Aneel munawar
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,580
- 8,141
Hata haki za binadamu zinajifichia kichaka icho icho cha kutetea utu wao... Je mtu kubokolewa nyuma sio kushusha utu wake..?? Sasa wewe unamteteaje wakati kashinda kutetea marinda yake.... WAle chuma ya kichwa tu.. Na inaonekana wewe balozi waopumbavu, sitetei ushoga, natetea utu wao usitweze. Mkiona mtu anawatetea mnaanza kuhisi naye ni mmoja wao. Sasa mkiwaua hamuoni kuwa hayo ni makosa ya kijinai? Kuweni na akili kupambana na ushoga
sasa hv uganda ukristo ni 80% had 90% hakuna nchi ya hv ukanda huu wa east afrika ?Kama unabisha tuangalie majina yao wote wakristo hao na kanzu wanavaa kama wakimaanisha kama Madera sio kwamba ni waumini wa uislamu hata wewe unaweza kuvaa kanzu.
Wengine wanaona aibu kuvaa Madera kama wenzao ndo maana wanageuza kanzu kweny maujinga yao ilishapigwa marufuku...Uganda 87% mpaka 90% ni wakristo na ushoga upo kiwango cha flyover
pumbavu, kakojoe ulaleHata haki za binadamu zinajifichia kichaka icho icho cha kutetea utu wao... Je mtu kubokolewa nyuma sio kushusha utu wake..?? Sasa wewe unamteteaje wakati kashinda kutetea marinda yake.... WAle chuma ya kichwa tu.. Na inaonekana wewe balozi wao
PUMBAVUWaganda huwa wanajiona ni wa ulayaulaya labda kwa sababu wanaongea lugha ya ulaya. Siku makanisa yao yenye makao makuu ulaya yakianza kufungisha ndoa za jinsia moja, uganda itakuwa ya kwanza afrika kukubali ujinga huo. Swali, ina maana uganda ina mashoga wengi afrika mashariki? Mbona inagonga sana vichwa vya habari? Anyway museveni kama kachoka kutawala aseme tu kuliko kuwasumbuasumbua mashoga, anachokitafuta atakipata, nchi wahisani wake zinazowakubali mashoga hazitamvumilia
Kweli.Museveni hana ubabe wa kuondoa ushoga nchini mwake, anachofanya ni udikteta tu
Yaani unautetea utu wa shoga?pumbavu, sitetei ushoga, natetea utu wao usitweze. Mkiona mtu anawatetea mnaanza kuhisi naye ni mmoja wao. Sasa mkiwaua hamuoni kuwa hayo ni makosa ya kijinai? Kuweni na akili kupambana na ushoga
Ukiwaua wanazaliwa wengine wapya [emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]Inastahili kuwatoa mhanga ili kuokoa kizazi kizima na janga la ushoga. Hitler aliwaua kama alivyofanya kwa mayahudi. Ila kwa karne ya sasa yafaa kuwakamata na kuwafunga magereza ya peke yao vifungo vya maisha. Ushoga ni vigumu kutibika kwa hivyo ni kuwatenga tu ili kuokoa kizazi kisiharobiwe.
Achana nalo ni mwanachama huyo mkuuuYaani unautetea utu wa shoga?
Hivi mkuu zinakutosha kweli kichwani[emoji848]
Hivi utajiskiaje mwanao akiwa shoga?Museveni hana ubabe wa kuondoa ushoga nchini mwake, anachofanya ni udikteta tu
Halafu hata huko mtaani mashoga wamejaa wapo shazi mbona hatusikii wakifanywa loloteNenda uganda ukawauwe,hao wazenji tu umeshindwa hata kuwapiga makofi.
Usha left group mda sana admin m7Msiishinikize serikali iige abrakadabra za museveni. Kuna mambo mengi ya msingi serikali inatakiwa ifanye. Ushoga waachiwe wanadini huko makanisani na misikitini, kuna pia wasioenda huko mila zao zishughulike kuwaonya watu wao. Ushoga upo kitambo tu hatukuona upigiwe kelele kama sasa. Maji yamezidi unga ndio sasa tunaona kila aina ya unafiki juu ushoga unaongelewa. Kwani kulikuwa hakuna makatazo ya ulawiti/ufiraji kwenye biblia? Mkaishia kuhubiri utoaji na baraka huku dhambi hiyo ikifumbiwa macho bila kuhubiriwa makatazo yake. Kila mtu sasa anakurupuka tu kuongelea mapenzi ya jinsia moja bila aibu, tena kwa watoto wadogo kwa minajili ya kuonya kumbe ndio kwanza anakoleza moto, watoto wanaenda kujaribu hicho kinachosemwasemwa sana. Jamii imechanganyikiwa na imehamaki haijui ianzie wapi kuzima ushoga.
Nmeanza kumtilia Sana mashakaAchana nalo ni mwanachama huyo mkuuu
Dalili za mvua ni mawingu