Rais Museveni asimamisha msafara wake na kuketi barabarani kupokea simu ya mkononi

Hahahahaaha ila ilikua ni lazima sana asimame ashuke kwenye gari kisha aletewe na kiti kwa ajili ya maongezi???
 
haha so funny! nyingine inamuonesha eti rais mugabe kampigia magoti museven akati anapiga simu
 
inapendeza mkuu Nyerere alikua na roho nzuri sana Mungu amlaze mahali pema peponi
 

amemuajiri katika nafasi gani?
 

amemuajiri katika nafasi gani?
 
Mwenzenu anapima viwanja na maheka ya mashamba kwa mustakabli wa familia yake..... nyie mnamnshangaa!!πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›
 
inaitwa M7 show.

show hizi zitaenea throughout EAC with the exception of Kenya kwani wenzetu pale walau wana "bingo" (katiba ya wananchi).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…