simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,418
- 9,209
Eti nini? Besige ameachiwa kwa dhamana Sebo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo mafuso yamebeba zana za kivita kikinukishwa muda wowote yuko full.Msafara wake una mafuso kabisa!
kwamba ikiwa encrypted mawasiliano yake hayatanaswa? nakumbuka kipindi cha rwanda genocide kagame alipewa simu a wamarekani special inayotumia walisema satelite hivi mawasiliano yake yasidukuliwe lakini wafaransa waliyadukua hayo mawasiliano na kweli marekani alikubali. plz kama hutojali naomba nipe ka elimu mkuu.Hiyo simu ni full encrypted Mkuu.
Haaaaaaahaaaaa[emoji28] [emoji28]Msafara wake una mafuso kabisa!
Hakuna ulinzi uliyo salama 100% maana wanaotengeneza mifumo ya ulinzi ndiyo hao wanaotengeneza mifumo ya kuibomoa. Ila kuna advanced encryption ambazo kuzibomoa ni kazi kubwa.kwamba ikiwa encrypted mawasiliano yake hayatanaswa? nakumbuka kipindi cha rwanda genocide kagame alipewa simu a wamarekani special inayotumia walisema satelite hivi mawasiliano yake yasidukuliwe lakini wafaransa waliyadukua hayo mawasiliano na kweli marekani alikubali. plz kama hutojali naomba nipe ka elimu mkuu.
unaweza nipa mfano wa hiyo mifumo mkuu?Hakuna ulinzi uliyo salama 100% maana wanaotengeneza mifumo ya ulinzi ndiyo hao wanaotengeneza mifumo ya kuibomoa. Ila kuna advanced encryption ambazo kuzibomoa ni kazi kubwa.
Weka valid source hapa.kwamba ikiwa encrypted mawasiliano yake hayatanaswa? nakumbuka kipindi cha rwanda genocide kagame alipewa simu a wamarekani special inayotumia walisema satelite hivi mawasiliano yake yasidukuliwe lakini wafaransa waliyadukua hayo mawasiliano na kweli marekani alikubali. plz kama hutojali naomba nipe ka elimu mkuu.
Safi sanaMbona tayari amekwisha yatuma kwenda kuokoa waganda
Picha Duka!