Rais Mwinyi, hii kasi ya kuwapa ardhi raia wa kigeni kulikoni? Kelele zimekuwa nyingi, Sasa unataka kunyang'anya familia ya Karume nyumba!

Rais Mwinyi, hii kasi ya kuwapa ardhi raia wa kigeni kulikoni? Kelele zimekuwa nyingi, Sasa unataka kunyang'anya familia ya Karume nyumba!

Msije mkaanza kumnukuu Lisu

Wakimalizana na sisi wataanza...?

Kuna kiongozi pia alipata kusema mengi na moja wapo katika mengi ni kuwa ukianza kula nyama ya mtu...?
Uongo mtupu unapotosha hapo.
Hiyo inahusu sehemu ya ghorofa za Kilimani ambapo zimechoka sana so wakaazi wanatakiwa wapewe hela waondoke kwa muda ili nyumba zivunjwe zijengwe kubwa na nyingi zaidi, kisasa
Jinsi zilivyo ni hatari, mifumo ya majitaka imeziba, nyumba zimejaa nyufa mpaka chuma za beam zinaonekana. Hii familia inaleta tu siasa, wala hawahitaji nyumba za kiwango hicho jinsi zilivyo.
Ali Karume ana hasira hajapewa cheo awamu hii
 
Ww ulitakiwa uanzishe uzi wa kumsifia kwenye uwekezaji wa ardhi. Siku hizi imekuwa fashion hapa jukwaani, ukianzishwa uzi wa kumsema kiongozi fulani, chawa wa huyo kiongozi ananunua ugomvi kwa kuanzisha uzi wa kumpamba.
 
Uongo mtupu unapotosha hapo.
Hiyo inahusu sehemu ya ghorofa za Kilimani ambapo zimechoka sana so wakaazi wanatakiwa wapewe hela waondoke kwa muda ili nyumba zivunjwe zijengwe kubwa na nyingi zaidi, kisasa
Jinsi zilivyo ni hatari, mifumo ya majitaka imeziba, nyumba zimejaa nyufa mpaka chuma za beam zinaonekana. Hii familia inaleta tu siasa, wala hawahitaji nyumba za kiwango hicho jinsi zilivyo.
Ali Karume ana hasira hajapewa cheo awamu hii
Ndio mbinu anazotumia
 
Wazanzibar kwa kulia lia mimi pana jamaa aliagiza Range Rover ya 2018 kalipa sijui 30% ya kodi analo mtaani analiburuza na namba kapewa nikamwambia hilo kwenye wazawa wa Tozo hiyo 30% unakaa nayo na wanalipeleka kwenye Mnada wateja wenyewe...
 
Tuombe Mungu huyu jamaa asije bara, atauza Kila kitu, na kama akitawala Zanzibar miaka kumi, natarajia kwamba ataondoka kauza Kila kitu isipokuwa oksijeni tu.
Baba yake allikwapua shamba kubwa Dakawa Morogoro
 
Rais Mwinyi amekuwa akipigiwa kelele sana kwamba ananyang'anya wananchi ardhi anawapa wageni kwa kisingizio Cha kukodisha. Baadhi wanasema, anachukua ardhi hiyo yeye mwenyewe kwa mlango wa wawekezaji.

Anahamisha mashule, maeneo ya shule anawapa wawekezaji, anakodisha visiwa kwa bei ya kutupa, mtoto wa Karume anasema anakodisha kisiwa kwa miaka 35 kwa dola milioni mbili na nusu.

Pale Airport, amefukuza wazawa, wamekosa ajira, ameleta watu wa nje.

Pale mji mkongwe kelele zimezidi.

Sasa kuonyesha ameota mapembe, amejiapiza kuchukua nyumba ya Rais wa kwanza wa Zanzibar Mzee Karume.

Tuombe Mungu huyu jamaa asije bara, atauza Kila kitu, na kama akitawala Zanzibar miaka kumi, natarajia kwamba ataondoka kauza Kila kitu isipokuwa oksijeni tu.

CCM taifa wamkemee, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wamkemeeView attachment 2579693
Inaelekea hii familia inapenda kuuza uza na kukodisha kodisha. Hata baba yake si alikodisha mbuga yetu kw waarabu kwa miaka sijui 99 hadi ukiingia unaambia welcome to emirates
 
Uongo mtupu unapotosha hapo.
Hiyo inahusu sehemu ya ghorofa za Kilimani ambapo zimechoka sana so wakaazi wanatakiwa wapewe hela waondoke kwa muda ili nyumba zivunjwe zijengwe kubwa na nyingi zaidi, kisasa
Jinsi zilivyo ni hatari, mifumo ya majitaka imeziba, nyumba zimejaa nyufa mpaka chuma za beam zinaonekana. Hii familia inaleta tu siasa, wala hawahitaji nyumba za kiwango hicho jinsi zilivyo.
Ali Karume ana hasira hajapewa cheo awamu hii
Huyo chapombe Ali Karumehuwa ni mkorofi sana

Katika watoto wa mzee karume huyo ndie mwehu pekee aliyezaa
 
YakaKama wanaweza kuingia madarakani kwa kupora uchaguzi na kufanya mauaji na wasifanywe lolote, watashindwa kuuza hizo ardhi?
Huyu karume ana nongwa tuu. Baba yake kafanya mengi mabaya
 
Ukitaka kuwa udhi Wazanzibari anza kuwa lipisha Kodi, umeme, maji na forodha.
Ama kwa airport wanalilia ile enzi ya usultani wa Raza ambapo kazi hupeana bila ujuzi na mizigo toka kwa wajomba Oman inapita bure.
Mwinyi kawashika pabaya watamzulia kila aina ya shutuma.
Niliwah kubahatika kukutana na jamaa sehemu akawa anasema tatizo kubwa analokutana nalo ni wazanzibar ni wavivu kupindukia. Wanataka maendeleo lakin wamekaa tu. Ukifanya maamuz wanakulaumu.
 
Ukitaka kuwa udhi Wazanzibari anza kuwa lipisha Kodi, umeme, maji na forodha.
Ama kwa airport wanalilia ile enzi ya usultani wa Raza ambapo kazi hupeana bila ujuzi na mizigo toka kwa wajomba Oman inapita bure.
Mwinyi kawashika pabaya watamzulia kila aina ya shutuma.
Na huo ndio ukweli mchungu !! Mwinyi yupo vizuri sana hana masikhara yule !!
 
Waporwe tu maana wao ndo sababu tuna huu muungano
 
Back
Top Bottom