Rais Mwinyi, tengua Amri haramu ya kwamba Wamasai hawaruhusiwi kutembea na fimbo na Sime Zanzibar. Inahatarisha Muungano!

Zanzibar kule ni utalii per se
Na wamasai kujaa sidhan kama mapanga na mafimbo yana umuhimu
Silaha hizo kiasil mazingira ya porin ndio lazima uwe nayo mim mwenyewe hapa endulen natèmbea na sime ingawa sio mmsai.unakuta siku ya mnada una ham na nyama unavaa sime unatembea kule mapori meng
Kwa zanzibar hakuna mapori mapanga mafimbo ya nini?
 
Na nyie wazanzibar mrudi kwenu haraka hatuwataki huku
 
Ule ni utamaduni wa watu, mbona nyie mnakuja na kanzu zenu huku kwetu na wakati sisi ni wakristo?
 
Zanzibar ina sheria zake, usiingilie !! wamasai wazifuate ama warudi kuchunga mifugo bara.

Bara ni kwajili ya sheria za muungano tu, Zanzibar kuna sheria za Zanzibar na vijisheria vya upande wapili wa muungano.
Ndiyo hatutaki sasa, muungano fake uvunjwe kila upande ubaki kwao
 
Huyu maza amejificha kwenye dini lakini ni mbaguzi haswa, tukisema huwa mnaona tunawachukia wazanzibar lakini ndiyo tabia zao
 
Serikali ya mapinduzi inapotoshwa kwa hili la wamasai. Kuna chuki kubwa za kidini dhidi ya jamii Za watanganyika
Ila kwa ajili ya siasa watakanusha , wafute tangazo lao kimyakimya dhidi ya wamasai.
Na wazanzibar nao wasije huku bara hatuwataki na kanzu zao
 
Bro mmasai mwenyewe ni kivutio cha kitalii. The way alivyovyaa tu tembea nchi za watu ndio utajua nachokuambia. Wazungu wanataka kitu unique mzee sio aje aone sawa na kwao
 
Wewe chiemba sijui kama huwa zinakitosha kweli,kutoka umezaliwa na kukua,ulishawahi kumwona masai amekata mtu humu mjini?,kwa nn watu wajinga wanazidi kuongezeka hapa nchini?!, tena wajinga wengine unakuta wana shahada.
 
Shanghai hata wewe,kuna watu wanaamini kuvaa kizungu ndio maendeleo.
 
Zanzibar ina sheria zake, usiingilie !! wamasai wazifuate ama warudi kuchunga mifugo bara.

Bara ni kwajili ya sheria za muungano tu, Zanzibar kuna sheria za Zanzibar na vijisheria vya upande wapili wa muungano.
Hiyo sheria ya Zanzibar kukataza watu kuishi kulingana na tamaduni zao imeanza lini? Huu muungano ni fix tu, mmewafukuza porini sasa mnaona hata mijini hawatakiwi kuishi?
 
Wamasai zanzibar unajua wanafanya kazi gani ? Wao wanatumika kama walinzi wa kitalii ni sehemu ya utalii pia ...mbona vazi la hijabu linatumika sana kufanyia ugaidi na waisiharamu awalipigi marufuku ....wapo watu wamejifunza kung fu je hao siyo hatari kuliko fimbo za wamasai au wamasai wakijifunza kung fu wataambiwa wazivue kunf mwilini .....
 
Zanzibar ina sheria zake, usiingilie !! wamasai wazifuate ama warudi kuchunga mifugo bara.

Bara ni kwajili ya sheria za muungano tu, Zanzibar kuna sheria za Zanzibar na vijisheria vya upande wapili wa muungano.
Huo ubaguzi wenu kuna siku utawarudia,anzishe msingi,wengine watainua boma,na hapo ndipo mtalia na kusaga meno,kwa hizi hizi akili zenu za kipunbavu,ndio maana mlikuwa mnayachoma moto makanisa,na kusema zanzibar ni kwa ajiri ya waislamu tu.
 
Mimi ni msukuma,wamasai ni watu wapole,wataratibu na wasiopenda ugomvi,ukiona kuna mgogoro na masai,shida itakuwa sio huyo mmsai,shida itakuwa ni wewe.
 
Wewe Yericho umekosa kazi, hawa wamasai wamekua wasumbufu sana Zanzibar, wamejazana huko bila kazi, wanauza sura beach wakitegemea kupata majimama ya kizungu wapelekwe ulaya. Ukiwakuta beach wanasumbua watalii na vikorokoro vyao, kazi za ulinzi zimewashinda sasa wamekua beach boys. Wanabeba Sime na fimbo wakati znz hakuna simba wala ng'ombe. Hawa bora warudishwe kwao kupunguza kero ZNZ. Na wanao sema Zanzibar wabaguzi basi mbona kuna watanganyika wengi sana wenye shughuli zao na hakuna anaye wabughudhi, wanapiga kazi na wanafata sheria, maisha yanaenda.
 
Watu wengi wanashindwa kuelewa kuwa wamasai,sio wabantu,wamasai wametokea pembe ya Afrika,walikotokea waarabu,wasomali,waethiopia,na ndio ukaona mila zao,mavazi,ufugaji,kutembea na fimbo,bakora,sime,visu,majambia ,wanafanana.Lakini waarabu na wasomali,wameacha mila za kutembea na fimbo,bakora,visu,sime,majambia,hata huko kwao,kutokana na dunia kubadilika.Kwa mfano waarabu,mila ya majambia na fimbo na bakora,wanaifanya wakati wa ndoa tu,tena ni bwana harusi,ndio anakuwa navyo kama mapambo tu.
Hata wapemba,walikuwa na mila hizo,za kutembea na visu na bakora,lakini walipokuja Tanzania bara,taratibu waliacha mila hizo,kwa kufuata jinsi wenyeji wa Pwani ya Tanzania wanavyoishi.
Kwa hiyo mila hatarishi,,na utamaduni hatarishi ni kuwacha.
 
Wewe unasumbuliwa na chuki za kijinga,au hujawahi kuitembelea dunia na kuona jinsi tamaduni za makabura zinavyolindwa.
 
Huo ubaguzi wenu kuna siku utawarudia,anzishe msingi,wengine watainua boma,na hapo ndipo mtalia na kusaga meno,kwa hizi hizi akili zenu za kipunbavu,ndio maana mlikuwa mnayachoma moto makanisa,na kusema zanzibar ni kwa ajiri ya waislamu tu.
Hivi wewe unajua kuna wabara wangapi wanaishi Zanzibar? Mbona hawana shida yeyote na serikali?Takriban waajiriwa 60% wa mahoteli yote ZNZ wabara, umesikia wamebaguliwa na Wazanzibari?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…