Corticopontine
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 666
- 1,277
Asije akatuletea tanzia jingine.Baada ya kufanya ziara katika maeneo ya Kichwele na Salem Mkoa wa Kaskazini Unguja, nimeamua kubadili matumizi ya mashamba ya mpira kuyafanya kuwa maeneo ya viwanda kufuatia mashamba hayo kutotumika ipasavyo na kuleta tija kwa Taifa.View attachment 1791041
Nani alituletea Tanzia kwa kutovaa mabarakoa?Asije akatuletea tanzia jingine.
Huyu ndiye alitakiwa kuwa rais. Ikiwezekana 2025 awe...Baada ya kufanya ziara katika maeneo ya Kichwele na Salem Mkoa wa Kaskazini Unguja, nimeamua kubadili matumizi ya mashamba ya mpira kuyafanya kuwa maeneo ya viwanda kufuatia mashamba hayo kutotumika ipasavyo na kuleta tija kwa Taifa.View attachment 1791041
Hili jamaa na Majaliwa ni majembe kweli kweli
Asije akatuletea tanzia jingine.
Baada ya kufanya ziara katika maeneo ya Kichwele na Salem Mkoa wa Kaskazini Unguja, nimeamua kubadili matumizi ya mashamba ya mpira kuyafanya kuwa maeneo ya viwanda kufuatia mashamba hayo kutotumika ipasavyo na kuleta tija kwa Taifa.View attachment 1791041
ulitaka waziri mkuu ndio atangaze msiba wa Rais mkuu?Majaliwa gani ,yule aliyetudanganya kuwa Jiwe mzima kumbe kisha kata umeme? Mtu yeyote muongo sio muaminifu!!!
Hawa Mataga ni wakaidi sana! Hawajifunzi tu mpaka leo.Mnasahau kuwa huyo ni Daktari!! Inawezekana kisha pata chanjo; juzi tu kasema mahujaji watafanyiwa mpango wa chanjo ili waweze kwenda kuhiji!!!
ulitaka waziri mkuu ndio atangaze msiba wa Rais mkuu?
upo sahihi 💯Angekaa kimya badala ya kusema "mnataka aende Kariakoo"!! Amejishushia heshima na wananchi wengi hawamuamini tena na hata mwenyewe hana confidence tena; yuko yuko tu!
utazani we unavaaga hiyo barakoa.Asije akatuletea tanzia jingine.