Ewaaaa✓Haikutokea kwa bahati mbaya kama huyu wa Muungano.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ewaaaa✓Haikutokea kwa bahati mbaya kama huyu wa Muungano.
Kufa mpaka iwe Corona tu? Watu wanaokufa wameikosea Corona tu? Linapokuja suala la kifo, kwetu wanadamu tupunguze hizi hadithi. Wote tutakufaCorona huwa haina utani na mtu yoyote
Wenye chanjo pia wanavaa barakoa so tafuta kitu kingine chakuongeleaMnasahau kuwa huyo ni Daktari!! Inawezekana kisha pata chanjo; juzi tu kasema mahujaji watafanyiwa mpango wa chanjo ili waweze kwenda kuhiji!!!
Kwa hiyo corona haiuwi?Kufa mpaka iwe Corona tu? Watu wanaokufa wameikosea Corona tu? Linapokuja suala la kifo, kwetu wanadamu tupunguze hizi hadithi. Wote tutakufa
Dk. Mwinyi haendeshwi na mtu, au mstaafu yeyote, na alikuwa akimkubali sana The late JPM aka Mwamba.Baada ya kufanya ziara katika maeneo ya Kichwele na Salem Mkoa wa Kaskazini Unguja, nimeamua kubadili matumizi ya mashamba ya mpira kuyafanya kuwa maeneo ya viwanda kufuatia mashamba hayo kutotumika ipasavyo na kuleta tija kwa Taifa.
Hivi Katiba yao inasemaje kama Corona ikimfyeka na yeye Makamu wa Kwanza ndiye anachukua kijiti? Huwezi jua mipango ya Mungu kwani huku Tanganyika tulijua kama ukombozi utakuja bila kumwaga damu?Baada ya kufanya ziara katika maeneo ya Kichwele na Salem Mkoa wa Kaskazini Unguja, nimeamua kubadili matumizi ya mashamba ya mpira kuyafanya kuwa maeneo ya viwanda kufuatia mashamba hayo kutotumika ipasavyo na kuleta tija kwa Taifa.
Ukiiletea dharau lazima ipite na weweCorona huwa haina utani na mtu yoyote
Mwambieni mzigo wa India upo njiani shauri yakeBaada ya kufanya ziara katika maeneo ya Kichwele na Salem Mkoa wa Kaskazini Unguja, nimeamua kubadili matumizi ya mashamba ya mpira kuyafanya kuwa maeneo ya viwanda kufuatia mashamba hayo kutotumika ipasavyo na kuleta tija kwa Taifa.
Huyu mwingine mmeamua kumbatiza jina mama, unazifahamu kazi za mama?!Namkubali sana huyu mwamba.
Corona hainaga ushemejiUkiiletea dharau lazima ipite na wewe
Daktari wa binadamu huyo anajielewaAsije akatuletea tanzia jingine.
Kwahiyo mama Samia nae muongo maana nae alitudanganya pia kuhusu Magufuli?Majaliwa gani ,yule aliyetudanganya kuwa Jiwe mzima kumbe kisha kata umeme? Mtu yeyote muongo sio muaminifu!!!
InakulagaCorona hainaga ushemeji
Bora wewe uende Zenji tu,huku Mama anatosha.2025 bora Dr. Mwinyi aje huku tu na Mama aende kule Zenji.
Itazaa nayeInakulaga
Kwahiyo mama Samia nae muongo maana nae alitudanganya pia kuhusu Magufuli?
Wenye chanjo pia wanavaa barakoa so tafuta kitu kingine chakuongelea
Chanjo haizuwii kuambukizwa.
Usisahau yeye ni daktari bingwa.Baada ya kufanya ziara katika maeneo ya Kichwele na Salem Mkoa wa Kaskazini Unguja, nimeamua kubadili matumizi ya mashamba ya mpira kuyafanya kuwa maeneo ya viwanda kufuatia mashamba hayo kutotumika ipasavyo na kuleta tija kwa Taifa.