Rais Mwinyi kuongezewa muda: Dr Mdimwa nani alikutuma? Au ni kiherehere chako tu!

Rais Mwinyi kuongezewa muda: Dr Mdimwa nani alikutuma? Au ni kiherehere chako tu!

View attachment 3025427

Huyu Dr Mdimwa hajulikani siasa za nchi hii.
Kwzmba ni naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar, bado ni mwanasiasa mchanga sana nchi hii.
Tamko alilotoa kutaka Rais wa Zanzibar Dr Mwinyi aongezewe muda wa utawala toka miaka mitano hadi saba, inaonekana kama tamko la mtu asiyeelewa siasa na mipaka ya kuongea mbele za umma wa Kitanzania.

Huyu Dr Mdimwa kakosea big time.
Kakanushwa na Rais Mwinyi mwenyewe, CCM yenyewe, na hata wakongwe kama mzee Msekwa.

Mzee Msekwa kaenda mbsli na kusema Katiba haichezewi chezewi vile mtu apendavyo.

Yakhe, Dr Mdimwa NANI ALIKUTUMA?
Au ni kiherehere chako tu!
Mimi nimesikitishwa tu kuona anaitwa Dokta!! Sijui ni dokta wa nini huyu masikini!! Maana anaonekana kichwani hamna kitu.
 
Eti bae anaitwa Dr. !!! Mbona tittle ya elimu yake haiendani uwezo wake wa kuelewa na kuchanganua mambo. The way anavyoongea ni kama mtu mwenye elimu ya hapa na pale (i.e darasa la Saba B aliyechangamuka)
 
Back
Top Bottom