Pre GE2025 Rais mteue January Makamba awe Balozi huko nchi ya mbali kabisa

Pre GE2025 Rais mteue January Makamba awe Balozi huko nchi ya mbali kabisa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huyu ana nguvu za baba ake
baba mwenyewe alivyokua ccm gs alichokifanya kinajulikana,personal performance yake ingembeba lkn yeye alipokuwa nishati ndiyo ilikuwa ovyo na hadithi za gallanosi ndiyo zinammaliza kabisa.atafute Cha kufanya kuliko kuleta ambitions za familia kwenye ofisi za serikali.
 
Nakusalimia kwa jina la Jamhuri wa Muungano! wa Tanzania, Pole na majukumu na heka heka za uchuguzi.
Kwa usalama wako ndani ya mkutano mkuu, mpinzani mkubwa wako ni January makamba.

Kijana huyu ni mwasiasa mzuri tu na ana ushawishi kutoka kwa vijana na wazee, amejiandaa kisaikolojia, kifedha, na kitechnolojia.

Usisahu huyu amewai kuwa mshindi wa tatu huku nyuma, katika kura za maoni hivyo kisiasa ana nguvu. Hivyo ukimteua kuwa balozi ladba huko Mexico, au Canada kwa lengo la kumpunguza nguvu kisiasa.

NB: Ukiruhusu kutoa form zaidi ya moja ndani CCM ndio mwisho wako. Kwanini, kwa sababu wewe huna watu, ndani ya CCM, hao wanaokuzunguka ni wanafiki.

Lakini pia bila shaka 2030, utatamani umuweke mtu wa karibu na wewe, hawa vijana watukusumbua sana.

Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Egonga
 
Ampeleke Ikweta ya Guinea
 

Attachments

  • Screenshot_20241105_152608_X.jpg
    Screenshot_20241105_152608_X.jpg
    170.3 KB · Views: 3
Rais anae maliza mda wake amteue Rais ajaye kwenda wapi ??
 
Nakusalimia kwa jina la jamuhuri wa Muungano! wa Tanzania, Pole na majukumu na heka heka za uchuguzi.
Kwa usalama wako ndani ya mkutano mkuu, mpinzani mkubwa wako ni January makamba.
Kijana huyu ni mwasiasa mzuri tu na anaushawishi kutoka kwa vijana na wazee, amejiandaa kisaikolojia, kifedha, na kitechnolojia.

Usisahu huyu amewai kuwa mshindi wa tatu huku nyuma,katika kura za maoni hivyo kisiasa ananguvu. Hivyo ukimteua kuwa balozi ladba huko mexico, au canada kwa lengo la kumpunguza nguvu kisiasa.

NB: ukiruhusu kutoa form zaidi ya moja ndani CHAMA chako, (ccm ) ndio mwisho wako kwanini kwa sababu wewe huna watu, ndani ya ccm hao,wanaokuzunguka ni wanafiki.

lakini pia bila shaka 2030 , utatamani umuweke mtu wa karibu na wewe, HAWA vijana watukusumbua sana. Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Kama anasumbua sana weka ndani na hakuna dhamana 😅😂😂 !
Mbona kazi rahisi tu ??! 😳
 
Nakusalimia kwa jina la Jamhuri wa Muungano! wa Tanzania, Pole na majukumu na heka heka za uchuguzi.
Kwa usalama wako ndani ya mkutano mkuu, mpinzani mkubwa wako ni January makamba.

Kijana huyu ni mwasiasa mzuri tu na ana ushawishi kutoka kwa vijana na wazee, amejiandaa kisaikolojia, kifedha, na kitechnolojia.

Usisahu huyu amewai kuwa mshindi wa tatu huku nyuma, katika kura za maoni hivyo kisiasa ana nguvu. Hivyo ukimteua kuwa balozi ladba huko Mexico, au Canada kwa lengo la kumpunguza nguvu kisiasa.

NB: Ukiruhusu kutoa form zaidi ya moja ndani CCM ndio mwisho wako. Kwanini, kwa sababu wewe huna watu, ndani ya CCM, hao wanaokuzunguka ni wanafiki.

Lakini pia bila shaka 2030, utatamani umuweke mtu wa karibu na wewe, hawa vijana watukusumbua sana.

Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
[/QUO
Nakusalimia kwa jina la Jamhuri wa Muungano! wa Tanzania, Pole na majukumu na heka heka za uchuguzi.
Kwa usalama wako ndani ya mkutano mkuu, mpinzani mkubwa wako ni January makamba.

Kijana huyu ni mwasiasa mzuri tu na ana ushawishi kutoka kwa vijana na wazee, amejiandaa kisaikolojia, kifedha, na kitechnolojia.

