Rais Museveni asimamisha msafara wake na kuketi barabarani kupokea simu ya mkononi

Rais Museveni asimamisha msafara wake na kuketi barabarani kupokea simu ya mkononi

Hiyo simu ni full encrypted Mkuu.
kwamba ikiwa encrypted mawasiliano yake hayatanaswa? nakumbuka kipindi cha rwanda genocide kagame alipewa simu a wamarekani special inayotumia walisema satelite hivi mawasiliano yake yasidukuliwe lakini wafaransa waliyadukua hayo mawasiliano na kweli marekani alikubali. plz kama hutojali naomba nipe ka elimu mkuu.
 
ya nini kuishi kwa wasiwasi hivi? anajua madhambi aliyotenda aliingia madarakani kwa mtutu anaiibia DRC kwa kushirikiana na Rwanda na mambo mengine mabaya nakwambia aishie kwa upanga ata kufa kwa upanga
 
Jaji mkuu si ndio alikuwa anampigia kuhusu ebesgye
 
kwamba ikiwa encrypted mawasiliano yake hayatanaswa? nakumbuka kipindi cha rwanda genocide kagame alipewa simu a wamarekani special inayotumia walisema satelite hivi mawasiliano yake yasidukuliwe lakini wafaransa waliyadukua hayo mawasiliano na kweli marekani alikubali. plz kama hutojali naomba nipe ka elimu mkuu.
Hakuna ulinzi uliyo salama 100% maana wanaotengeneza mifumo ya ulinzi ndiyo hao wanaotengeneza mifumo ya kuibomoa. Ila kuna advanced encryption ambazo kuzibomoa ni kazi kubwa.
 
Hakuna ulinzi uliyo salama 100% maana wanaotengeneza mifumo ya ulinzi ndiyo hao wanaotengeneza mifumo ya kuibomoa. Ila kuna advanced encryption ambazo kuzibomoa ni kazi kubwa.
unaweza nipa mfano wa hiyo mifumo mkuu?
 
To be fair inaonekana alisimama kuongea na wananchi na viongozi wengi tuu wanafanya hivyo,and you can see picha nyingine anaongea na wananchi,kuongea na simu doesn't make any sense maana angeweza kuongea ndani ya gari lake hayo magari wanayotumia kinachoendelea nyuma hata dereva hawezi kusikia
 
d3695164e9d1827d44316fed0cf70855.jpg
 
Huenda mcharuko ndo kampigia ila kula upepo kamanda,nchi yako,walinzi wako,gari zako ,kiti chako na barabara zako,
 
kwamba ikiwa encrypted mawasiliano yake hayatanaswa? nakumbuka kipindi cha rwanda genocide kagame alipewa simu a wamarekani special inayotumia walisema satelite hivi mawasiliano yake yasidukuliwe lakini wafaransa waliyadukua hayo mawasiliano na kweli marekani alikubali. plz kama hutojali naomba nipe ka elimu mkuu.
Weka valid source hapa.
 
Back
Top Bottom