mana mzee baba kasepa zake India
We jmaa ID yako sijui imekulaani samahani lakini. Ko akifa mtu wa mtaani kama sio mtaani kwenu na huna uhusiano nae nani atakutangazia ww? Jiongeze wewe. Yule mbunge wa mbulu aliesema amechoka kuzika wananchi wake kwahyo wote walikuwa matajiri? Halafu jua kwamba Africa matajiri wengi ni wazee na uviko anashambulia zaidi wazee. Ila jmaa badilisha ID we ni kama wale wanajiita tabu nasikia mara nying hali huwa mbaya ya maisha.
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Kwa mujibu wa Ndugulile wewe hapo unalo. Sababu ni ku-comment, ku-like au hata angekuwa na uwezo hata kusoma nayo angeweka kwenye makosa ya kimtandao.Aisee hizi mambo za Nairobee sitaki hata kuziongelea.
Nina mke na watoto na pisi moja ya pembeni wote wananitegema mimi.
huyo jamaa ni mzee wa kutoa boko sisnce amekabidhiwa hiyo wizara.Kwa mujibu wa Ndugulile wewe hapo unalo..., sababu ni ku-comment, ku-like au hata angekuwa na uwezo hata kusoma nayo angeweka kwenye makosa ya kimtandao