Rais mteule wa Marekani Joe Biden afanya mazungumzo na Rais Uhuru kuhusu mambo mengi


Uwe unatumia akili nyakati nyingine.
Tanzania na Afrika kwa ujumla haina serious fatalities, but other sectors of the economy have been affected. So stimulus package is of utmost important.
 
Uwe unatumia akili nyakati nyingine.
Tanzania na Afrika kwa ujumla haina serious fatalities, but other sectors of the economy have been affected. So stimulus package is of utmost important.
Unaelewa masharti ya hizo pesa?Tanzania ilitii masharti ya kutumia hizo hela Kutoka EU pamoja na WHO kama vile kupima watu wengi COVID-19 kadri inavyowezekana na kutangaza kwenye vyombo vya habari kama vile TV,radio,magazeti,e.t.c ni wangapi wamepimwa,wangapi wamekutwa na corona na ni wangapi hawajakutwa na corona?
 

Acha uongo. Kinachoongelewa hapa ni package/FEDHA kwa madhara yasiyo ya kiafya. Ni kwa ajili ya kuchagiza uchumi.
 
Mlipumzika kushambuliwa na al shabab kwa sababu ya Hair force one, the man himself D. Trump.
Sasa mjipange.
😁😀😄😃
 
Ninatabiri kuwa Uhuru ni rais wa ajabu na hatari EAC. Huenda akahusika na Mambo ya kihuni EAC na na atatumika na Marekani.
Anahusika currently kuivunja Somalia kwa kuunda jubaland, divide and rule, per his lord's order ofcoz, kigogo wa Twitter ni puppet wao.
Bad intentions, always fail, tutaona.
 
Onyesha mahali Tanzania akitii hayo masharti we nyumbu, you have de energy for nonsense, use it else where, damn.
 
Anahusika currently kuivunja Somalia kwa kuunda jubaland, divide and rule, per his lord's order ofcoz, kigogo wa Twitter ni puppet wao.
Bad intentions, always fail, tutaona.

Yule Kigogo anatumia bendera ya Kenya. Tanzania tuna jirani hatari sana.
 
kwahiyo huyu mkenya aliyeleta habari hapa kenyan forum hiyo sio kelele!!

ndio maana mnaitwa nyumbu[emoji23][emoji23][emoji23]
Kelele za MATAGA zingehubiriwa nchi nzima. Unakumbuka ile fix ya simu ya Angela Markel kuongea na Magufuli?
 
Kelele za MATAGA zingehubiriwa nchi nzima. Unakumbuka ile fix ya simu ya Angela Markel kuongea na Magufuli?

acheni kiherehere kwenye nyuzi za watu.

biden kaongea na uhuru,mmewashwa kumtaja magu.
 
Wakenya mnahitaji kukombolewa fikra zenu..mnahitaji akili kidogo Sana kutoka hapo mlipokwama..just a tea spoon full of brain
 
Sasa na wewe na utu uzima wako unaona kuna lolote la kufurahia hapa? Mbona majiranj bado mko utumwani mnasujudia wazungu karne hii?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…