Gidamnyoda
Senior Member
- Sep 9, 2024
- 110
- 213
Ataruka ruka sambersout tu lakini mwisho wake ni 25
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo wewe unataka samia aendelee kuwa madarakan kwa awamu nyingine? Amefanya yapi kwa muhula wote huu? Nchi haijapiga hatua zaidi ya maden na mikataba ambayo watanzania tumeikataa. Acha kina makamba na wengine watuletee mabadilikn ndani ya chama. Samia tukimpa tena hiyo mitano cha moto tutakiona nakuambia.
Ukiwa na watu kwenye siasa ndio mtaji mkubwa, mzee makamba anawatu sana, pamoja na kikweteHonestly last time alizingua mpaka watu waka wish atumbuliwe na likatokea kweli.
Baba yake ndie mwenye ushawishi, na kama si baba yao wasingekuwa hapo walipo leo
Wajipange upya
Nakumbuka wakati huu alipewa support na watu wengi, pia wasanii kama mwana FA walimpa support katika harakati hizo.
View: https://youtu.be/ufjYFsvLAu0?si=_h8D6HN_L2X2L09z
Bora angejiandaa kama JK ila kama yupo kilowasa lowasa ajiandae kugombea kupitia chademaNdio mkuu,raisi katiba inaruhusu, jamaa amejiandaa kama lowasa
Fundi wa mpiraMama yenu anatakiwa 2025 akapumzike Kizim-job apishe vijana
Wewe ni mpumbavu.Nakusalimia kwa jina la Jamhuri wa Muungano! wa Tanzania, Pole na majukumu na heka heka za uchuguzi.
Kwa usalama wako ndani ya mkutano mkuu, mpinzani mkubwa wako ni January makamba.
Kijana huyu ni mwasiasa mzuri tu na ana ushawishi kutoka kwa vijana na wazee, amejiandaa kisaikolojia, kifedha, na kitechnolojia.
Usisahu huyu amewai kuwa mshindi wa tatu huku nyuma, katika kura za maoni hivyo kisiasa ana nguvu. Hivyo ukimteua kuwa balozi ladba huko Mexico, au Canada kwa lengo la kumpunguza nguvu kisiasa.
NB: Ukiruhusu kutoa form zaidi ya moja ndani CCM ndio mwisho wako. Kwanini, kwa sababu wewe huna watu, ndani ya CCM, hao wanaokuzunguka ni wanafiki.
Lakini pia bila shaka 2030, utatamani umuweke mtu wa karibu na wewe, hawa vijana watukusumbua sana.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Mama yako wewe anao mvuto gani?Maza hana mvuto kabisa wa kisiasa
KIjanaNakusalimia kwa jina la Jamhuri wa Muungano! wa Tanzania, Pole na majukumu na heka heka za uchuguzi.
Kwa usalama wako ndani ya mkutano mkuu, mpinzani mkubwa wako ni January makamba.
Kijana huyu ni mwasiasa mzuri tu na ana ushawishi kutoka kwa vijana na wazee, amejiandaa kisaikolojia, kifedha, na kitechnolojia.
Usisahu huyu amewai kuwa mshindi wa tatu huku nyuma, katika kura za maoni hivyo kisiasa ana nguvu. Hivyo ukimteua kuwa balozi ladba huko Mexico, au Canada kwa lengo la kumpunguza nguvu kisiasa.
NB: Ukiruhusu kutoa form zaidi ya moja ndani CCM ndio mwisho wako. Kwanini, kwa sababu wewe huna watu, ndani ya CCM, hao wanaokuzunguka ni wanafiki.
Lakini pia bila shaka 2030, utatamani umuweke mtu wa karibu na wewe, hawa vijana watukusumbua sana.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Huyo na Nauye ujanja wao ni wizi wa kura, ama kuhonga wagombea wenza kujitoa.Nakusalimia kwa jina la jamuhuri wa Muungano! wa Tanzania, Pole na majukumu na heka heka za uchuguzi.
Kwa usalama wako ndani ya mkutano mkuu, mpinzani mkubwa wako ni January makamba.
Kijana huyu ni mwasiasa mzuri tu na anaushawishi kutoka kwa vijana na wazee, amejiandaa kisaikolojia, kifedha, na kitechnolojia.
Usisahu huyu amewai kuwa mshindi wa tatu huku nyuma,katika kura za maoni hivyo kisiasa ananguvu. Hivyo ukimteua kuwa balozi ladba huko mexico, au canada kwa lengo la kumpunguza nguvu kisiasa.
NB: ukiruhusu kutoa form zaidi ya moja ndani CHAMA chako, (ccm ) ndio mwisho wako kwanini kwa sababu wewe huna watu, ndani ya ccm hao,wanaokuzunguka ni wanafiki.
lakini pia bila shaka 2030 , utatamani umuweke mtu wa karibu na wewe, HAWA vijana watukusumbua sana. Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Hana lolote huyu kazi kujiamini kuliko uwezo. Mtu fisadi tu hana uzalendo ila utii kwa wamagharibi. Ana tamaa ya madaraka na kujitajirisha yeye na ukoo wake visivyo halali. Alichofanya wizara ya nishati mungu anajua. Maana alimleta dada yake tanesco akampa dili kubwa tu kupiga hela ya umma. Hana uchungu wowote na umma wa wananchi. Akijitokeza bila shaka atapigwa chini kama ilivyokua kwa lowassa.Nakusalimia kwa jina la Jamhuri wa Muungano! wa Tanzania, Pole na majukumu na heka heka za uchuguzi.
Kwa usalama wako ndani ya mkutano mkuu, mpinzani mkubwa wako ni January makamba.
Kijana huyu ni mwasiasa mzuri tu na ana ushawishi kutoka kwa vijana na wazee, amejiandaa kisaikolojia, kifedha, na kitechnolojia.
Usisahu huyu amewai kuwa mshindi wa tatu huku nyuma, katika kura za maoni hivyo kisiasa ana nguvu. Hivyo ukimteua kuwa balozi ladba huko Mexico, au Canada kwa lengo la kumpunguza nguvu kisiasa.
NB: Ukiruhusu kutoa form zaidi ya moja ndani CCM ndio mwisho wako. Kwanini, kwa sababu wewe huna watu, ndani ya CCM, hao wanaokuzunguka ni wanafiki.
Lakini pia bila shaka 2030, utatamani umuweke mtu wa karibu na wewe, hawa vijana watukusumbua sana.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Kazi ngumu sanaHana lolote huyu kazi kujiamini kuliko uwezo. Mtu fisadi tu hana uzalendo ila utii kwa wamagharibi. Ana tamaa ya madaraka na kujitajirisha yeye na ukoo wake visivyo halali. Alichofanya wizara ya nishati mungu anajua. Maana alimleta dada yake tanesco akampa dili kubwa tu kupiga hela ya umma. Hana uchungu wowote na umma wa wananchi. Akijitokeza bila shaka atapigwa chini kama ilivyokua kwa lowassa.