Rais Mwinyi atembelea kwa kushtukiza hospitali ya Mnazi Mmoja. Atengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Afya na Mkurugenzi Mtendaji wa hospitali hiyo

Rais Mwinyi atembelea kwa kushtukiza hospitali ya Mnazi Mmoja. Atengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Afya na Mkurugenzi Mtendaji wa hospitali hiyo

Huyu mama alijifungulia wapi?

Ukipeleka mtoto kusoma international school of tanganyika usitegemee kulipa ada kama Mzumbe secondary


Wizara ingekuwa makini hili swala wangelibeba,wakaingia mamlaka za kodi kuangalia uwezekano wa hospital husika kusamehewa kodi ya issue ya huyu mama kisha waambiwe wa-calculate itabaki kiasi gani kisha hiko kiasi hospital iwajibike kumsamehe muhusika kiasi fulani itakayobaki atafute alipe.,isingefika hata mill40. Hii ndiyo maana ya serikali ya wanyonge ila kwa sababu wanakazana kutafuta hela za kutekeleza miradi basi kila mtu afe na mzigo wake.

Nakwambia huu ni ujinga nielewe!
 
Serikali isaidie kulipia bill ya hiyo familia, mbona walimlipia Msigwa zile faini za mahakama za kesi ya kupikwa? All in all hospitali isibebeshwe mzigo wa deni ambalo halistahili, wao wametoa huduma yao inavostahili basi wamemaliza wajibu wao.
 
Wizara ingekuwa makini hili swala wangelibeba,wakaingia mamlaka za kodi kuangalia uwezekano wa hospital husika kusamehewa kodi ya issue ya huyu mama kisha waambiwe wa-calculate itabaki kiasi gani kisha hiko kiasi hospital iwajibike kumsamehe muhusika kiasi fulani itakayobaki atafute alipe.,isingefika hata mill40. Hii ndiyo maana ya serikali ya wanyonge ila kwa sababu wanakazana kutafuta hela za kutekeleza miradi basi kila mtu afe na mzigo wake.

Nakwambia huu ni ujinga nielewe!

Pamoja Wazazi kwenda huko kwa mamilioni.... baada ya kushindwa walienda wizarani au walienda clouds tv?
 
Serikali isaidie kulipia bill ya hiyo familia, mbona walimlipia Msigwa zile faini za mahakama za kesi ya kupikwa? All in all hospitali isibebeshwe mzigo wa deni ambalo halistahili, wao wametoa huduma yao inavostahili basi wamemaliza wajibu wao.
Wanaweza wakamsaidia kama watakutana na hii habari kwenye media. Sina uhakika kama huko aliko ambapo ndio wanasubiria hizo pesa wanahitaji msaada wa serikali, ila yeye anahitaji msaada wa wizara

Hili swala litazua mengi
 
Awanyooshe tu. Wazanzibar walio wengi Serikalini huko ni wavivu, wasiojituma na wasiojali. Nima uzoefu wa kupartner nao kwenye miradi ya maendeleo
 
aisee nimeona mkuuenezgb anasema mkataba umeisha oct 2019 mpka leo hujasainiwa mwinginewe kwa maana hio wana service mashine kwa gharama za juu.
hiv hata wewe ungejibu vip

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais Hussein Mwinyi afuata nyayo za John Pombe Magufuli, ameshtukiza ziara ya hospitali ya mnazi mmoja Zanzibar na kukutana na madudu. Asema pesa ipo lakini huduma ni mbovu, aahidi kushughulikia wahusika.

Ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Afya katika Wizara ya Afya, Dkt. Jamala Adam Taib na Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Rufaa ya Mnazi Mmoja, Dkt.Ali Salum Ali, amesema watapangiwa kazi nyingine kwa mujibu wa taaluma zao.



Tanzania tunayoitaka, Mungu awalinde viongozi wetu Dkt. Hussein Mwinyi na Dkt. John Pombe Joseph Magufuli

NAONA ANAFUATA NYAYO ZA MAMBO YA GHAFLA GHAFLA AKIMALIZA HILI AANZISHE USAFI KWA UJUMLA NAYE ASHIKE UFAGIO AU BELESHI
 
Mwinyi kwa ukimya wake nilikuwa namwona ana akili, sasa kapewa ofisi ndo anajionesha ubwege wake
 
NAONA ANAFUATA NYAYO ZA MAMBO YA GHAFLA GHAFLA AKIMALIZA HILI AANZISHE USAFI KWA UJUMLA NAYE ASHIKE UFAGIO AU BELESHI

HAPA KAZI TUU AWAMU YA PILI Visiwani🔥🔥🔥 Bara🔥🔥🔥
Tunaoshindwa twende Ubelgiji na saudia 😎😎😎
 
MAMA D punguza kula kula hasa vitu vya sukari macho yako kwa sasa yanapata tabu sana kuona nambari za vocha je ungelipenda dondoo za tiba zaidi?
 
Rais Hussein Mwinyi afuata nyayo za John Pombe Magufuli, ameshtukiza ziara ya hospitali ya mnazi mmoja Zanzibar na kukutana na madudu. Asema pesa ipo lakini huduma ni mbovu, aahidi kushughulikia wahusika.

Ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Afya katika Wizara ya Afya, Dkt. Jamala Adam Taib na Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Rufaa ya Mnazi Mmoja, Dkt.Ali Salum Ali, amesema watapangiwa kazi nyingine kwa mujibu wa taaluma zao.



Tanzania tunayoitaka, Mungu awalinde viongozi wetu Dkt. Hussein Mwinyi na Dkt. John Pombe Joseph Magufuli

Rubbish, alisema atafuatia nyayo za jiwe! ameanza
 
Kwani zile ziara za kushtukiza za huku bara zilizaa matunda yoyote?[emoji1787]
Hizi ni mbwembwe kuwalisha imani ya uongo raia.
Inawezekana ni wewe tu na baadhi yenu wachache ndio aidha hamjui au mnajifanya hamjui kuwa azilizaa matunda.
 
Rubbish, alisema atafuatia nyayo za jiwe! ameanza

Yes, John Pombe Joseph Magufuli ndio role model wake

Wewe role model wako nani? Tundu au Amstadam?
 
Mbwembwe tu
IMG_20201011_154618.jpg
 
Back
Top Bottom