kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,846
- 20,319
Ikiwa Mungu hajaridhia hao c.i.a watafeli tuCIA na FBI wanaye, his life is limited. mark this sentense
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikiwa Mungu hajaridhia hao c.i.a watafeli tuCIA na FBI wanaye, his life is limited. mark this sentense
Kila siku mashoga wanazaliwa, mtakuwa mnawaua mpaka lini?Kukomesha ushoga sio lazima kutunga sheria serikali kupitia usalama wanaweza kuwapoteza mashoga 1 baada ya muingine kimia kimia kama wanavio wafanya waasi wa jeshi
Isije kuwa anapitisha sheria ambazo zitakuja kumkaanga mwenyewe au zikigusa familia yake anapindisha😀😀maana Kuna president Fulani WA nchi 1 Asia ,alishaga weka sheria mtu akikamatwa na drugs anyongwe eeh bwana si siku akadakwa mwanae WA kiume na drugs ,akasema msinichezee😀😀hanyongwi mtu hapa,My Take: Vikwazo vikiwekwa watakaoumia ni nyasi wala sio kina Museveni, so watu wawe tayari kwa matokeo.
--
President Museveni has signed the anti-gay bill into law following improvements adopted to make it tougher for people engaging in LGBQT.
"President Museveni has executed his constitutional mandate as prescribed by Article 91 (3) (a) of the 1995 Constitution- and assented to the Anti-Homosexuality Act, 2023," parliament Speaker Anita Among confirmed on Monday.
"We have stood strong to defend the culture, values and aspirations of our people as per objectives 19 & 24 of our national objectives and directive principles of state policy," she added.
Amidst threats for sanctions, Parliament modified the bill on May 2 after its initial March 21 draft sparked international condemnation for targeting people identifying as LGBQT.
Consequently, Museveni’s April 20 proposal for a review of the legislation aimed to improve the law to instead punish same-sex actors and its promoters amongst minors in the hardline socially conservative East African nation.
On Monday, Among tweeted "encouraging duty bearers under the law to execute the mandate bestowed upon them in the Anti-Homosexuality Act."
"The people of Uganda have spoken, and it is your duty now to enforce the law in a fair, steadfast, and firm manner," she added.
Activists have previously vowed a court challenge to what is now the Anti-Homosexuality Act 2023, citing controversial provisions that include extreme punishments for offenders.
Additionally, the law was nullified in 2014 even after the veteran Ugandan leader had assented to it.
Source: Monitor
Zitawakaamga shasi yeye hana Cha kupotezaIsije kuwa anapitisha sheria ambazo zitakuja kumkaanga mwenyewe au zikigusa familia yake anapindisha😀😀maana Kuna president Fulani WA nchi 1 Asia ,alishaga weka sheria mtu akikamatwa na drugs anyongwe eeh bwana si siku akadakwa mwanae WA kiume na drugs ,akasema msinichezee😀😀hanyongwi mtu hapa,
Kaka akili Yako nimelikubali upo vizuri,waafrica tunapenda sana kutumia nguvu kuliko akili na mu7 kaziiliasha ilo ni kama amekosa solutions za kukomesha ushoga na anakimbilia sheria mbovu za kifungo cha maisha, nimekaa nikajifikiria na sikubaliani na iyo sheria,tukumbuke hakuna mzazi anayeomba mtoto wake awe shoga ni inatokea kama ajali tu,Kwa mfano umeamka tu asubuhi unaskia mtoto wako kadakwa kumbe ni shoga na anaenda nyuma ya nondo maisha Bado utashangilia?😀😀ndo maana ata bungeni Tanzania hii issue hawakutaka kuikurupukia maana mule bungeni Kuna wabunge wanawatoto mashoga na wengine ni mashoga,ukikurupuka kwenye baadhi ya vitu vinaweza baadae kukurudia,na museveni ni mhuni sana anajua kupindisha sheria siku ikimrudia kwenye familia yake atokubali ndugu yake afungwe maisha iyo ni kaipitishwa Kwa sababu ya watumwa wake😀😀Kuna kipindi bhana rais Mmoja WA nchi Moja ipo Asia alipitisha sheria ya kunyongwa ukikamatwa na dawa za kulevya,mungu si Athumani haukupita muda mrefu akadakwa mwanae WA kiume WA kumzaa na drugs 😀😀jamaa akukubali mwanae wamnyongeKila siku mashoga wanazaliwa, mtakuwa mnawaua mpaka lini?
Yale yale ya imani za kishirikina za kuwaua maalbino.
Dunia ina mambo mengi ya siri vitu vingi tunavoviona na kuaminishwa vingi sio vitu vya ukweli, kuna watu wapo nyuma ya ulimwengu wana control dunia watakavyo, kuhusu ushoga kuna watu wananufaika kimaslai na kiutawala, kama ambayo watu wananufaika kupitia ugonjwa wa ukimwiLakini kwanini wazungu wanaabudu uffirajji?
nakuunga mkonoTanzania chupi chini. Taifa linaloogozwa na akili za kike usitegemee maendeleo na kupiga hatua.
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app