#COVID19 Rais Museveni: Serikali kugawa barakoa kwa Waganda wote wenye umri wa kuanzia miaka 6

#COVID19 Rais Museveni: Serikali kugawa barakoa kwa Waganda wote wenye umri wa kuanzia miaka 6

Kila mmoja apambane na hali yake

Ya Uganda au Kenya,Sisi hayatuhusu

Ni ajabu kwa Mbongo kushabikia asiyoyajua....ajabu sana!!!!

Waganda na Wakenya,wengi wanatamani ya Tz......

Ila vigwaguro....wanapiga kelele sijui kwa maslahi ya nani....!!!

Wapuuzi wakubwa nyie

Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha, eti Wakenya na Waganda wanatamani Tanzania?
Mnalishwa nini nyie? Shuntama? Watu wanakudharau kisha wakutamani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
May 18, 2020
Uganda President Museveni`s 14th Nation Address


Measures on easing the lockdown with compulsory wearing of masks : play video from 1:11:10' below :

a). Shops selling general merchandise provided they aren’t in malls or arcades and required to observe social distancing.

b). Market vendors allowed to go home and come back to work.

c). Regulated reopening of public transport I.e buses, mini buses, provided they carry a half (50%) of their normal passenger capacity; except for the border districts of Uganda for another 21 days.

The RIGHT masks will take 2 weeks to be ready hence effective 2 June 2020.

d). Boda bodas and Tuk Tuks will not carry passengers. Only limited to Cargo.

e). Bars, salons, night clubs, gyms, saunas remain closed for another 21 days.

f). International Borders of Uganda and the Airport will remain closed.

g). To reopen schools for final/candidate classes. Only final examinations will be issued. Ministry of Education will need about 2 weeks planning to implement the same.

h). Curfew remains from 6:30am to 7pm for another 21 days.

i). Restaurants and hotels will open as long as they observe social distancing.

j). People with private cars will be allowed to drive as long as they do not exceed three passengers including the driver.

14. All other directives remain operational for the next 21 days

15. Some sectors of the economy like tourism will remain partially shut down.

16. On the issue of Ugandans trapped abroad, these are still part of the banned International travel.

The main factor is the health consideration and risk of the large numbers from abroad without a vaccine and inability to adequately quarantine all for safety.

The ultimate decision will rest upon cabinet.

There will be a transparent policy on how Ugandans in the diaspora who need to be rescued will be handled.

Ningependa sana tufuate njia hizi,sio total lockdown
 
Museveni amepokea mkopo kutoka imf ili apambane na corona
Kwahiyo lazima awafurahishe Wazungu,huo mkopo hauna riba akikiuka mashariti lazima Imf imuadhibu

Nafurahi sisi Tanzania tumishinda corona kwa juhudi za Ndani tukiongozwa na Rais Magufuli
hizi propaganda katafute wa kumdanganya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lumumba msikilize Museveni anavyoongea kuhusu corona nchini mwake mfanye ulinganisho.
Najua mtanipiga madongo, lkn nawaomba mlinganishe hotuba za Mbowe, Museveni Na Mh Rais.
Tumsikilize museveni itatusaidia nini?
Rais yupo madarakani kwa miaka 40,halafu unafanya la maana kumlinganisha na mbowe wako mwenye divion zero ya form six
 
Museveni amepokea mkopo kutoka imf ili apambane na corona
Kwahiyo lazima awafurahishe Wazungu,huo mkopo hauna riba akikiuka mashariti lazima Imf imuadhibu

Nafurahi sisi Tanzania tumishinda corona kwa juhudi za Ndani tukiongozwa na Rais Magufuli
Wewe unaota...eti tumeshinda Corona kwa juhudi za ndani tukiongozwa na rais? Rais yupi aliyekimbia Ikulu kwa siku 38, alifanya juhudi gani zaidi ya kuiba Ventilator mbili za Bugando kwa ajili ya familia yake. Rais Magufuli ni mbinafsi asiyefaa. Mnamsifia kama Kim Jong UN. Magufuli kafanya nini kwenye CORONA? Zaidi ya kuwa denier wa ugonjwa, watanzania wanakufa bila sababu na wanakubali kuendelea kudanganywa na huyo rais asiyejua analolifanya.Eti umeshinda CORONA? Are you out of your mind? umeishindaje wakati wananchi wanakufa kwa mamia na kuzikwa kwa siri? Umeishindaje wakati serikali imekataa kuwapima hata wagonjwa kwa kisingizio kuwa wagonjwa wakipimwa wanapatwa kuwa Positive.
 
Museveni amepokea mkopo kutoka imf ili apambane na corona
Kwahiyo lazima awafurahishe Wazungu,huo mkopo hauna riba akikiuka mashariti lazima Imf imuadhibu

Nafurahi sisi Tanzania tumishinda corona kwa juhudi za Ndani tukiongozwa na Rais Magufuli
Unayoyaandika kila siku hapa Jf ni ushahidi kwamba mkiwa cccm hamruhusiwi kuwa na akili timamu
 
Lumumba msikilize Museveni anavyoongea kuhusu corona nchini mwake mfanye ulinganisho.
Najua mtanipiga madongo, lkn nawaomba mlinganishe hotuba za Mbowe, Museveni Na Mh Rais.


Why ulinganishe watu ambao aliewaumba aliwayofautisha?
Unataka kusema nini?
Kamwe Museveni hafanani na mwingine.
 
Wa
Unayoyaandika kila siku hapa Jf ni ushahidi kwamba mkiwa cccm hamruhusiwi kuwa na akili timamu
Wafuasi wote wa vyama vya siasa hamruhusiwi kuwa na akili tegemezi, daima mnadumisha fikra za mwenyekiti bila kuhoji
 
Afu hii tabia ya kulinganisha kila kitu haina maana...sisi waafrika huu ugonjwa utatuacha ma makovu makubwa kwa sababu nchi nyingi zimekurupuka sana,,,Mh Rais kwenye hili swala la Corona japo hajachukua tahadhari kubwa ila kitendo cha kuwatoa watu hofu ni ushindi mkubwa na watu hofu imewaisha...Soon Uganda,Kenya nk wataanza kulia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Why ulinganishe watu ambao aliewaumba aliwayofautisha?
Unataka kusema nini?
Kamwe Museveni hafanani na mwingine.
Mtihani maana yake ni nini? Mtihani ni kulingannisha vitu viwili au zaidi tofauti na ku judge uelewa wao! Hapa tunaangalia mtu /intellect yake ya kuhandle vitu vinavyofanana!
 
Afu hii tabia ya kulinganisha kila kitu haina maana...sisi waafrika huu ugonjwa utatuacha ma makovu makubwa kwa sababu nchi nyingi zimekurupuka sana,,,Mh Rais kwenye hili swala la Corona japo hajachukua tahadhari kubwa ila kitendo cha kuwatoa watu hofu ni ushindi mkubwa na watu hofu imewaisha...Soon Uganda,Kenya nk wataanza kulia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa huna hofu wadudud wanakukimbia? Uganda hawana kifo hata kimoja, Kenye vipo. Hapa ni vingi zaidi ila havisemwi lkn watu wanaona.
 
Mtihani maana yake ni nini? Mtihani ni kulingannisha vitu viwili au zaidi tofauti na ku judge uelewa wao! Hapa tunaangalia mtu /intellect yake ya kuhandle vitu vinavyofanana!


Simple logic
HAWAFANANI.... NA KAMWE HAWATOKAA WAFANANE.

SISI WATANZANIA WAKENYA TUNAUNGANA NA MUSEVENI PAMOJA NA MAAMUZI YOTE YA SERIKALI YA KENYA AGAINST TANZANIA MSAMBAZA VIRUS.
HATUNA ZURI TUNALIONA KWA TAIFA LETU NA TUKO TAYARI KUTETEA NCHI NYINGINE KWA LOLOTE KINYUME NA NCHI YETU LAKINI TUNAISHI NCHINI
 
Huyo mzee aendelee kutoa updates zake, sisi Watanzania haituhusu.

Tunajua namna ya kuchukua tahadhari na namna ya kujikinga sisi na kukinga familia zetu, tutaendelea na shughuli zetu za kujikimu kiuchumi sisi wenyewe na familia zetu.

Watanzania tunajua namna ya kufikiri, na namna ya ku_deal na masuala yanayotuhusu kulingana na mazingira yetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom