Uchaguzi 2020 Rais mtarajiwa 2020 yuko safarini kurudi nyumbani

Uchaguzi 2020 Rais mtarajiwa 2020 yuko safarini kurudi nyumbani

Baba muumba mbingu na nchi! Tuepushe na wasaliti!! Mtarajiwa ni msamiati gani? Watanzania wanamjua raisi wao ambae ni mzalendo no one
 
Sky Dada, unajitahidi sana na una mapenzi makubwa sana na chadema na TAL, nasikitika juhudi zako hazitakuwa na mafanikio.

Tafadhali usivunjike moyo, keep fighting, hata Mandela alifungwa miaka 20+++, na baadaye akaja kuwa Raisi. Japokuwa siombi TAL awe Raisi hana sifa hizo, huyu ni magufuli meengine tena mwenye visasi zaidi ya Raisi Magufuli.

Chadema jitahidini kupata kiongozi mzuri atakyetufaa wote, safari muungeni mkono ZITTO KABWE
 
ana check in hata bag dogo hana anarudi lofa mikono mitupu na nguo alizovaa za mitumba tu
SASA NDUGU YANGU WEWE NA LISSU NANI LOFA!! HATA KAMA AKIRUDI KAMA UNAVYOJILIWAZA. HIVI UNAWEZA KUWA NA EXPOSURE KAMA YA LISU???

WAKATI MWINGINE MAJIBU YAKO YANAKUDHALILISHA. MTU ANAPOKUFA HAJUI CHOCHOTE WANAOUMIA NI WALE WALIO HAI. NI HIVYO HIVYO KWA MTU MPUMBAVU.
 
Zamani next likiwa naamini upinzani. Hapana. Nasema Magu ikibidi hata tumwongezee muda.
 
Back
Top Bottom