Rais Museveni asimamisha msafara wake na kuketi barabarani kupokea simu ya mkononi

Rais Museveni asimamisha msafara wake na kuketi barabarani kupokea simu ya mkononi

Weka valid source hapa.
hii habari kuna sehemu niliipata kwa mtu ambae ni mnyarwada kafanya kazi huko serikalini mda mrefu sana saivi ni mtu mzima i mean age imeenda sanda. pia hizo source unazozitaka wewe si ndo zinazoandikwa na binadamu kama sisi au? mfano kama nina blog au website ntashindwa andika huko vitu? pengine niwaingize mkenge wengi? au unazungumzia source gan?
 
hii habari kuna sehemu niliipata kwa mtu ambae ni mnyarwada kafanya kazi huko serikalini mda mrefu sana saivi ni mtu mzima i mean age imeenda sanda. pia hizo source unazozitaka wewe si ndo zinazoandikwa na binadamu kama sisi au? mfano kama nina blog au website ntashindwa andika huko vitu? pengine niwaingize mkenge wengi? au unazungumzia source gan?
Dunia ya sasa hivi habari za ooh niliambiwa, Ooh nimesikia hazina nafasi Mkuu. Njoo na concrete evidence then mjadala utaendelea hapo Mkuu.
 
Dunia ya sasa hivi habari za ooh niliambiwa, Ooh nimesikia hazina nafasi Mkuu. Njoo na concrete evidence then mjadala utaendelea hapo Mkuu.
sio tuu nimeambiwa hapana bali nimeambiwa na mtu ambae anaingia uzeeeni sasa kafanya kazi serikalini toka enzi za habyarimana hado PK, mimi habari za mtandaon sizipi uzito sana sababu naweza andika hata habari kwenye website yangu nikulee halafu uamini wakati mimi niliekua nachati na wewe ndo maneno yangu tena.
ok sasa skika just google utaona habari kibao za mkono wa marekani a ufaransa kwenye hii ishu na kwanini hado leo kagame na rwanda hazipandi kabisa natumaini huko utapata hizi habari lakin mimi niko deep nilitumia 3 days kwa maongezi ya mdomo na mzee wangu. huko natumai utapata habari zikiwa tofauti na zangu nitaamin mzee alikua mwongo
 
Nilikuwa namkubali sana huyu mzee, ila huku anakoelekea siyo kabisa.
 
sio tuu nimeambiwa hapana bali nimeambiwa na mtu ambae anaingia uzeeeni sasa kafanya kazi serikalini toka enzi za habyarimana hado PK, mimi habari za mtandaon sizipi uzito sana sababu naweza andika hata habari kwenye website yangu nikulee halafu uamini wakati mimi niliekua nachati na wewe ndo maneno yangu tena.
ok sasa skika just google utaona habari kibao za mkono wa marekani a ufaransa kwenye hii ishu na kwanini hado leo kagame na rwanda hazipandi kabisa natumaini huko utapata hizi habari lakin mimi niko deep nilitumia 3 days kwa maongezi ya mdomo na mzee wangu. huko natumai utapata habari zikiwa tofauti na zangu nitaamin mzee alikua mwongo
Narudia tena Mkuu habari ya kuambiwa na mzee wako hata kama angetumia miezi 4 kukuhadithia still sio concrete evidence hapa. Weka evidence ya maana tujadili hapa.
 
Narudia tena Mkuu habari ya kuambiwa na mzee wako hata kama angetumia miezi 4 kukuhadithia still sio concrete evidence hapa. Weka evidence ya maana tujadili hapa.
nitawekaje evidence wakati nimekuambia sijasoma mtandaoni? mimi nimekuambia kufupisha mjadala we katafute huko mtandaoni ukikuta habari tofauti leta tuongee. siwezi kudanganya sijasoma mtandaoni siwez kukupa evidence
 
K
Kiki nyingine za kipuuzi sana
Huyu mzee pale Kampala kuna msanii mmoja alikuwa mwalimu, basi jamaa huwa anajifanya yeye ni M7 , na Museveni mwenyewe kakubali na kumuajiri kabisa
Kuna misafara hupita mjini na jamaa huyo msanii akijifanya ni M7 upuuzi mtupu
Kwa hiyo huyu hapo anaweza kuwa ndio huyo mwalimu?
 
Ina maana hicho kiti anatembea nacho katika msafara wake, je aliwaambia walinzi wake wakilete baada ya kupigiwa simu ?
 
upload_2016-7-13_12-49-32.png

upload_2016-7-13_12-49-56.png


Museveni mara nyingine anafurahisha sana. Katika msafara wake wiki hii huko Uganda, aliusimamisha ili apokee simu muhimu sana. Akapewa kiti na ili aongee na simu, na kuwaambia askari wake wasiwasumbue watumiaji wengine wa barabara waache wapite tu, huku yeye akiwapa madereva waliopita alama ya "dole tupu!". Aliongea na simu kwa dakika 30 hivi, na wanakijiji wa sehemu hiyo walipopata habari wakaenda sehemu alipo, basi ikabidi awatolee hotuba fupi ili kuwasalimia!

Hapo alipo ni katika barabara inayounganisha Uganda na Tanzania, ambayo Museveni alihakikisha inawekwa rami hivi karibuni. Museveni, ambaye huwa anajiona ana chimbuko toka Tanzania, huwa anasisitiza sana Uganda kuwa na ujirani mwema na eneo la Tanzania mpakani na Uganda, na hata kutoa huduma toka Uganda kwa sehemu hizo. Kuna wakati aliamua umeme toka Uganda upelekwe sehemu za Tanzania zinazopakana na Uganda. Anamchukulia mama Maria Nyerere kama vile mama yake mzazi.

Kihistoria, Museveni alikimbia mauaji ya Idd Amin miaka ya 70 na kuja Tanzania, akiwa na wenzake. Nyerere aliwashauri kwamba badala ya kuingia msituni wakati huo ili kupambana na Idd Amin, waende Chuo Kikuu Dar es Salaam wakasome, wakisubiri wakati muafaka wa kurudi Uganda. Hivyo Museveni alisoma Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, akiwa chini ya ulezi wa Nyerere.
 
nitawekaje evidence wakati nimekuambia sijasoma mtandaoni? mimi nimekuambia kufupisha mjadala we katafute huko mtandaoni ukikuta habari tofauti leta tuongee. siwezi kudanganya sijasoma mtandaoni siwez kukupa evidence
Basi Sawa then as long as hakuna evidence, hakuna hoja hapo
 
Hivi ndivyo walivyo viongozi wa nchi zetu za Afrika!
 
Back
Top Bottom