Rais Museveni na watu wa Uganda waungwe mkono, asema Mufti Mkuu wa Oman

Rais Museveni na watu wa Uganda waungwe mkono, asema Mufti Mkuu wa Oman

Mbona sheikh wenu alimfananisha jiwe na mitume na mkaufyata?
Kama unamzungumzia Alhad Mussa Salum basi wewe ni muongo. Alhad alipingwa vikali mno na Waislam. Alikemewa na kuraddiwa vikali mno tena kielimu? Au ulitaka watu wafanye vurugu?

Sisi huku dini haichezewi. Kubalini tu kuwa Waislam hawachezewi. Kwa kuwa nyinyi mmeharibikiwa mnataka kulazimisha na Waislam wameharibikiwa. Hii dini yetu imehifadhiwa.

Yesu anatukanwa zaidi katika nchi za "kikristo" kuliko katika nchi za kiislam.
unafiki ni sehemu ya maisha yenu.Yule mzanzibar shoga ni swala tano!
Unaujua Unafiki wewe?

Kwahiyo kuwepo mzanzibari shoga anayeswali swala tano ndio ushoga ushakuwa halali katika Uislam?

Uislam ndio suluhisho la huu ushetani. Huu ndio ukweli. Na watu wanagundua hili taratibu. West inazidi kuharibikiwa, na punde tu watajua kuwa Uislam ndio dawa ya matatizo yao.
 
Kama unamzungumzia Alhad Mussa Salum basi wewe ni muongo. Alhad alipingwa vikali mno na Waislam. Alikemewa na kuraddiwa vikali mno tena kielimu? Au ulitaka watu wafanye vurugu?

Sisi huku dini haichezewi. Kubalini tu kuwa Waislam hawachezewi. Kwa kuwa nyinyi mmeharibikiwa mnataka kulazimisha na Waislam wameharibikiwa. Hii dini yetu imehifadhiwa.

Yesu anatukanwa zaidi katika nchi za "kikristo" kuliko katika nchi za kiislam.

Unaujua Unafiki wewe?

Kwahiyo kuwepo mzanzibari shoga anayeswali swala tano ndio ushoga ushakuwa halali katika Uislam?

Uislam ndio suluhisho la huu ushetani. Huu ndio ukweli. Na watu wanagundua hili taratibu. West inazidi kuharibikiwa, na punde tu watajua kuwa Uislam ndio dawa ya matatizo yao.
Wazungu wanajua maana ya imani kiufasaha kuliko waarabu,kutumia nguvu kwenye imani ni ujuha uliopitiliza.
 
Yule mfalme kabusi aliekufa alikuwa hana mke wala watoto!!alikuwa anakaza vijana wadogo wabichi waliokuwa wanatoka zenj..mamaaeee mbona hakukemea.
Yule mzee kila kitu alikuwa anafanyiwa na vishoga yaani ndo wahudum zake!!watoto wa kiume wakiarabu wameachia nywele hadi matakoni..mmoja alirudi kwao lamu huko baba na ndugu wameenda kumpokea wanashangaa mtoto ameshakuwa rojo vidole juu hata biskuti hawezi kuvunja!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
Tanzania tumeufyataaaa,hatutaki ushoga ila pesa zao tunazihitaji,siku si nyingi tutasikia kauli za wakubwa 'Mashoga wako salama Tanzania" pesa pesa pesa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom