#COVID19 Rais Museveni: Serikali kugawa barakoa kwa Waganda wote wenye umri wa kuanzia miaka 6

#COVID19 Rais Museveni: Serikali kugawa barakoa kwa Waganda wote wenye umri wa kuanzia miaka 6

Umeandika uzushi na uwongo

Huo uwongo wenu wa chadema mwisho October tuwafute
Wewe unaota...eti tumeshinda Corona kwa juhudi za ndani tukiongozwa na rais? Rais yupi aliyekimbia Ikulu kwa siku 38, alifanya juhudi gani zaidi ya kuiba Ventilator mbili za Bugando kwa ajili ya familia yake. Rais Magufuli ni mbinafsi asiyefaa. Mnamsifia kama Kim Jong UN. Magufuli kafanya nini kwenye CORONA? Zaidi ya kuwa denier wa ugonjwa, watanzania wanakufa bila sababu na wanakubali kuendelea kudanganywa na huyo rais asiyejua analolifanya.Eti umeshinda CORONA? Are you out of your mind? umeishindaje wakati wananchi wanakufa kwa mamia na kuzikwa kwa siri? Umeishindaje wakati serikali imekataa kuwapima hata wagonjwa kwa kisingizio kuwa wagonjwa wakipimwa wanapatwa kuwa Positive.
 
Ndugai anamuonea wivu Mbowe toka wako Kibaha Secondary, Mbowe amekuwa mtoto wa Familia Bora yeye akitoka kwenye vumbi Kongwa.
He is a good politician hata kuwazidi hao marais. Ndugai anacukua the whole day kumdhihaki Mbowe, huoni kuna kitu nyuma yake! Unajua Rais siyo kuwa anawazidi wananchi akili, ni kuwa ni NGEKEWA kuchaguliwa akisaidiwa na nguvu ya vyomvo vya ukatili na ukandamizaji! Wakiwa nje ya hapo ni wepesi sana! sawa na mimi na wewe au tunawazidi! Trump ni kichwa kitupu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lumumba msikilize Museveni anavyoongea kuhusu corona nchini mwake mfanye ulinganisho.
Najua mtanipiga madongo, lkn nawaomba mlinganishe hotuba za Mbowe, Museveni Na Mh Rais.
Achana na hao wazee, Na usimulinganishe Magufuri na Marais vilaza
 
Wengi wetu walitegemea mu7 ataongea negative kuhusu Tanzania ili wapate cha kuongea,sijui wanajisikiaje baada hotuba ya mu7 😀
 
Wengi wetu walitegemea mu7 ataongea negative kuhusu Tanzania ili wapate cha kuongea,sijui wanajisikiaje baada hotuba ya mu7 😀
Kuna ugomvi kati yetu na yeye? Mbona unafikiri nje kabisa ya mtu moderate
 
Kama magufuli alivyo kwisha sema before kua Hana imana na vipimo huenda ikawa kweli hotuba ya Jana ya Rais kaguta museven alipo kua analiutubia taifa kasema kua wakenya wamekua sababu kubwa ya maambukiz nchin Uganda.

So napenda niwaulize ndugu zangu wakenya wanamaon gani juu ya wao kuambiwa wanasambaza Corona nchi jiran ilihali wao wapo Lock down maambukizi wanayatoa wapi ya kuwatosha wao na kuwapelekea majiran zao


Za chini chini nasikia Uganda anataka kuwapinga pin wakenya sijui wataambia nn watu
Screenshot_20200519-101139.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom