Rais Mwinyi achukizwa na tabia ya viongozi kujiuzulu kimya kimya

Swala la wamasai kubaguliwa na wamatumbi wenzao kalizungumziaje otherwise hayo mengine awaambie hao wateule wake wakati anawateua sisi hayatuhusu.

Tunataka kujua hatma ya watanganyika wenzetu huko Zanzibar ache unafiki wake.
Ingia kwenye instagram ya azam Tv, uone tunavyofanywa wajinga. Kumbe lile tukio lilitokea miaka kadhaa iliyopita, kuna mkora kalitupia kwenye Jf kupima uwezo wetu wa kukumbuka na kufuatilia mambo! Polisi wamekanusha kuwepo kwa tukio la namna hiyo. Yericko nyerere inabidi atuombe radhi, na ikibidi akaisaidie polisi huyu!
 

Kuna jambo la msingi halijatolewa ufafanuzi hapa ; mazingira gani magumu yaliyo fanya waziri ajiuzulu? Kuna maneno mengi yanasemwa kuhusu Rais Mwinyi kuhusishwa na biashara ya pombe/vilevi akishirikiana na mtoto wa marehemu Babu Ladwa!! Sasa wanasema huko Zenj toka zamanı kuna utaratibu wa kufanya biashara hiyo unaozingatia utamaduni wao.! Hussein Mwinyi na huyo mbia wake wanakiuka mazoea hayo ikiwemo dini ya kiislam!
Wanakwenda mbali zaidi na kusema Rais Mwinyi na huyu mtoto wa Ladwa ( Kumbuka baba zao walikuwa marafiki) walifanya ufisadi mkubwa walipoagiza magari ya jeshi kutoka India aina ya Ashok Leyland; wakati huo Hussein Mwinyi akiwa waziri wa ulinzi
Hawa wawili wameanza siku nyingi kufanya biashara ya vilevi na magendo yao kupitia duty free shops zilizokuwa jeshini na kupelekea Magufuli kuzifunga.
Rais Mwinyi ni mfanya biashara zaidi kuliko mwanasiasa!
 
Rais Mwinyi? Huyu wa kila Ijumaa msikiti mwengine. Na biashara ya pombe. Maajabu hayaishi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…