Rais Mwinyi yeye kazi tu, hakuna mibarakoa

Wasukuma inabidi muanzishiwe dozi ya presha mapema, lasivyo mtapasua mishipa ya damu kwenye kichwa,

Maana chuki zenu kwa mama zinamaliza afya zenu, na SAMIA ndio Rais hadi #2040___ kufeni kabisa
 
Tanzania ni nchi ya raia zaidi ya milioni 60 na Rais wake anayelinda maslahi kuntu ya NCHI hiyo anaitwa mh.SAMIA SULUHU HASSAN.....
 
Angekaa kimya badala ya kusema "mnataka aende Kariakoo"!! Amejishushia heshima na wananchi wengi hawamuamini tena na hata mwenyewe hana confidence tena; yuko yuko tu!
Hayo ni maoni ya wananchi wa Jamhuri ya JF. Wenye maarifa wanafahamu alikuwa amesema kwa mantiki gani ? Wengi tulielewa baada ya tamko la kifo cha Mwendazake. .
 
Matanzia mengi tu ya viongozi walioshinikizwa wasivae barakoa na mlazimishaji mmoja hivi ambaye naye mwisho wa siku yakamkuta mazima.
We lofa sana wewe, kwani wewe una corona?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…