Huna akili, Yani we kwa upeo wako kila mtu unataka awe kama wewe? Wewe mwenyewe wazungu wanakuona nyani ambae hujastaarabika unaongozwa na wajinga. Wewe mashuka yao yanakuwa shida nini? Unajua maana ya identity? Waarabu wanavaa kanzu we kwako unaona ustaarabu, Wamasai wakivaa yakwao unaona hawajastaarabika, akili za watumwa hizi.Acheni ujinga, kujizonga mashuka na kutembea na marungu ndio utamaduni? Wamasai warudu porini wakaendeleze utamaduni wao wa kishenzi huo.