GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Sasa ni mara ya Pili au ya Tatu hivi naona Mheshimiwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan ' Safari ' zake nyingi ( hasa za Ziara za Mikutano na hata nyinginezo ) anapenda mno ' Kuwakilishwa ' na Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi.
Hivyo basi nami GENTAMYCINE nauliza je, na Yeye Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi na Yeye pia akiwa na Safari za ' Mialiko ' au za ' Uwakilishi ' atakuwa anamuomba ( anamuachia ) Rais wa JMT Samia Suluhu Hassan awe anaenda?
Nimeupenda sana huu Utaratibu alioubuni Rais Samia Suluhu Hassan hasa wa Kupenda ' Kuwakilishwa ' Safari zake za nje ( za Kimataifa ) na Rais wa Zanzibar tu Dkt. Hussein Ali Mwinyi hivyo kuwafanya Makamu wa Rais JMT Dkt. Philip Mpango na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wawe ni ' Wabobezi ' tu wa Safari za ndani ya nchi kama vile Tandahimba - Ibirizi na Biharamuro - Nachingwea za Kukagua Madaraja na Kuhesabu tu Kuku ' waliototolewa ' Kitaalamu SUA Mkoani Morogoro.
Hivyo basi nami GENTAMYCINE nauliza je, na Yeye Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi na Yeye pia akiwa na Safari za ' Mialiko ' au za ' Uwakilishi ' atakuwa anamuomba ( anamuachia ) Rais wa JMT Samia Suluhu Hassan awe anaenda?
Nimeupenda sana huu Utaratibu alioubuni Rais Samia Suluhu Hassan hasa wa Kupenda ' Kuwakilishwa ' Safari zake za nje ( za Kimataifa ) na Rais wa Zanzibar tu Dkt. Hussein Ali Mwinyi hivyo kuwafanya Makamu wa Rais JMT Dkt. Philip Mpango na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wawe ni ' Wabobezi ' tu wa Safari za ndani ya nchi kama vile Tandahimba - Ibirizi na Biharamuro - Nachingwea za Kukagua Madaraja na Kuhesabu tu Kuku ' waliototolewa ' Kitaalamu SUA Mkoani Morogoro.