Huyu mama alijifungulia wapi?
Ukipeleka mtoto kusoma international school of tanganyika usitegemee kulipa ada kama Mzumbe secondary
Umesahau kuwa ali ahidi kuwa atamuiga JPM kwenye uongozi wake!?Wazanzibar nao wamekuwa wakiiga upuuzi wa bara sijui kwanini?
Wizara ingekuwa makini hili swala wangelibeba,wakaingia mamlaka za kodi kuangalia uwezekano wa hospital husika kusamehewa kodi ya issue ya huyu mama kisha waambiwe wa-calculate itabaki kiasi gani kisha hiko kiasi hospital iwajibike kumsamehe muhusika kiasi fulani itakayobaki atafute alipe.,isingefika hata mill40. Hii ndiyo maana ya serikali ya wanyonge ila kwa sababu wanakazana kutafuta hela za kutekeleza miradi basi kila mtu afe na mzigo wake.
Nakwambia huu ni ujinga nielewe!
Wanaweza wakamsaidia kama watakutana na hii habari kwenye media. Sina uhakika kama huko aliko ambapo ndio wanasubiria hizo pesa wanahitaji msaada wa serikali, ila yeye anahitaji msaada wa wizaraSerikali isaidie kulipia bill ya hiyo familia, mbona walimlipia Msigwa zile faini za mahakama za kesi ya kupikwa? All in all hospitali isibebeshwe mzigo wa deni ambalo halistahili, wao wametoa huduma yao inavostahili basi wamemaliza wajibu wao.
Nakazia hojaKwani zile ziara za kushtukiza za huku bara zilizaa matunda yoyote?[emoji1787]
Hizi ni mbwembwe kuwalisha imani ya uongo raia.
NAONA ANAFUATA NYAYO ZA MAMBO YA GHAFLA GHAFLA AKIMALIZA HILI AANZISHE USAFI KWA UJUMLA NAYE ASHIKE UFAGIO AU BELESHIRais Hussein Mwinyi afuata nyayo za John Pombe Magufuli, ameshtukiza ziara ya hospitali ya mnazi mmoja Zanzibar na kukutana na madudu. Asema pesa ipo lakini huduma ni mbovu, aahidi kushughulikia wahusika.
Ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Afya katika Wizara ya Afya, Dkt. Jamala Adam Taib na Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Rufaa ya Mnazi Mmoja, Dkt.Ali Salum Ali, amesema watapangiwa kazi nyingine kwa mujibu wa taaluma zao.
Tanzania tunayoitaka, Mungu awalinde viongozi wetu Dkt. Hussein Mwinyi na Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
SureUmesahau kuwa ali ahidi kuwa atamuiga JPM kwenye uongozi wake!?
Rubbish, alisema atafuatia nyayo za jiwe! ameanzaRais Hussein Mwinyi afuata nyayo za John Pombe Magufuli, ameshtukiza ziara ya hospitali ya mnazi mmoja Zanzibar na kukutana na madudu. Asema pesa ipo lakini huduma ni mbovu, aahidi kushughulikia wahusika.
Ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Afya katika Wizara ya Afya, Dkt. Jamala Adam Taib na Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Rufaa ya Mnazi Mmoja, Dkt.Ali Salum Ali, amesema watapangiwa kazi nyingine kwa mujibu wa taaluma zao.
Tanzania tunayoitaka, Mungu awalinde viongozi wetu Dkt. Hussein Mwinyi na Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
Inawezekana ni wewe tu na baadhi yenu wachache ndio aidha hamjui au mnajifanya hamjui kuwa azilizaa matunda.Kwani zile ziara za kushtukiza za huku bara zilizaa matunda yoyote?[emoji1787]
Hizi ni mbwembwe kuwalisha imani ya uongo raia.
sitakiYes, John Pombe Joseph Magufuli ndio role model wake
Wewe role model wako nani? Tundu au Amstadam?
Pingapinga Fc at work.Kwani zile ziara za kushtukiza za huku bara zilizaa matunda yoyote?[emoji1787]
Hizi ni mbwembwe kuwalisha imani ya uongo raia.