a.k.a_Mimi
JF-Expert Member
- Nov 12, 2014
- 292
- 113
Umwinyi na udikteta wa kizamani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heheehhe alivyovaa sasa hiyo suti ,wananchi wamechokajee
atakuwa anapiga stori na waarabu weusi majirani zakeView attachment 365550 View attachment 365551 View attachment 365552
Rais Mseveni aliamua kusimamisha msafara wake na kushuka ili aweze kupokea simu.Hali hiyo ikafanya wasaidizi wake wampe na kiti kabisa ili asikilize simu yake kwa raha na amani bila bughuza.Simu hiyo inaonekana ilikuwa muhimu sana kiasi Rais hakutaka mazungumzo yake kusikilizwa na wasaidizi wake wala walinzi wakec
Na kwakweli sidhani kama kuongea na simu muhimu kulihitaji maandalizi yote hayo. ...halafu hii michezo yake hii aungeifanyia Kampala sehemu kama NakaseroIla hao wanajeshi ni pambo tu..walipaswa kufunga barabara kwanza kwa muda maana naona vitz inakatiza hapo...sasa akitokea mwehu kaipa mafuta akinyoosha hapo alipokaa Rais si ndio game over?
![]()
Muda sio jambo la muhimu Africa.. Tunajiendeaendea tu..
![]()
Muda sio jambo la muhimu Africa.. Tunajiendeaendea tu..
Hiyo simu ni full encrypted Mkuu.Kwahiyo wanaoendesha servers za kutunzia kumbukumbu za mawasiliano hawajui lolote kuhusu maongezi yake?
Museveni aketi kando ya barabara akizungumza kwa simuKiki nyingine za kipuuzi sana
Huyu mzee pale Kampala kuna msanii mmoja alikuwa mwalimu, basi jamaa huwa anajifanya yeye ni M7 , na Museveni mwenyewe kakubali na kumuajiri kabisa
Kuna misafara hupita mjini na jamaa huyo msanii akijifanya ni M7 upuuzi mtupu
Mbona tayari amekwisha yatuma kwenda kuokoa wagandaAnaongea na Salva kiir khs Hali ya juba, soon majeshi ya Uganda yatarudi south Sudan