CHAMA hakiwezi kuruhusu ,kuonja sumuJanuari nje ya bumbuli hana ushawishi wowote msimkuze...
Januari kama anajiamini achukue fomu, iwe 2025 au 2030 aone kama kuna mtu anachagua propaganda badala ya kazi...
Ukiondoa wizi na propaganda za kujifanya akili nyingi kinabaki kipara kisicho na kitu...
Mambo yata alibika sanaaa mkuu, hatutaki hukoWoga wa nini?
Acheni demokrasia ifanye kazi. January Makamba apewe fomu akiomba.
Mh.Samia atashinda tu akishindanishwa na yeyote wakati yeye bado akiwa mwenyekiti wa CCM na raisi wa nchi.
Hata akichukua fomu hawezi kumshinda Samia...CHAMA hakiwezi kuruhusu ,kuonja sumu
Zingatia yale maneno niliyo koleza wino (bold fonts)Mambo yata alibika sanaaa mkuu, hatutaki huko
Mwehu!Au apelekwe kuzimu.
kule tuna ubalozi bila balozi
Abdul umepanic!Mama yako wewe anao mvuto gani?
Aishe hapo ndio! Kwani amepanga kwenda wapi tena!?Mkuu pascal, ccm kuna kundi kubwa limejipanga sana, so mama asipocheza karata vzr ,atashia hapo
Tuko na ubalozi Gaza City..Hivi pale Afghanistan 🇦🇫 hatuna ubalozi kweli??
Kama hatuna tufungue na apewe.
Kwa hiyo wengine ndio hatutaki huo utamu!URAIS mtamu sansana