Usisahu huyu amewai kuwa mshindi wa tatu huku nyuma, katika kura za maoni hivyo kisiasa ana nguvu. Hivyo ukimteua kuwa balozi ladba huko Mexico, au Canada kwa lengo la kumpunguza nguvu kisiasa.

NB: Ukiruhusu kutoa form zaidi ya moja ndani CCM ndio mwisho wako. Kwanini, kwa sababu wewe huna watu, ndani ya CCM, hao wanaokuzunguka ni wanafiki.

Lakini pia bila shaka 2030, utatamani umuweke mtu wa karibu na wewe, hawa vijana watukusumbua sana.

Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Kataa chawa, angamiza chawa wanaoruka na kutambaa.
 
Nakusalimia kwa jina la Jamhuri wa Muungano! wa Tanzania, Pole na majukumu na heka heka za uchuguzi.
Kwa usalama wako ndani ya mkutano mkuu, mpinzani mkubwa wako ni January makamba.

Kijana huyu ni mwasiasa mzuri tu na ana ushawishi kutoka kwa vijana na wazee, amejiandaa kisaikolojia, kifedha, na kitechnolojia.

Usisahu huyu amewai kuwa mshindi wa tatu huku nyuma, katika kura za maoni hivyo kisiasa ana nguvu. Hivyo ukimteua kuwa balozi ladba huko Mexico, au Canada kwa lengo la kumpunguza nguvu kisiasa.

NB: Ukiruhusu kutoa form zaidi ya moja ndani CCM ndio mwisho wako. Kwanini, kwa sababu wewe huna watu, ndani ya CCM, hao wanaokuzunguka ni wanafiki.

Lakini pia bila shaka 2030, utatamani umuweke mtu wa karibu na wewe, hawa vijana watukusumbua sana.

Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Huyu ni mbunge wa kuchaguliwa na Wananchi anakuwaje Balozi nje?
 
Nakusalimia kwa jina la Jamhuri wa Muungano! wa Tanzania, Pole na majukumu na heka heka za uchuguzi.
Kwa usalama wako ndani ya mkutano mkuu, mpinzani mkubwa wako ni January makamba.

Kijana huyu ni mwasiasa mzuri tu na ana ushawishi kutoka kwa vijana na wazee, amejiandaa kisaikolojia, kifedha, na kitechnolojia.

Usisahu huyu amewai kuwa mshindi wa tatu huku nyuma, katika kura za maoni hivyo kisiasa ana nguvu. Hivyo ukimteua kuwa balozi ladba huko Mexico, au Canada kwa lengo la kumpunguza nguvu kisiasa.

NB: Ukiruhusu kutoa form zaidi ya moja ndani CCM ndio mwisho wako. Kwanini, kwa sababu wewe huna watu, ndani ya CCM, hao wanaokuzunguka ni wanafiki.

Lakini pia bila shaka 2030, utatamani umuweke mtu wa karibu na wewe, hawa vijana watukusumbua sana.

Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Kwani ni lazima akubali?
 
Januari Makamba ndio Rais ajaye wa Tanzania 2025, CCM haiwezi kuendelea kufanya majaribio kwenye uongozi wa Nchi.
 
Nakusalimia kwa jina la Jamhuri wa Muungano! wa Tanzania, Pole na majukumu na heka heka za uchuguzi.
Kwa usalama wako ndani ya mkutano mkuu, mpinzani mkubwa wako ni January makamba.

Kijana huyu ni mwasiasa mzuri tu na ana ushawishi kutoka kwa vijana na wazee, amejiandaa kisaikolojia, kifedha, na kitechnolojia.

Usisahu huyu amewai kuwa mshindi wa tatu huku nyuma, katika kura za maoni hivyo kisiasa ana nguvu. Hivyo ukimteua kuwa balozi ladba huko Mexico, au Canada kwa lengo la kumpunguza nguvu kisiasa.

NB: Ukiruhusu kutoa form zaidi ya moja ndani CCM ndio mwisho wako. Kwanini, kwa sababu wewe huna watu, ndani ya CCM, hao wanaokuzunguka ni wanafiki.

Lakini pia bila shaka 2030, utatamani umuweke mtu wa karibu na wewe, hawa vijana watukusumbua sana.

Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.

Tatizo lako Makamba ukichaguliwa unakuwa na kiburi sana!
 
Januari nje ya bumbuli hana ushawishi wowote msimkuze...

Januari kama anajiamini achukue fomu, iwe 2025 au 2030 aone kama kuna mtu anachagua propaganda badala ya kazi...

Ukiondoa wizi na propaganda za kujifanya akili nyingi kinabaki kipara kisicho na kitu...
 
Woga wa nini?
Acheni demokrasia ifanye kazi. January Makamba apewe fomu akiomba.
Mh.Samia atashinda tu akishindanishwa na yeyote wakati yeye bado akiwa mwenyekiti wa CCM na raisi wa nchi.
 
Back
Top Bottom