#COVID19 Rais Museveni akutwa na Maambukizi ya COVID-19

#COVID19 Rais Museveni akutwa na Maambukizi ya COVID-19

"Brain respiratory system shut down" de 'levis anajua sana hizi mambo !sijui kajificha wapi siku hizi vatcan au israel!!?
 
Ukute anawindwa atolewe aende tutakakokwenda wote.Asibeze mkwara wa U.S.
 
Mashoga wamemuambukiza COVID 19 mpambanaji ili aende na maji wafute sheria, Hii vita ya kupambana na mashoga ni ngumu sana
 
Kuna watu wanadiriki kumuombea Shujaa yetu Yoweri Kaguta Museven afariki dunia

Wengi wanaomuombea hivyo ni hawa mashoga na wasagaji pamoja na vibaraka wa mabeberu

Museven ndo shujaa pekee alobakia Africa huyu ndo kiboko ya mashoga na wasagaji na mawakala wa ubeberu na ushetani wote

Huyu ndo shujaa alobakia sio kama hawa wauza bandari wengine humu barani

Kwa jina ya Yesu nazikataa roho zote za mauti na hatokufa kwa jina la Yesu kristo wa Nazareth....
 
Kuna umri mwanadamu akifika huomba mwenye kufa.

Muombee uhai mrefu wenye tija maana hilo la mauti atake asitake yatamkuta tu.
 
Back
Top Bottom